Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Akitoa hotuba katika Miaka 60 ya Uhuru, Mhe Tundu lLisu amependekeza mambo yafuatayo kufikia au kuelekea kupata Uhuru wa kweli baada ya kupata Uhuru wa bendera.
1. Ni lazima tuakikishe kwamba, bila masharti yoyote wafungwa wote wa kisiasa wanakuwa huru kutoka mikononi mwa Mahakama na dola.
2. Lazima tuakikishe kwamba, bila masharti yoyote Uhuru wa vyama vyote kufanya siasa kwa mujibu wa Sheria unarejea katika Taifa letu.
3. Lazima tuakikishe kwamba, bila masharti yoyote tunafufua mchakato wa Kupata Katiba mpya itakayotoa haki Kwa wote.
4. Lazima tuakikishe kwamba tunakuwa na tume huru ya UCHAGUZI
5. Tunapigania Uhuru wa vyombo vya habari viweze kutenda haki Kwa wananchi
6. Lazima tuakikishe tunajenga Taifa lililoshikamana na lisiyoyumba Kwa mpishano wa hoja za kisiasa. Tuzingatie kwamba hakuna binadamu mwenye haki yakuondoa haki ya kuishi na kutoa maoni.
1. Ni lazima tuakikishe kwamba, bila masharti yoyote wafungwa wote wa kisiasa wanakuwa huru kutoka mikononi mwa Mahakama na dola.
2. Lazima tuakikishe kwamba, bila masharti yoyote Uhuru wa vyama vyote kufanya siasa kwa mujibu wa Sheria unarejea katika Taifa letu.
3. Lazima tuakikishe kwamba, bila masharti yoyote tunafufua mchakato wa Kupata Katiba mpya itakayotoa haki Kwa wote.
4. Lazima tuakikishe kwamba tunakuwa na tume huru ya UCHAGUZI
5. Tunapigania Uhuru wa vyombo vya habari viweze kutenda haki Kwa wananchi
6. Lazima tuakikishe tunajenga Taifa lililoshikamana na lisiyoyumba Kwa mpishano wa hoja za kisiasa. Tuzingatie kwamba hakuna binadamu mwenye haki yakuondoa haki ya kuishi na kutoa maoni.