Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #141
Kama ni chai nisiseme?Kwenye posts za wenzako Huwa unapenda sana kuandika neno CHAI...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni chai nisiseme?Kwenye posts za wenzako Huwa unapenda sana kuandika neno CHAI...
Hance nlipewaga ubuyu kuwa Tunda ako na naniliu, hayo vijana wanaopita pita kitawakuta kitu.Tunda hajielewi na hawezi kukaa mwezi bila kuwa na mtu.
hana hicho kitu.Hance nlipewaga ubuyu kuwa Tunda ako na naniliu, hayo vijana wanaopita pita kitawakuta kitu.
Mmmmmhhh haya..... Ila sio ubuyu wa watu ni "za ndani"hana hicho kitu.
wabongo kwa maneno ya uzushi hawajambo.
😂😂Muda ni wako ila muda wako ukishindwa kutumia vizuri, huna maamuzi tena isipokuwa unachokiona mbele yako.
AiseeSasa huyo tunda unaemuongelea ana thamani gani ??? We unajua mana ya thamani au rangi na pochi manyoya ndo unadhani thamani fala ww.
# No malice to anybody
Mpaka sasa sijaamini na sitaki kuamini kama mrembo Tunda ana date na Ndaro.
Ikiwa kama kweli wana date, basi hii ndio couple mbaya zaidi kuwahi kutokea kwa watu maarufu hapa bongo.
Kwangu mimi, hii couple aisee hapana haivutii hata kidogo
Ila tusemeni tu ukweli, Tunda hajui thamani ya uzuri wake ndio maana kila kukicha ana date na watu wa ajabu ajabu.
Ukimtoa Kinje, mpaka sasa sijamuona bwana wa maana ambaye Tunda ame date naye.
Yani kuanzia young D, Casto Dickson, Meja Kunta, Whozu, na huyu wa sasa Ndaro ndio kabisaa hawaendani.
Ndaro na Tunda hawaendani kabisa, kiharaka haraka unaweza kusema Tunda kudate na Ndaro ni kama amenuonea huruma tu ila sio size yake kabisa sawa na hao madogo wengine
Asipotulia na kujitathmini vizuri ataishia kudate na watu wa hadhi ndogo kama hao wengine.
Casto nusu awehuke alivyoachwa na Tunda, Tunda alichangia kumuharibu sana jamaa alikuwa havuti sigara wala pombe ila akaanza kutumia baada ya kuwa penzini na tunda.
View attachment 3022845View attachment 3022846View attachment 3022847
PoleChai
Aisee nini sasa we unaona ni vema kumuita mtu sio wa maana.Aisee
Ni magaidi wenzako unawateteaga kutoka Gaza.😅🤣Ndio akina nani huko Dar?