Tunda sikupata ila na yeye nilimkomesha

Tunda sikupata ila na yeye nilimkomesha

Watu bana. Kwani nani aliwaambia story zote zinazoletwa hapa huwa za kweli?

Mnakuwa kama si magriit sinkaz asee.... Khaa!

Haya binti mmoja anambie hadisi hii imemfundisha nini.....
 
Imenifundisha nikitoka na mwanaume nihakikishe my wallet is loaded!
Nilishaona hii ze komedy. Joti alilipia vipodozi vyake, afu nae akamuacha jamaa mataa.
Watu bana. Kwani nani aliwaambia story zote zinazoletwa hapa huwa za kweli?

Mnakuwa kama si magriit sinkaz asee.... Khaa!

Haya binti mmoja anambie hadisi hii imemfundisha nini.....
 
Hii stori nishaiskiaga kwa kingredha na kiswahili pia..recycling is good for environment though.
 
Mlimani city hakuna duka linalouza bra na matching (bikini?) kwa tshs 200,000, ama mlikuwa zimbabwe?
Ukitunga story tumia mandhari uliyozoea ili isiwe too fictious.
Hongera kwa kumkomoa.

King'asti sio vizuri kumshushua mwenzako hadharani hivi., si ungemPM airekebishe..khaaaa:yield:
 
Last edited by a moderator:
Good story....

usiache uandishi.... Ila mshkaji noma kweli, yani kukugusa tu, basi tayari ushamweka chini?? duh:frog:

Hapo kwenye bold! Si unajua ukame wa muda mrefu? Jogoo style
 
Mlimani city hakuna duka linalouza bra na matching (bikini?) kwa tshs 200,000, ama mlikuwa zimbabwe?
Ukitunga story tumia mandhari uliyozoea ili isiwe too fictious.
Hongera kwa kumkomoa.

Na mkufu wa dhahabu juu!
 
Hahahaha njia ya mwongo. . .

mimi nimefurahia ujumbe,,fundisho,,,,suala la ni kweli au uwongo,,,ikiwa kweli jamaa angeonekana katili,,,,hivyo vionjo vya mwshon kuonekana ni stori wakati uliisoma kwa hisia na tafakuri za tukio la kweli ni uwezo wa mwandishi kukuteka,,,,kha ha hhaaaaaahaaahaaa haaaaaaaakh
 
Hii story niliiona kwenye FUTUHI star TV ile siku ya Muungano.
 
Mwali wangu ningemnunulia nisingemuumiza kiasi hiki ...ungetakiwa uwe mvumilivu mkuu wangu na kwenye mapenzi kuna baadhi ya mambo hutakiwi kudanganya
 
Last edited by a moderator:
Muda sii mrefu magazeti ya Shigongo yatapata ushindani mkubwa sana. Wanaojiandaa kumpiku shigongo ni wengi sana.
 
inaonekana ulikuwa ndwiiiiiiiiiiiiiiiiiii! maana sekunde tu uko hoiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Imenifundisha nisivae night dress ya pink, na mkono upandishwe haraka haraka kichwani.

Watu bana. Kwani nani aliwaambia story zote zinazoletwa hapa huwa za kweli?

Mnakuwa kama si magriit sinkaz asee.... Khaa!

Haya binti mmoja anambie hadisi hii imemfundisha nini.....
 
"Inaonekana huna mapenzi kwangu, unachojali ni mimi kukutimizia tu haja zako za kimwili" wakati bado nashangaa akaongezea "hivi kwa nin usinipende jinsi nilivyo na si kwa kile nachokufanyia kitandani?" nilipomtazama usoni nikagundua yuko serious na kwa usiku huo tunda sipati.Nikageukia ukutani na kusinzia

hivi kwa nini hayo maswali hawayaulizi wakati mwingine...inauzi kweli wakati umeshajitune kufanya mambo afu maswali yanaanza oh hivi mara vile aaahhhgghhhh:argue:
 
Alisisimama mbele yangu huku umbo lake likionekana vizuri kwenye nightdress yake ya pink,akawasha taa ya rangi ya bluu. Akapanda kitandani na kuanza kunipapasa kifuani kisha akaanza kuushusha mkono wake taratibu kuelekea mapajani mwangu.mshawasha wa mapenzi ukanijaa na kunifanya nihisi kama miguu yangu imekufa ngazi.Nikamgeuza na kumuweka chini yangu. Ghafla nikasikia "Jac nilikuwa nataka unikumbatie tu mpaka asubuhi" nikaguna kwa sauti huku nimetoa macho "Inaonekana huna mapenzi kwangu, unachojali ni mimi kukutimizia tu haja zako za kimwili" wakati bado nashangaa akaongezea "hivi kwa nin usinipende jinsi nilivyo na si kwa kile nachokufanyia kitandani?" nilipomtazama usoni nikagundua yuko serious na kwa usiku huo tunda sipati.Nikageukia ukutani na kusinzia

Wiki moja ilipopita nikamtoa out kwenye hotel moja kubwa hapa dar tukapata chakula cha mchana ambacho kilikuwa expensive na kisha tukaaelekea mliman city na kuingia moja kwa moja kwenye duka la nguo za kike.Akajaribu gauni kadhaa ambazo zilimpendeza sana kisha akaelekea kwenye viatu akatafuta viatu ambavyo vitamachi na gauni moja,nikamwambia usiwe na shida tutanunua vyote akajibu lakini swity ni expensive sana hacha nichague gaun moja na viatu vitakavyoendana navyo nikamjibu chukua vyote usiwe na hofu.mmm mara akaelekea kwenye mikufu akachagua mkufu wa dhahabu akauvaa akaniambia "vipi baby hapa nimependeza" nikamjibu yap chukua na huo pia.Waoo alifurahi natamani ungemuona.duu mara akelekea kwenye bikini,akachagua bikini na bra yake vyote vya rangi nyekundu vyenye bei ya laki mbili nikamwambia nahivyo dia weka tu usiwe na hofu.Alikenua meno wewe utafikilia ameshinda bahat nasibu ya sh million 500, aise nataman ungemuona.,nahisi moyoni alikuwa anawaza kweli nimepata buzi.

Alipomaliza akaniambia "Vimetosha baby twende tukalipe" Nimkajibu taratibu kwa sauti ya kistarabu "Baby nilikuwa nataka uvishike tu mikononi kwa muda" akatabasamu huku akiniiambia "ila na wewe baby unavimisemo" nikaendelea "Inaonekana huna mapenzi kwangu,unachojali ni mimi kukutimizia haja zako za shopping tu" akanitazama kwa macho yaliyojaa hasira,nahisi angekuwa na bunduki ningekuwa maiti kwa sasa. Kwa pozi lilelile nikaendelea "hivi kwa nini usinipende jinsi nilivyo na si kwa pesa zangu zinachokufanyia"

Sikijua aliondokaje mle dukani lakini vitu vyote alivyokuwa amevibeba nilishangaa viko sakafuni.Natokea siku hiyo sjamuona tena,Tunda sikupata ila na yeye nilimkomesha.am smart than her aaaaaaah

hahaha akuchomae nae mchome.dawa ya moto ni moto ati
 
Back
Top Bottom