Tunda wewe ndio Cleopatra wa Tanzania

Labda Cleopatra wa ukoo wenu mkuu. Binti tumiguu ka fito na chura hoiii bin taaaban ndo unamvika uCleopatra? Are you serious? Huyu akiwa Cleopatra huyu binti hapa chini mwenye uso wa kitoto, mamiguu ya bia, chura asiyetulia na anayekuja kwa kasi sana hapa Bongo tumwiteje? Au hujui wasifu na maana ya Cleopatra? Aaaargh !!!
 
SHIMBA YA BUYENZE [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana ndg yng.
 
SHIMBA YA BUYENZE [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana ndg yng.
Asante kwa kucheka mkuu. Angalau umeongeza siku za kuishi. Tunda Cleopatra my foot. Si umeona lakini hayo mamiguu ya huyo binti hapo. Imagine ndo umebebeshwa mabegani mkuu. Basi tu tuyaache lakini mpaka roho inaniuma!
 
Asante kwa kucheka mkuu. Angalau umeongeza siku za kuishi. Tunda Cleopatra my foot. Si umeona lakini hayo mamiguu ya huyo binti hapo. Imagine ndo umebebeshwa mabegani mkuu. Basi tu tuyaache lakini mpaka roho inaniuma!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…