Pre GE2025 Tundu Lissu afunguka kuacha wazi nafasi moja ya Mjumbe wa Kamati Kuu, asema siyo ya Dkt. Slaa, wala Mgombea Urais, wala mtu kutoka CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
😃😃😃😁😁 uongo....
 
Lissu hakurupuki.....hiyo Nafasi mpaka Intelijensia itakapomaliza Vetting ndipo nafasi itazibwa.
 
Ni Uongo😅😅😅
 
Hii ndio ingekuwa Nafasi ya Kamanda wa Zamani Mohamed Ali Kibao R.I.P
 
mrema hatakiwi kupewa hata kazi ya kufagia tu. John Mrema. mkaanga sumu.
 
na hiyo nayo ni habari? Katafute habari za maana
 
Slaa anarudi CDM kukoleza moto na hivi mama anamtess slaa na team mwendazake wanampenda slaa na wana hasira na maza
 
Lisu anaweza kutukana na kubeza baaasiii hayamengine mnamuonea tuu!
Hawezi kuongoza watu huyu tundu mitusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…