Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

Tunda na Ndaro hawaendani hata kidogo, Tunda hajui thamani yake

Lakini huyo msichana ni Malaya tu wa kutupwa.yeyote anayetaka kumkunja na mkuyenge hakatai.pesa Yako tu mkuyenge unazama.huyo dogo ameingia Cha kike
 
Kikubwa futa liliwe tu mambo ya kuendeana tuwaachie wenyewe

Mimi mwenyewe mams nazozvuruga na mimi ni MASAI na ENERGY DRINK
 
Sasa huyo tunda unaemuongelea ana thamani gani ??? We unajua mana ya thamani au rangi na pochi manyoya ndo unadhani thamani fala ww.
# No malice to anybody
 
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.

Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.

Kwangu mimi, hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo

Ila tusemeni tu ukweli, Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu.

Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.

Yani kuanzia young D, Casto Dickson, Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.

Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine

Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.

Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda, Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda.

View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847

They say beauty is in the eyes of the beholder.

Hata DAYAMONDI alivyokuwa na SEPENGA watu walisema hawaendani.

Mapenzi ni feeling na si outside looks.

Usiangalie muonekano wa nje wa TUNDA(WANAWAKE)ndiyo ukaona labda w/ana status kubwa kuliko NDARO(WANAUME)...Usiwaone tu hivyo wana njaa hao mpaka kwenye kucha sema tu outside looks ndiyo inawabeba.
 
Huyu dogo Tunda hivi mnduku wake utakua una hali gani?..maana maslay queen wa bongo hasa walevi na kuliwa kinyeo ni kama ulimi na mate!
 
Ndaro ana macho mazuri na Tunda ana macho mazuri wakizaa watazaa katoto kenye macho mazuri mnoo...
 
Back
Top Bottom