Pre GE2025 Tundu Lissu akiwa BBC: Kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao hautakuwa huru na wa haki

Pre GE2025 Tundu Lissu akiwa BBC: Kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao hautakuwa huru na wa haki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakati joto la uchaguzi likiendelea kufukuta Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amedokeza kuwa kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao hautakuwa wa huru na wa haki.

Akiongea na BBC Swahili, Lissu ametanabaisha kuwa uchaguzi wa 2020 haukuwa wa haki na kwamba pamoja kuwa na dosari zilizojitokeza 2020 hakuna chochote kilichobadilika wakati taifa linajiandaa kuingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

Kuna kila za kuonesha kwamba uchaguzi ujao huu wa mwezi wa 11 na ujao uchaguzi mkuu hautakuwa huru, wa haki wala ulio credible zilezile zilizofanya uchaguzi wa nyuma kutokuwa wa haki, huru na zisizokuwa na credibility yoyote

Soma pia: Tundu Lissu: Ushindi kupitia uchaguzi huru mwaka 2024 na 2025 ndiyo salama ya Tanzania

 
Wakati joto la uchaguzi likiendelea kufukuta Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amedokeza kuwa kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao hautakuwa wa huru na wa haki.

Akiongea na BBC Swahili, Lissu ametanabaisha kuwa uchaguzi wa 2020 haukuwa wa haki na kwamba pamoja kuwa na dosari zilizojitokeza 2020 hakuna chochote kilichobadilika wakati taifa linajiandaa kuingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.



Soma pia: Tundu Lissu: Ushindi kupitia uchaguzi huru mwaka 2024 na 2025 ndiyo salama ya Tanzania
Kwani uchaguzi gani hapa Tanzania uliwahi kuwa huru na haki?

Namshauri Bw. Tundu Lissu na wenzake wengine wa CHADEMA wajikite zaidi kwenye suala la Upatikanaji wa Katiba Mpya iliyo nzuri pamoja na suala la kuondoa Sheria kandamizi zote kabisa zilizopo hapa Tanzania.
 
NI KWELI,TULISHAMUAMBIA LISU KUWA MBOWE HAWEZI KUTOKA HAPO MADARAKANI HADI KIFO KIMUONDOE,KWAHIYO ASITARAJIE KUWA KUTAKUWA NA UCHAGUZI WA HAKI,HURU NA AMANI HAPO,MWENZAKE MSIGWA KAKIMBIA YEYE ANASUBIRIA NINI??
 
Wakati joto la uchaguzi likiendelea kufukuta Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amedokeza kuwa kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao hautakuwa wa huru na wa haki.

Akiongea na BBC Swahili, Lissu ametanabaisha kuwa uchaguzi wa 2020 haukuwa wa haki na kwamba pamoja kuwa na dosari zilizojitokeza 2020 hakuna chochote kilichobadilika wakati taifa linajiandaa kuingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.



Soma pia: Tundu Lissu: Ushindi kupitia uchaguzi huru mwaka 2024 na 2025 ndiyo salama ya Tanzania
Waliambiwa wasikubali uchaguzi bila Katiba Mpya... Wadanganyika sijui kwanini hawaelewi mambo ya msingi!
 
Wakati joto la uchaguzi likiendelea kufukuta Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amedokeza kuwa kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao hautakuwa wa huru na wa haki.

Akiongea na BBC Swahili, Lissu ametanabaisha kuwa uchaguzi wa 2020 haukuwa wa haki na kwamba pamoja kuwa na dosari zilizojitokeza 2020 hakuna chochote kilichobadilika wakati taifa linajiandaa kuingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.



Soma pia: Tundu Lissu: Ushindi kupitia uchaguzi huru mwaka 2024 na 2025 ndiyo salama ya Tanzania
Uchaguzi huru na Haki sio Chadema kushinda 😁😁
 
Wakati joto la uchaguzi likiendelea kufukuta Tanzania, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amedokeza kuwa kutokana na hali ya kisiasa ilivyo nchini kuna kila dalili kuwa uchaguzi ujao hautakuwa wa huru na wa haki.

Akiongea na BBC Swahili, Lissu ametanabaisha kuwa uchaguzi wa 2020 haukuwa wa haki na kwamba pamoja kuwa na dosari zilizojitokeza 2020 hakuna chochote kilichobadilika wakati taifa linajiandaa kuingia kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.



Soma pia: Tundu Lissu: Ushindi kupitia uchaguzi huru mwaka 2024 na 2025 ndiyo salama ya Tanzania
Tundu ndo katuangusha, aliona wapi nchi ikawa na uchaguzi wa haki? Asijifanye wanaishi kwa ufadhili wa 4Rs. Maana wanaoisho kwa ufadhili wa 4Rs ndo anaogopa kusema wasije wanakataa mikia
 
Back
Top Bottom