Pre GE2025 Tundu Lissu aelewe Kuchangiana ni Utamaduni wa Watanzania, hata Mbowe alilikabidhi KKKT Machame Mchango wa Tsh. Milioni 150 kutoka kwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema mko hoi kweli, hadi Erythrocyte kachangiwa na Jokate?
 
Kwa hiyo Tundu Lisu aliyelipiwa Chopa na Mbunge wa CCM ni malaya?

Au Mbowe anayezunguka Makanisani akiwa na Halima Mdee na Esther Bulaya ni Malaya?

Siasa Siyo Uadui tutusa wahed
Acha uongo. Alimtoa mkopo kwa wakati huo. Halafu Lissu alikuwa hajitambui. Unaongea kana kwamba walikubaliana kulipana chopa.
 
Kwa hiyo Tundu Lisu aliyelipiwa Chopa na Mbunge wa CCM ni malaya?

Au Mbowe anayezunguka Makanisani akiwa na Halima Mdee na Esther Bulaya ni Malaya?

Siasa Siyo Uadui tutusa wahed
Acha uongo. Alitoa mkopo kwa wakati huo. Halafu Lissu alikuwa hajitambui kutokana na kupigwa risasi. Unaongea kana kwamba walikubaliana kulipana chopa.
 
Halafu baada ya hapo utafaidika Nini?. Mbona CHADEMA haipo bungeni mnahangaika na bunge lisilojitambua.
 
Kwa hiyo una maana gani hapa?

Kwamba zile fedha alizozisema Tundu Lissu kule Iringa jana ni mchango wa Rais Samia kwa ajili ya kumsadia mgombea fulani wa CHADEMA ili ashinde..?

Hii michango unayoisema hapa ilitolewa kwa uwazi na kwa kweli haina shida yoyote.

Hii yenyewe huko Iringa imekaaje tena toka CCM kwenda kwa mgombea mmoja au wawili wa CHADEMA.?

Na ni nani huyo na kwanini zitolewe kwa kificho huku mtoaji akijificha mpaka watu wamjue kwa njia zingine za kijasusi?
 
Bwashee kumsaidia mtu siyo matangazo nasi Wagalatia tunakielewa hili vizuri sana πŸ˜„πŸ˜„
 
Lissu aache kuingilia michakato ya uchaguzi unless ana evidence kuhusu Rushwa kwa alilosema. vinginevyo atapuuzwa Chadema na atapuuzwa CCM na atapuuzwa na wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…