Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Lissu..Lissu ameyasema hayo ktk mhadhara alioutoa Makerere University.
..foreign policy ni moja ya eneo ambalo Tundu Lissu anasema Watanzania tunapaswa kujivunia na kumuenzi Mwalimu Nyerere.
Mhm , mzaliwa wa kwanza wa US labda🤔Israel ni mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye hai.
Amebarikiwa ambarikiye, amelaaniwa amlaaniye,
Lissu ajiangalie.
Kama tunashindwa kwa majirani zetu DRC sembuse huko ughaibuni
Acheni kujipendekeza kwa waizraeli kwa mgongo wa dini.Israel ni mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye hai.
Amebarikiwa ambarikiye, amelaaniwa amlaaniye,
Lissu ajiangalie.
Tanzania nchi ya kinafiki sana eti haifungamani na upande wowote..Ujerumani wamewawekea vikwazo Rwanda, sio tulioko karibu tunaoteseka na uhuni wao tuko kimya.
Hizi tabia kuna namna hata raia wanazo😂Tanzania nchi ya kinafiki sana eti haifungamani na upande wowote
Tabia za nchi zimetulea na sisi tumekua nazo😂Hizi tabia kuna namna hata raia wanazo😂
Lisu hajui chochote kuhusu ISRAEL na PALESTINA, anachojua yey ni kutafuta huruma na attention ya majority in order to satisfy human needs..Lissu ameyasema hayo ktk mhadhara alioutoa Makerere University.
..foreign policy ni moja ya eneo ambalo Tundu Lissu anasema Watanzania tunapaswa kujivunia na kumuenzi Mwalimu Nyerere.
Tueleze chochote unacho kijua kuhusu Israel na PalestinaLisu hajui chochote kuhusu ISRAEL na PALESTINA, anachojua yey ni kutafuta huruma na attention ya majority in order to satisfy human needs
TZ tunaweza unafiki na uchawa TU!Tanzania nchi ya kinafiki sana eti haifungamani na upande wowote
Hujui maandiko.acha kukaririshwa ujinga na wachungaji fekiIsrael ni mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye hai.
Amebarikiwa ambarikiye, amelaaniwa amlaaniye,
Lissu ajiangalie.
Siku hizi wana "Diplomasia ya Uchumi" ambayo imekaa kimaslahi zaidi...Lissu ameyasema hayo ktk mhadhara alioutoa Makerere University.
..foreign policy ni moja ya eneo ambalo Tundu Lissu anasema Watanzania tunapaswa kujivunia na kumuenzi Mwalimu Nyerere.
Israel ya netanyahu ndo iyo ya biblia waisrael kasome wimbo ulobora ni weusiIsrael ni mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye hai.
Amebarikiwa ambarikiye, amelaaniwa amlaaniye,
Lissu ajiangalie.
UNAJUA MAANA YA MAANDKO HAYO?Israel ni mzaliwa wa kwanza wa Mungu aliye hai.
Amebarikiwa ambarikiye, amelaaniwa amlaaniye,
Lissu ajiangalie.