brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
kama unaekewa itifaki ilivyo sasa unataka sisi tusiojua itifaki tukusaidiejeNaelewa itifaki ya Makazi ya viongozi ilivyo ndio sababu nashindwa kuelewa utaratibu gani hutumika Kiongozi kumuachia Mtu Mwingine asiyestahili Kuishi nyumba ya Serikali Kwa Dhamana yake
Nyumba za Viongozi wa Serikali ni tofauti kabisa na upangaji wa nyumba za National Housing
Ni kweli Mbowe Ndiye alimpa Tundu Lisu nyumba au ni Bunge lenyewe ndio liliamua Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani aishi pale kwa sababu KUB ana Makazi binafsi ya kudumu ?
Nimekaa pale kuelimishwa [emoji209]
Kwa hio kabla hatujaachana hakikisha ile simu na zile chupi nilizokununulia ukavaa nikawa nakuvua kila wakati unazirudisha kwanza ndio uende kwa huyo anaeenda kukusukumia muwani kama unataka kuachana na demu halafu umwambie unajua kuna simu na chupi nilikununuliaš¤
Ndio maana mimi kamwe sikubari kusaidiwa kindezi mtu anakupa tafu akitegemea baadae aje aseme nilimpa hiki na hiki huo ni undezi wana sio wana umemtoa kishikaji mambo yakiwa out of boundaries kausha usianze ngebe acha watu wengine wakusemee usiseme wewe km wewe haikai poa hio hata kidogo as a matter of fact wote hawapo sahihi ila la kusema nilimpa hiki na hiki sija-support na si-supportIn whatever case, Tundu kabebwa sana na Freeman
Tunaomjua Tundu ndio tunamkataa..
Hizi porojo zenu za kwamba msaada hauna maana ni sawa vile vile wala sio mapya.
Ni nature ya watanzania waliokulia kwenye umasikini, ukiwasaidia kuna siku wata ku backstab.
Nakupa privilege and platforms na bado uje unidhihaki.... Dah, Mbowe ni gentleman sana.
Sawa mkuu,Ndio maana mimi kamwe sikubari kusaidiwa kindezi mtu anakupa tafu akitegemea baadae aje aseme nilimpa hiki na hiki huo ni undezi wana sio wana umemtoa kishikaji mambo yakiwa out of boundaries kausha usianze ngebe acha watu wengine wakusemee usiseme wewe km wewe haikai poa hio hata kidogo as a matter of fact wote hawapo sahihi ila la kusema nilimpa hiki na hiki sija-support na si-support
Hii msg mtumie demu wako, kabla ya kukuweka ignore list ya maisha wewe kijana mjinga.Kwa hio kabla hatujaachana hakikisha ile simu na zile chupi nilizokununulia ukavaa nikawa nakuvua kila wakati unazirudisha kwanza ndio uende kwa huyo anaeenda kukusukumia muwa
Mwambie mwenyewe DammdaekoHii msg mtumie demu wako, kabla ya kukuweka ignore list ya maisha wewe kijana mjinga.