lugoda12
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 276
- 574
#TANZANIA:TUNDU LISSU:KWENYE NCHI HII HAKUNA HAKI MAHALI POPOTE
“Nchi hii haina haki mamilioni ya wananchi hawatendewi haki, kwenye vituo vya polisi hakuna haki, kwenye mahakama zetu hakuna haki, Hospitalini hakuna haki, kwenye taasisi za elimu hakuna haki, nchi hii hakuna haki mahali popote na yote ni kwa sababu tunatawaliwa na watu ambao wako madarakani kwa sababu tu ndio wanaoamua kura ya nani ihesabike na ya nani isihesabike” - @TunduALissu , Mwenyekiti wa Chadema Taifa
“Nchi hii haina haki mamilioni ya wananchi hawatendewi haki, kwenye vituo vya polisi hakuna haki, kwenye mahakama zetu hakuna haki, Hospitalini hakuna haki, kwenye taasisi za elimu hakuna haki, nchi hii hakuna haki mahali popote na yote ni kwa sababu tunatawaliwa na watu ambao wako madarakani kwa sababu tu ndio wanaoamua kura ya nani ihesabike na ya nani isihesabike” - @TunduALissu , Mwenyekiti wa Chadema Taifa