Tundu Antipas Lissu ni nani hasa?

Tundu Antipas Lissu ni nani hasa?

Y
Mwenye CV yake atuwekee ilu tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7

2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa

2020 Tundu Lisu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT



Jumaa kareem!

2025 ni mbali , tushughulike ya Sasa hivi.
 
Mwenye CV yake atuwekee ilu tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7

2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa

2020 Tundu Lisu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT



Jumaa kareem!
Ni mwanaharakati anayepambania Maisha yake binafsi kupitia harakati za kisiasa Tanzania.

Ni mtanzania wa kuzaliwa ambaye anaishi na kuamini katika Ubishi wa kisiasa!

Ni mwanasheria anayeamini kuzijua sheria kuliko wanasheria wenzake!

Ni chaguo la Wajerumani kwa maslahi yao ndani ya Tanzania.
 
Ni yule jamaa dishi limeyumba kwa kiasi fulani ambaye ni shoga yake na rob amster. Anadai kuwa yeye ni mbongo ila familia yake yote ni raia wa marekani!

Acha kupotosha watoto wake ndio walizaliwa marekani. Hivyo ni wamarekani wenye uraia wa kuzaliwa.
 
Ni mwanaharakati anayepambania Maisha yake binafsi kupitia harakati za kisiasa Tanzania.

Ni mtanzania wa kuzaliwa ambaye anaishi na kuamini katika Ubishi wa kisiasa!

Ni mwanasheria anayeamini kuzijua sheria kuliko wanasheria wenzake!

Ni chaguo la Wajerumani kwa maslahi yao ndani ya Tanzania.

Uongo haufai. Tangu mshindwe kumuua hamna amani mioyoni mwenu.
 
Dishi limeyumba? Kama mtu kapiga div 1 O Level na A level Sina Cha kusema
Kwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!
 
Kwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!
Inaonekana mliwahi jifungia chumbani pamoja,nadadisi tu.vipi makalio yake ni meupe?
 
Back
Top Bottom