Pre GE2025 Tundu Lissu akiwa Mwenyekiti wa Chadema dhana ya Uchawa itafutika kuanzia Chadema hadi CCM na hicho ndicho chawa Wanakiogopa sana!

Pre GE2025 Tundu Lissu akiwa Mwenyekiti wa Chadema dhana ya Uchawa itafutika kuanzia Chadema hadi CCM na hicho ndicho chawa Wanakiogopa sana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Unajua dhana ya Uchawa imejikita kwenye Ulimwengu wa roho ndio sababu utakuta kapuku mmoja wahed kabisa anamuendesha na kumpangia mambo ya kufanya kiongozi mkubwa

Uchawa umejikita kwenye nguvu za Giza na Ulozi ndio sababu utakuta Viongozi Wetu wanafanya mambo ya ajabu ajabu hadi aibu tunaona sisi

Sasa Tundu Lisu akiingia kwenye Uongozi wa juu wa Siasa za nchi yetu atakuwa kama Nuru katikati ya Giza Nene na hapo ndipo Viongozi Wote wa CCM na Upinzani watafunuliwa katika Ulimwengu wa roho kwamba CHAWA binadamu siyo viumbe wazuri kabisa

Mtazame Freeman alivyozungukwa na CHAWA amesahau kabisa kuwa alienda kumchukua Zitto Kabwe pale The Hill akiwa Kijana mdogo kabisa anayevaa kandambili Lakini Leo Zitto Kabwe siyo kaunda Chama tu bali kaunda hadi Serikali na ana Wabunge wengi wa kuchaguliwa kuliko Chadema na ameshastaafu ila Mbowe bado anagombea Uongozi na akina John Pambalu

Machawa ni Warogaji sana kama alivyosema yule Bashite

Baadaye Mlale Unono 😀

PIA SOMA
- Lissu akiwa mwenyekiti wa CHADEMA atahujumiwa sana na hatafanikiwa chochote, lakini pia akiwa mgombea urais wa CHADEMA atahujumiwa na atapata aibu
 
Mmh Bado natafakari aliyeandika ni wewe au ?🤭🥱
 
Wote wanatafuta Kik, badala ya kukijenga chama
Acha wapoteze muda, maana wote tumewachoka si Chadema Wala CCM
 
Chadema kiboko aiseeee! Sasa hivi hakuna kinachozungumzwa sana kama mambo ya CHADEMA. Nimeshangaa sana hadi akina Lucasi Mwashambwa wamesahau kabisa wajibu wao wa "KUBUBUJIKWA NA MACHOZI" Sasa wamekita kambi CDM.
 
Mimi Lissu simuelewi.
1. Anapinga uchawa lakini anakubali mtu mmoja kumlipia fomu ya uchaguzi. Huyu mtu si atakuwa anawekeza na amempa nafasi ya kutamba kuwa yuko karibu nae? Uchawa si ndio unaanza hivi? Ni bora angekubali michango midogo midogo kuliko huu wa mtu mmoja.
2. Anaomba achangiwe gari lakini badala ya gari la kawaida anataka Vi eiti. Huyu akiwa Mwenyekiti ataweza kuleta mabadiliko katika matumizi na kuachana na magari ya kifahari ya gharama kubwa ambayo ndio ugonjwa wetu?
3. Anaita press conference katika ukumbi wa bei mbaya. Ukumbi wa mabwanyenye.

Kitu kizuri alichokifanya hivi karibuni ni kusisitiza loyalty yake kwa chama chake, ashindwe au ashinde. Na kuwa tofauti za mitazamo sio udai kama wale wanaojifanya kuwa ni wapambe wake wanataka tuamini. Hilo ni muhimu sana.

Akiendelea hivyo, bila kujali atashindana na nani, atakuwa amekisaidia sana chama chake kwa kukilazimisha kijitafakari upya.

Amandla...
 
Unajua dhana ya Uchawa imejikita kwenye Ulimwengu wa roho ndio sababu utakuta kapuku mmoja wahed kabisa anamuendesha na kumpangia mambo ya kufanya kiongozi mkubwa

Uchawa umejikita kwenye nguvu za Giza na Ulozi ndio sababu utakuta Viongozi Wetu wanafanya mambo ya ajabu ajabu hadi aibu tunaona sisi

Sasa Tundu Lisu akiingia kwenye Uongozi wa juu wa Siasa za nchi yetu atakuwa kama Nuru katikati ya Giza Nene na hapo ndipo Viongozi Wote wa CCM na Upinzani watafunuliwa katika Ulimwengu wa roho kwamba CHAWA binadamu siyo viumbe wazuri kabisa

Mtazame Freeman alivyozungukwa na CHAWA amesahau kabisa kuwa alienda kumchukua Zitto Kabwe pale The Hill akiwa Kijana mdogo kabisa anayevaa kandambili Lakini Leo Zitto Kabwe siyo kaunda Chama tu bali kaunda hadi Serikali na ana Wabunge wengi wa kuchaguliwa kuliko Chadema na ameshastaafu ila Mbowe bado anagombea Uongozi na akina John Pambalu

Machawa ni Warogaji sana kama alivyosema yule Bashite

Baadaye Mlale Unono 😀

PIA SOMA
- Lissu akiwa mwenyekiti wa CHADEMA atahujumiwa sana na hatafanikiwa chochote, lakini pia akiwa mgombea urais wa CHADEMA atahujumiwa na atapata aibu
Lucas Mwashambwa uzi unakuhusu huu.
 
Back
Top Bottom