Tundu Antipas Lissu na Rigathi Gachagua, aliyekuwa Naibu Rais Kenya wanatofautiana nchi tu

Tundu Antipas Lissu na Rigathi Gachagua, aliyekuwa Naibu Rais Kenya wanatofautiana nchi tu

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwa kiasi kikubwa, wanafanana mambo mengi sana, ikiwa ni pamoja na maneno mengi matupu yasiyo na ushawishi.

Ni watu wenye hulka za ubinafsi, ku-outoshine na ku-othwart mabosi zao hadharini. Rigathi Gachagua ana pitia undesirable consequences kwa sasa kutokana na tabia hiyo.

Mara nyingi watu wa aina hii kwenye siasa na uongozi, huishia kwenye unyonge na upweke wa kisiasa na kujikuta kumbe hawana wafuasi na hawana ushawishi kabisa kwenye jamii.

what do you think about Press conference ya Lisu ambayo ina viashiria vyote vya kumzodoa boss wake huku yeye akijiona kama malaika?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Lissu hana wafuasi ana misekure anaimiliki haina akili hata hapa utaona wanakupinga!
 
Na hapo ndipo unajikuta unajiuliza kuwa hawa upinzani wanataka nini na hawataki nini. Any way mimi bado natembea na ule msemo wao w mama anaupiga mwingi
 
Kwa kiasi kikubwa, wanafanana mambo mengi sana, ikiwa ni pamoja na maneno mengi matupu yasiyo na ushawishi.

Ni watu wenye hulka za ubinafsi, ku-outoshine na ku-othwart mabosi zao hadharini. Rigathi Gachagua ana pitia undesirable consequences kwa sasa kutokana na tabia hiyo.

Mara nyingi watu wa aina hii kwenye siasa na uongozi, huishia kwenye unyonge na upweke wa kisiasa na kujikuta kumbe hawana wafuasi na hawana ushawishi kabisa kwenye jamii.

what do you think about Press conference ya Lisu ambayo ina viashiria vyote vya kumzodoa boss wake huku yeye akijiona kama malaika?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Misukule ya mzee Mbowe leo imevurugwa kisawasawa
 
Mimi naona pengine Lissu bado ni mgonjwa anayehitaji matibabu ya kisaikolojia.Maana muda wote anajifanya malaika na kutaka kumtweza na kumshushia heshima Mbowe hadharani.
 
Kwa kiasi kikubwa, wanafanana mambo mengi sana, ikiwa ni pamoja na maneno mengi matupu yasiyo na ushawishi.

Ni watu wenye hulka za ubinafsi, ku-outoshine na ku-othwart mabosi zao hadharini. Rigathi Gachagua ana pitia undesirable consequences kwa sasa kutokana na tabia hiyo.

Mara nyingi watu wa aina hii kwenye siasa na uongozi, huishia kwenye unyonge na upweke wa kisiasa na kujikuta kumbe hawana wafuasi na hawana ushawishi kabisa kwenye jamii.

what do you think about Press conference ya Lisu ambayo ina viashiria vyote vya kumzodoa boss wake huku yeye akijiona kama malaika?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kwani Lissu alishakuwa Makamu wa Rais?
 
Lissu hana wafuasi ana misekure anaimiliki haina akili hata hapa utaona wanakupinga!
Inawezekana,
kwasabb nimeshangaa sana, eti mwisho wa kikao anawauliza watu wake hivi si nimekuja na chupa ya maji ya kunywa, iko wap?🤣

kumbe hapakua hata na maandalizi ya mikutano dah 🐒
 
Na hapo ndipo unajikuta unajiuliza kuwa hawa upinzani wanataka nini na hawataki nini. Any way mimi bado natembea na ule msemo wao w mama anaupiga mwingi
Na anaupiga mwingi mbaya sana aise 🐒
 
Inawezekana,
kwasabb nimeshangaa sana, eti mwisho wa kikao anawauliza watu wake hivi si nimekuja na chupa ya maji ya kunywa, iko wap?🤣

kumbe hapakua hata na maandalizi ya mikutano dah 🐒
Hatari sana amechokwa ila anajipendekeza!
 
Mimi naona pengine Lissu bado ni mgonjwa anayehitaji matibabu ya kisaikolojia.Maana muda wote anajifanya malaika na kutaka kumtweza na kumshushia heshima Mbowe hadharani.
Hilo nalo ni la maana sana,

kwasasababu anajikanyaga tu,
kaulizwa haya unayoyaesma yana baraka za chama na ndiyo msimamo wa chadema au ni maoni yake?

eti anaependelea yawe ndio msimamo wa chama 🤣

sasa kumbe anakitumia chama kueleza maoni yake, badala ya kutumia vikao vya ndani ya chama kukishauri na kushawishi viongoz wenzake juu ya mambo hayo, jamaa anakurupuka mwenyewe kibinafsi tu 🐒
 
Back
Top Bottom