King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Singida Mpooooooooooooo!! Asanteni Asanteni Asanteni Sanaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbavu hautakusaidia kitu. Kila mmoja nchi hii anajua Lissu ana mke na watoto na anaishi na mke wake Belgium. Shoga kiaje?! Uungwana ni jambo la bure na la kheri. Kama wewe huna uwezo wa kufika hata hapo Nairobi usiwaonee gere wenzako wenye uwezo wa kuishi ughaibuni.Kwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!
Soma bandiko la Mayalla hapo juu uujue ukweli.Acha kupotosha watoto wake ndio walizaliwa marekani. Hivyo ni wamarekani wenye uraia wa kuzaliwa.
hey mancome on ,this is not facebookKwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!
Lazima alitamke coz zile risasi AISEH!!Lete hoja acha Vioja....
Unakimbilia kwenye tukio badala ya kujibu niliyoyasema mimi!
Jamaa yenu pamoja na usomi wake,ukweli ni kwamba Dish lake limeyumba!
Kuna kitu huwa hakiko sawa kwenue Medula yake.
Na sasa anaumwa Maradhi ya "Magu-Phobia"
Hata asipokuwa amesemeshwa,utakuta anatamka neno "MAGUFULI" bila kujielewa kwamba amelitamka!
Na alivyo wakuja anaona km vile ye ndo msomi pekee Tanzania nzimaNi bwege mmoja tu aliyejipa vyeo ambavyo hastahili
True!TL ni MWANAUME aliefanikiwa kumtia adabu kichaa.
Bwege kuliko yule dhalim mporipori aliyefukiwa kule Chato?Ni bwege mmoja tu aliyejipa vyeo ambavyo hastahili
Mwenye CV yake atuwekee ili tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7
2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa
2020 Tundu Lissu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT
Jumaa kareem!
Ni kijana fulani wa kutoka Singida vijijini ndani ndani, bushi kabisa, tukakutana Ilboru, dogo akiwa O-Level mimi A-Level HGL. Dogo akapiga 1, Olevel akaenda Galanos nako akapiga 1 Alevel na kutimba UDSM kusomea sheria LL.B
Nikaja kukutana naye tena Atlanta Marekani yeye akiwa LEAT, mimi nikitembelea familia inaishi US, wife ni Mtanzania ila ni US subjet na anaishi kule.
Baadaye akatinga bungeni na huko sasa ndiko wengi wakamfahamu kwa jinsi anavyo wachachafya wale mazuzu mule!.
Kwa vile mimi ni Big Brother wake, nimekuwa nikimshauri vitu vingi, miongoni mwake ni hivi naweka 10 tuu lakini ukitaka 20 vipo, ukitaka 30 vipo... hadi 50!.
- Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.
- Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!.
- Nyaraka za Muungano: Tundu Lissu kutoishukuru JF na Pasco maana yake nini?
- Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!
- Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
- Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
- Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
P
- Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
- Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?
- For the sake of National Unity, Je tumshauri Dkt. Magufuli aahidi kumteua Tundu Lissu kuwa Mbunge?
Yule mnyamwezi kutoka Chato usimfananishe na huyo kiweteBwege kuliko yule dhalim mporipori aliyefukiwa kule Chato?
Swali lilikuwa zuri, lakini hawa vijana wa uvccm badala ya kusaidia kuhoji ili wapate kumfahamu na kumpima wao wanakuja na matusi.Uzi umegeuka kuwa wa matusi Moderator
Hivi kumtukana mtu ambaye hakujui, hulingani naye kwa kila kitu, umaarufu wake hata uchanganye wazazi wako ambao obviously ni masikini ndio maana hawakukupa elimu bali kukujengea roho ya chuki na wewe mwenyewe hamtaufikia basi utatumbukiwa na nyongo na kufa bure!Makalio yake yamejaa risasi huyo msenge Lisu lete ya kwako labda nitayapenda![emoji23][emoji23][emoji23]!
Ajabu sana! Wanamuona Lissu kama ndio Corona iliyo mfyeka jamaa yao.Nilikuwa nakuona una maana kumbe nawe ni wale wale tu.
Nyie wafuasi wa Jiwe bado mna maumivu sana kwani TL ndie mbaya wenu?
Mbona TL hana baya lolote pamoja na kwamba alifanyiwa unyama?
Ile takataka ya Chato inaokwa kama ndafu hukoYule mnyamwezi kutoka Chato usimfananishe na huyo kiwete
Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.Ni kijana fulani wa kutoka Singida vijijini ndani ndani, bushi kabisa, tukakutana Ilboru, dogo akiwa O-Level mimi A-Level HGL. Dogo akapiga 1, Olevel akaenda Galanos nako akapiga 1 Alevel na kutimba UDSM kusomea sheria LL.B
Nikaja kukutana naye tena Atlanta Marekani yeye akiwa LEAT, mimi nikitembelea familia inaishi US, wife ni Mtanzania ila ni US subjet na anaishi kule.
Baadaye akatinga bungeni na huko sasa ndiko wengi wakamfahamu kwa jinsi anavyo wachachafya wale mazuzu mule!.
Kwa vile mimi ni Big Brother wake, nimekuwa nikimshauri vitu vingi, miongoni mwake ni hivi naweka 10 tuu lakini ukitaka 20 vipo, ukitaka 30 vipo... hadi 50!.
P
- Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.
- Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!.
- Nyaraka za Muungano: Tundu Lissu kutoishukuru JF na Pasco maana yake nini?
- Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!
- Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
- Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
- Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
- Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
- Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?
- For the sake of National Unity, Je tumshauri Dkt. Magufuli aahidi kumteua Tundu Lissu kuwa Mbunge?
Kiukweli, Mbowe apishe tuu njia mtu wa kuichukua Ikulu yupo, ni.TL.Ni kijana fulani wa kutoka Singida vijijini ndani ndani, bushi kabisa, tukakutana Ilboru, dogo akiwa O-Level mimi A-Level HGL. Dogo akapiga 1, Olevel akaenda Galanos nako akapiga 1 Alevel na kutimba UDSM kusomea sheria LL.B
Nikaja kukutana naye tena Atlanta Marekani yeye akiwa LEAT, mimi nikitembelea familia inaishi US, wife ni Mtanzania ila ni US subjet na anaishi kule.
Baadaye akatinga bungeni na huko sasa ndiko wengi wakamfahamu kwa jinsi anavyo wachachafya wale mazuzu mule!.
Kwa vile mimi ni Big Brother wake, nimekuwa nikimshauri vitu vingi, miongoni mwake ni hivi naweka 10 tuu lakini ukitaka 20 vipo, ukitaka 30 vipo... hadi 50!.
P
- Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.
- Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!.
- Nyaraka za Muungano: Tundu Lissu kutoishukuru JF na Pasco maana yake nini?
- Hongera ITV kumhoji Tundu Lissu. Hongera sana Tundu Lissu kuzungumza kistaarabu kwa lugha za staha. Ruksa kuhisi chochote, sio fair kutaja majina!
- Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
- Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
- Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
- Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
- Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?
- For the sake of National Unity, Je tumshauri Dkt. Magufuli aahidi kumteua Tundu Lissu kuwa Mbunge?