johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hakuna mwingine.Kwa hiyo umeona 2025 ni yeye?
Huwezi kujua mkuu cdm ni kubwaHakuna mwingine.
Ni kijana fulani wa kutoka Singida vijijini ndani ndani, bushi kabisa, tukakutana Ilboru, dogo akiwa O-Level mimi A-Level HGL. Dogo akapiga 1, Olevel akaenda Galanos nako akapiga 1 Alevel na kutimba UDSM kusomea sheria LL.BMwenye CV yake atuwekee ilu tuichambue kwa kina
Kwahiyo ninyi wawili mlikutana Atlanta Marekani miaka Hiyo, nimekuelewa sana mkuu!Ni kijana fulani wa kutoka Singida vijijini ndani ndani, bushi kabisa, tukakutana Ilboru, HGL, akapiga 1, akaenda Galanos nako akapiga 1 akatua UDSM kusomea sheria LL.B
Nikaja kukutana naye Atlanta Marekani akiwa LEAT, baadaye akatinga bungeni na huko sasa ndiko wengi wakamfahamu anavyo chachafya.
P
Yaani ulivyoeleza nakuona Kama vile unasimulia huku unatembea. Tunatamani kuendelea kusoma gafla ikaisha.✌️Ni kijana fulani wa kutoka Singida vijijini ndani ndani, bushi kabisa, tukakutana Ilboru, HGL, akapiga 1, akaenda Galanos nako akapiga 1 akatua UDSM kusomea sheria LL.B
Nikaja kukutana naye Atlanta Marekani akiwa LEAT, baadaye akatinga bungeni na huko sasa ndiko wengi wakamfahamu anavyo chachafya.
P
Dung'unyi ni kijiji cha ndani bushi kbs Singida? [emoji849]Ni kijana fulani wa kutoka Singida vijijini ndani ndani, bushi kabisa, tukakutana Ilboru, HGL, akapiga 1, akaenda Galanos nako akapiga 1 akatua UDSM kusomea sheria LL.B
Nikaja kukutana naye Atlanta Marekani akiwa LEAT, baadaye akatinga bungeni na huko sasa ndiko wengi wakamfahamu anavyo chachafya.
P
Ni bwege mmoja tu aliyejipa vyeo ambavyo hastahiliMwenye CV yake atuwekee ilu tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7
2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa
2020 Tundu Lisu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT
Jumaa kareem!
Wewe utakuwa umekatika fuse za kitushulioNi yule jamaa dishi limeyumba kwa kiasi fulani ambaye ni shoga yake na rob amster. Anadai kuwa yeye ni mbongo ila familia yake yote ni raia wa marekani!
KWANI Mwendazake hakuwapa CV yake?Mwenye CV yake atuwekee ilu tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7
2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa
2020 Tundu Lisu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT
Jumaa kareem!
Mkuu ndu wakoNi bwege mmoja tu aliyejipa vyeo ambavyo hastahili
Duh........!Mkuu ndu wako
Bwege ni wew na mamako nyumban kwenu huna adabu mbweha wewe.Ni bwege mmoja tu aliyejipa vyeo ambavyo hastahili
Tepetepe la lumumba mnadani pale MrinaNi yule jamaa dishi limeyumba kwa kiasi fulani ambaye ni shoga yake na rob amster. Anadai kuwa yeye ni mbongo ila familia yake yote ni raia wa marekani!
mkuu usifanye duh.. mapunga huwa yanajibiwa hivyo.Duh........!