Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.

Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.

Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo

Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .

Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.

Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.

Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine

Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.

Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda

View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Beauty is in the eyes of the beholder! Huwezi kujua ka Ndaro kanampiga mapigo gani!
 
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.

Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.

Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo

Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .

Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.

Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.

Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine

Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.

Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda

View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Beana wa maana unayemtaka ni yupi?
 
Mbona kawaida tu mzee, au kisa jamaa ni comedian??
Comedians wengi bongo hujiweka kinamna fulani ya kutaka kuchekesha muda wote.

Na hata hivyo dem anadate na vijana wenzie, damu changa Gen Z.

Mambo ya kuendana na kutoendana ni mbishe za madem hizo ndo huwa na hizo comment za kipuuzi et couple haijaendana na upuuzi kama huo.

Sisi mabaharia tunampa salute mwamba kwa kuichapa pisi kali, na vijana wengine waige mfano wake haijalishi mionekano yao.
 
Aikooooo! sijapenda ulicho mfanyia ndaro wewe chawa wa WCB 😂😂😂😂😂😂 Hata kama huyo ni ndaro mwenyew lakini hujaona picha nyingine aliyovaa suti ukaweka😂😂😂😂 mpaka uweke hiyo aliyovaa musikiti akiwa kigomaz
 
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.

Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.

Kwangu mimi ,hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo

Ila tusemeni tu ukweli ,Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu .

Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.

Yani kuanzia young D, Casto Dickson , Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.

Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine

Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.

Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda , Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda

View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
Mme wa Shilole,alisema amewachia wengine waliendeleze gurudumu, so kijana Ndaro nae ameingia kwenye list ya wanao lisukuma gurudumu aina ya Tunda.

Ila basi basi mademu wengine ni wakuchapa na kutambaa na si kugandiana nao,hasa hawa bongo movies na Slay Queen wa Instagram, kama afanyavyo Vunjabei na Hemed. Halafu kesho ataanza kulialia kwenye Social Networks.
 
Back
Top Bottom