johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #61
Hujui wakubwa wako wapi?Sasa SI ndio umeona au, unaota🤔
Wee vipi weweeee! Ile kufa tu MWENDAZAKE,tayari MALALAMIKO kwishaaaa!Kwahiyo wakipeleka orodha mpya yale malalamiko yao kuhusu uchaguzi yatakuwa yametatuliwa?
Hamasa yake ilikuhamasisha ukahamasika!!???Kazi kubwa gani John the Baptist,ya kuhamasisha ushoga!!!Acheni kusifia uovu jamani.And then,Ulaya kunakuhusu nini wewe,nilidhani kafanya kazi kubwa Tanzania,au angalau Africa,Ulaya!!!!!!!
Hahahaaaa.. .....Kamanda Mrangi akikusoma atakucheka sana !nyambafu we unajua kitu ilikuwa inaitwa Langata social, hall, YMCA, Mbowe Club, Pool side au ndo umekuta Club billicanas..... watu tupo kitambo usione tupo na Mbowe tunajua struggle zake since then!!!!!
Anayeutaja taja ujuwe umemkaa kuanzia moyoni,akilini hadi mwilini.Bwashee usipende kuutaja ushoga.
Ushoga ni kinyaa ukiona mtu anautajataja ujue kauzoea huyo!
Mrangi kwake Kondoa mjini alikuja lini?Hahahaaaa.. .....Kamanda Mrangi akikusoma atakucheka sana !
Kwani ulishatoka uvccm, upo kundi la wazee Sasa au bado unawashangilia uliowataja(wahamiaji wa kijani fc)Hujui wakubwa wako wapi?
Ukiwa mwanasiasa lazima uwe mtafiti vinginevyo utazeekea hapo hapo uvccm ukiwashangilia Katambi na Silinde.
Simkumbuki jina lakini mzuri mzuri hiviCatherine Ruge
Kwakuwa ni mlakodi Hana muda wakufuatilia zinakotokađź’°đź’°.Hujui wanywa pombe ndio wachangiaji wakubwa wa kodi inayokusanywa na GoT!!!???
Tuheshimiwe,tutambuliwe,tusajiliwe na tuwe na muwakilishi wetu mahususi huko "bongeni mazuzuni".
Huu U H A R O kawasimulie wenzio kwenye zile korido za ofisi ndogo ya Makao MakuuInasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Inasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Hamasa yake,ikanihamasisha?Lissu?Hamasa yake ilikuhamasisha ukahamasika!!???
Yuko ofisini kwa Jaji wanapata lunch.
Uliwahi kuona Jaji anamualika mahabusu ofisini?
Hahahaaaa........ Umeshalipwa udalali wa kumtoa Mwamba jela?Huu U H A R O kawasimulie wenzio kwenye zile korido za ofisi ndogo ya Makao Makuu
Majaji wanakula ofisini!Why offisin na sio hotelin
Subiri tamko la Mahera PhD hivi karibuni!Hebu weka nyama zaidi...
Hata gaidi nae ameacha kualalamika?Wee vipi weweeee! Ile kufa tu MWENDAZAKE,tayari MALALAMIKO kwishaaaa!
Nchi imeanza upyaa! We mwenyewe unaona ENZI MPYA! Ubelgiji, Ufaransa, USA wanamjua Rais wetu, kwa kumuona live! Kabla ya mageuzi haya, walikuwa wanamjua?
Hata mimi sijamuelewa huyu BAVICHA anamaanisha niniAlielewa anisaidie kuelewa