Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.

Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.

Kwangu mimi, hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo

Ila tusemeni tu ukweli, Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu.

Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.

Yani kuanzia young D, Casto Dickson, Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.

Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine

Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.

Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda, Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda.

Screenshot_20240622-105758_1.jpg
Screenshot_20240622-110118_1.jpg
 
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.

Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.

Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo

Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .

Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.

Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.

Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine

Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.

Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda

View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Kipenda roho wewe kinachokuzingua jina ndaro limekaa kichoma mkaa huko msanga,rangi ya ngozi ya tunda kwa kua tu ni mweupe ila anaweza kutafunwa na mwanaume yeyote mradi wakubaliane!
 
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.

Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.

Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo

Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .

Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.

Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.

Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine

Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.

Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda

View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Umeanza kazi za kufungisha watu ndoa lini?
 
Back
Top Bottom