Duu!! Mkuu hapa kuna ukweli mchunguTatizo la wafanykazi wa Tanzania ni midabwada, watu hopeless and stupid ! Kuna wale ambao wana ka upenyo ka kupata bakishishi/marupurupu kazini, haya ya mifuko hayawahusu, "wanafidia" huku wanakochota. Kundi la walimu (siyo wote tafadhali, ila wengi wao wako hivyo) ni kundi la academic failures ambao walipata Div 4 na hivyo kujiona "afadhali" wanapata hata hicho kidogo! WAMEGAWANYIKA katika makundi ya imani/itifaki mbali mbali. Mapolisi/wanajeshi ni academic failures, wao wanaona kama wamekuwa favoured na hiyo wanashukuru hata kidogo hicho wanachokipata, wanapata virushwa rushwa, wanaona ahueni. Kuwaunganisha siyo kazi rahisi! Wanahitaji mental liberation!
Hizo fedha hazipo zilishapigwa kitambo,wanaokoteza michango ndipo wawalipe kwa mafungu.Ndiyo maana waliunganisha mifuko bila kuwashirikisha wenye mifuko(wafanyakazi) wa umma na binafsi.
Kiukweli hii mifuko ya hifadhi ya jamii ilishafilisika.
Nondo mtakuwa nazo nyie wezi tu hamna lolote.Tupo jikoni na Polepole tunaandaa nondo za kumjibu
Wao wanajilipa baada ya miaka 5 tu!Ila Magufuli na serikali yake mmewadhulumu watumishi wasio na hatia. Mtu afanye kazi miaka kadhaa na baada ya hapo apoteze ajira na huku ana michango yake NSSF anateseka na njaa na watoto Wake, halafu unamwambia eti asubiri atimize miaka 55.!?
Huu ni unyama, ni uporaji na unyonyaji.
Viongozi hawaoni hili kwa kua wanalishwa na kuhudumiwa na kodi za wavuja jasho lakini huu ni ukatili mkubwa sana kwa watumishi walipoteza ajira zao ili hali akiba zao waliojiwekea zibazuiluwa NSSF kuwanufaisha wakubwa.
Yaani ccmu ama kweli mwanaccm ni zombi fln hv likjitu flni hv
Hawawezi kujibu kwasababu hakuna hoja yoyote aliyotoa. Kwa taarifa yako, HAKUNA FAO LA KUJITOA kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii dunia nzima isipokuwa Tanzania. Na Tanzania iliwezekana kwasababu ya Sera Nzuri ya Chama cha Mapinduzi. Kwahiyo namshukuru sana Tundu Lissu kwa kutetea Sera Nzuri za CCM!!!Huu ni msumari wa moto.
CCM hawatajibu lolote la maana, sana sana watasema kuweni wazalendo kwa nchi yenu.
Ukoo wa panya!
Huu ni msumari wa moto.
CCM hawatajibu lolote la maana, sana sana watasema kuweni wazalendo kwa nchi yenu.
Ukoo wa panya!
hahaha sasa cha ajab nn apo, kwan ulidhan pesa zinachukuliwa ili zitunzwe? hio ni financial service means they can do anything about your money, ni sawa na benki tu wanavokopesha watu pesa na bado waliokopa wanashindwa kurudisha! ni kitu cha kawaida
Suala ni tuache siasa za aina gani. Hawa wanasiasa wanaojivika uzalendo uchwara kuhusu hela za wafanyakazi wao wenyewe wametengenezewa utaratibu maalum ambapo wanakatwa na NSSF halafu baada ya kumaliza ubunge wanarudishiwa pesa zao.
Tupo jikoni na Polepole tunaandaa nondo za kumjibu
Makusanyo bora kuliko awamu zote ? Kwa kiasi fulani ni kweli lakini vipi kuhusu matumizi yake ?Tuna shida ya matumizi yasiyo na tija kama nchiSasa shughuri ndokwaanza imeanza tunasubiri tuambiwe ripoti za CAG za miaka yote Mitano,tunataka tuambiwe matumizi ya Serikali yasasa yamepungua ama la ! Maana tulikuwa gizani kipindi chote Cha miaka5,tunataka kujua kwanini Deni linekuwa kwa Kasi nahuku tukiwa namakusanyo Bora kuliko awamu zote,pia tunataka tufahamu utekelezaji wa ilani yao ni kwakiasi gani wametekeleza? ili tupate kuona Kama tunaweza waamini tena TL tunaamini utatueleza yote huwenda wenye wajibu wakusema wasiseme,,
Hapa ndipo ninapoichukia sheria ya hifadhi ya jamii TanzaniaKiukweli huu utofauti wa wenzetu miaka mitano tu wanapata chao 240ml halafu sisi walala hoi milioni 2/3/4/5/10 unaambiwa usubiri au utafute kazi nyingine sijui hawaelewi kwamba wanatupandikizia chuki na uwekaji huu wa matabaka.