Tundu Lissu aliruhusiwa na Mbowe au na Bunge kuishi kwenye nyumba ya Serikali iliyotengwa maalum kwa ajili ya KUB!

Tundu Lissu aliruhusiwa na Mbowe au na Bunge kuishi kwenye nyumba ya Serikali iliyotengwa maalum kwa ajili ya KUB!

Naelewa itifaki ya Makazi ya viongozi ilivyo ndio sababu nashindwa kuelewa utaratibu gani hutumika Kiongozi kumuachia Mtu Mwingine asiyestahili Kuishi nyumba ya Serikali Kwa Dhamana yake

Nyumba za Viongozi wa Serikali ni tofauti kabisa na upangaji wa nyumba za National Housing

Ni kweli Mbowe Ndiye alimpa Tundu Lisu nyumba au ni Bunge lenyewe ndio liliamua Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani aishi pale kwa sababu KUB ana Makazi binafsi ya kudumu ?

Nimekaa pale kuelimishwa [emoji209]
kama unaekewa itifaki ilivyo sasa unataka sisi tusiojua itifaki tukusaidieje
 
Siasa siku zote haina rafiki au Adui wa kadumu na hakana kumwamini mwana siasa hata nukta moja... maana siasa si sera wala katiba..


Hivyo scene inayo endelea ni kama script ambayo mwisho wa siku plan will be accomplished..
Stay tuned....
 
ni kama unataka kuachana na demu halafu umwambie unajua kuna simu na chupi nilikununulia🤔
Kwa hio kabla hatujaachana hakikisha ile simu na zile chupi nilizokununulia ukavaa nikawa nakuvua kila wakati unazirudisha kwanza ndio uende kwa huyo anaeenda kukusukumia muwa
 
In whatever case, Tundu kabebwa sana na Freeman

Tunaomjua Tundu ndio tunamkataa..

Hizi porojo zenu za kwamba msaada hauna maana ni sawa vile vile wala sio mapya.

Ni nature ya watanzania waliokulia kwenye umasikini, ukiwasaidia kuna siku wata ku backstab.

Nakupa privilege and platforms na bado uje unidhihaki.... Dah, Mbowe ni gentleman sana.
Ndio maana mimi kamwe sikubari kusaidiwa kindezi mtu anakupa tafu akitegemea baadae aje aseme nilimpa hiki na hiki huo ni undezi wana sio wana umemtoa kishikaji mambo yakiwa out of boundaries kausha usianze ngebe acha watu wengine wakusemee usiseme wewe km wewe haikai poa hio hata kidogo as a matter of fact wote hawapo sahihi ila la kusema nilimpa hiki na hiki sija-support na si-support
 
Ndio maana mimi kamwe sikubari kusaidiwa kindezi mtu anakupa tafu akitegemea baadae aje aseme nilimpa hiki na hiki huo ni undezi wana sio wana umemtoa kishikaji mambo yakiwa out of boundaries kausha usianze ngebe acha watu wengine wakusemee usiseme wewe km wewe haikai poa hio hata kidogo as a matter of fact wote hawapo sahihi ila la kusema nilimpa hiki na hiki sija-support na si-support
Sawa mkuu,

Ni life cycle tu.... Hiii huwa inajirudia ... Life is marathon not a sprint.
 
Kwa hio kabla hatujaachana hakikisha ile simu na zile chupi nilizokununulia ukavaa nikawa nakuvua kila wakati unazirudisha kwanza ndio uende kwa huyo anaeenda kukusukumia muwa
Hii msg mtumie demu wako, kabla ya kukuweka ignore list ya maisha wewe kijana mjinga.
 
Back
Top Bottom