Tundu Antipas Lissu ni nani hasa?

Tundu Antipas Lissu ni nani hasa?

Si
Mwenye CV yake atuwekee ili tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7

2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa

2020 Tundu Lissu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT



Jumaa kareem!
Sidhani kama Mh Lissu yupo taliyi kupigiwa debe nama kenge kama wewe.
 
Kwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!
Pimbi wewe!
 
Hakika mashoga lazima watafahamiana tu pole sana kwa kupoteza marinda
Kwa hiyo kupiga one ndo huwezi kuwa na dish liloyumba? Ndugu yako Lisu dish lake haliko sawa! Sijui huaa mnamshabikia kwa nini? Kwanza yule ni shoga! Eti ni mgombea wenu wa Urasis hahahah!
 
Mwenye CV yake atuwekee ili tuichambue kwa kina isije kuwa ndio walewale akina PK na M7

2025 siyo mbali jamani na alitakalo mmarekani huwa

2020 Tundu Lissu alikuja " kibabe" sana kugombea Urais wa JMT



Jumaa kareem!
Mkuu

Ili kuitibu hofu yako kuhusu mtajwa!

Hebu washa moto wa katiba mpya hayo yote yatashughulikiwa na kuisha kabisa!

"Mzee warioba ajumuishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato wa katiba mpya ukamilike mapema"
 
Yule mwendazake alikuwa iblisi maluun
Lete hoja acha Vioja....

Unakimbilia kwenye tukio badala ya kujibu niliyoyasema mimi!

Jamaa yenu pamoja na usomi wake,ukweli ni kwamba Dish lake limeyumba!

Kuna kitu huwa hakiko sawa kwenue Medula yake.

Na sasa anaumwa Maradhi ya "Magu-Phobia"

Hata asipokuwa amesemeshwa,utakuta anatamka neno "MAGUFULI" bila kujielewa kwamba amelitamka!
 
Mwanangu anaitwa Antipacy kwa heshima ya huyu baba. Yaani kimsingi familia yangu yooote inamuelewa Lissu mnoo japo yeye hajui. Naamini siku akija nitamkaribia akutane na wajina wake.
 
Ni Mmoja wa watu wenye akili nyingi hapa nchini.
Akiwa chuo kikuu cha Dar es salaam alipata First Class na akawa the BESTB STUDENT!
 
Back
Top Bottom