Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #41
AiseeMapenzi kama gazeti soma muachie mwenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeMapenzi kama gazeti soma muachie mwenzako
AiseeUmeanza kazi za kufungisha watu ndoa lini?
Shida ya Tunda hajatulia, baada ya kuachana na Meja hapa katikati alikitembeza kimtindo sema alikuwa na date na watu wasiokuwa na majina.Hivi Tunda atapata bwana gani wa maana? Au hapo zaman ukimtoa Kinje mwingne yupi wa maana? Kwa mapito ya Tunda sijui km atapata bwana wa maana akaolewaa.
Hii bahati kaipata mama ubayaa imetosha, hata nae karoga sanaaa.
Niliwahi kumtaka lini?We ulikuwa unamtakaga Tunda tunakumbuka vizuri sema tu roho imekuuma mlugaluga kuopoa mtoto
Mzuri .Mimi sina tatizo na Tunda.
Ila hawa wanaume wenzangu wanao jipeleka kwa Tunda Ilhali wanajua ameshatembea na msururu wa Wanaume, wana tatizo gani?
Wa kawaida maana yake nini?Tunda ni wa kawaida sana mkuu alafu uzuri sio ndo kupata wanaume wenye umaarufu na pesa.
Ili uwe na wanaume kama hao lazima uwe na pesa pia
Eti Sepetu wa leo wa kutoka na Whozu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Apate funzo kwa Sepetunga.
HUYU NDIYO NDARO? MBONA ANATAKA KUFA SIKU SIYO ZAKE JAMANIMpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
vigodaViti maalumu?
Kuna nyakati ukiwa mzuri sana ukabahatika kuishi na wenye nazo,sio dhambi kujishusha na kuishi maisha ya kawaida.Hivi Tunda atapata bwana gani wa maana? Au hapo zaman ukimtoa Kinje mwingne yupi wa maana? Kwa mapito ya Tunda sijui km atapata bwana wa maana akaolewaa.
Hii bahati kaipata mama ubayaa imetosha, hata nae karoga sanaaa.
Kama unaona Tunda anafaidi basi nenda nawewe ukapewe mkuyengeMpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kajamaa haka amini kama kamempata TundaHUYU NDIYO NDARO? MBONA ANATAKA KUFA SIKU SIYO ZAKE JAMANI
Hayo ndio mawazo yako?Kama unaona Tunda anafaidi basi nenda nawewe ukapewe mkuyenge
Hivi wanaume wa siku hizi mna-date machangudoa? Sisi kipindi chetu ilikuwa tufanya kitu kinachotwa ''hit and run''. Mabwege tu ndiyo walikuwa wana-date watu kama hawa.Huyo bado binti mbichi atulie apate bwana wa maana kama kipindi kile yupo na Kinje
Kama ndaro machine anayo yy ampelekee moto tu huyo tunda hayo ya kuendana hayana maana yoyote.Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847