johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #121
Hahahaaaa....... Mambo yanaenda kasi sana.Ahaàa ni kweri kwa mtazamo wako na ni wazo binafsi
Ni Yeye!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa....... Mambo yanaenda kasi sana.Ahaàa ni kweri kwa mtazamo wako na ni wazo binafsi
Labda wabunge toka bububu na jambianiInasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
CHADEMA itatawala nchi hii kupitia harakati hizi hizi, yakiwepo maridhiano!Haya ya mtu yametoka wapi?
Kama ningekuwa shoga nisinge ona ni uovu mkuu,ninge utetea kama Lissu.Unapenda sana kuuzungumzia huu ushoga. Watu wanaulizia hapa 'mathanzua ni mmoja wao?'
Mkuu bado wataendelea kuwa katika nafasi yao ileile wakati roho zao zimefarijika kuwakilishwa na COVID 19 walioteuliwa kihalali na CHAMA kwa maana na Viongozi halali wa CHADEMANdo watakuwa wamejimaliza, kwa sababu watakuwa wamekubali kwamba uchaguzi ulikuwa halali. Such a big technical mistake!
Hivi huyo unamuona zimo kweli,hayo ni matokeo ya kuvuta bangi.Na unajua nini,kakamatwa babaya,anapumua baada ya kuambiwa bosi wake anatetea mashoga Ulaya.Mamamamamamaeeee [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] umeyataka mwenyewe mzee wa konspirasiz Mathanzua
Sijaelewa kitu, chumvi nyingi, kwamba mtu akae ulaya kimkakati wakati kilichompeleka ni kupigwa marisasi, Bado akamaliza kampeni, tuliona alikaa ubalozin mpaka alipo ondoka chin ya BALOZI,Alielewa anisaidie kuelewa
Hadi sasa bado hujaelewa?Sijaelewa kitu, chumvi nyingi, kwamba mtu akae ulaya kimkakati wakati kilichompeleka ni kupigwa marisasi, Bado akamaliza kampeni, tuliona alikaa ubalozin mpaka alipo ondoka chin ya BALOZI,
Jf ina watu aisee
Huwezi kuja na propaganda mfu ukafaulu , sawa CCm kindakindaki, Mambo ya Chadema kaa mbali nayo, baki na mwaccm mwenzako mzee Mgaya, unanipenda chadema isiokupenda, na kuja na vihabari vyako vya kuotaHadi sasa bado hujaelewa?
Basi hujui siasa hapo uvcvm upo kichawa chawa tu!
Kipindi unaandika huo uzi ulikalia kitu chenye ncha??Inasemekana kuchelewa kurejea nchini kwa makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kulipangwa kimkakati zaidi ili aendelee kuwasiliana na wafadhili wa Ulaya akiwa karibu nao.
Kazi yake inasemekana imezaa matunda kwa 65% na kwa kuanzia Chadema itapeleka wabunge halali 19 wakaungane na yule mmoja wa Nkasi.
Mengine yatawajia.
Hii ni pati gazeti.
Mrangi unakumbuka Drive in Cenema!
Huyo ndio nani.T
TISS wadhibitiwe?
Kamulize mzee wa Kaperanaumu alivyokuwa anajigamba ndani ya joho.Leo yuko wapi.
Wewe umekalia mtambo!Kipindi unaandika huo uzi ulikalia kitu chenye ncha??
Huyu anaitwa MC mwandika chochote. Ni ngumu kumwelewaAlielewa anisaidie kuelewa
Msalimie kaka yakoHahahaaaa.........!
Hii mada wanaelewa CC ya Ufipa siyo bavicha!
Yanatoka moyoni mwako hayo? Au ndio yowe mnazolishana huko kijani?Mdee na wenzie watadunda bungeni mpaka 2025 kwa sababu viongozi wa CHADEMA kwa sababu wanazozijua wao, wamegoma/wanaogopa kuitisha baraza kuu
HahahahaHii Tabia ya mtu kuamka na kukimbilia vyupa vya pombe ni tatizo
HahahahhaaNdio maana niliachaga bangi
JK alisema "ukitaka kula lazima na wewe uliwe" Lazima ufahamu kuwa wakati mwingine ili upate kitu lazima na wewe ukose kitu. Serikali inahitaji misaada ya kimataifa kama sikosei pesa za World Bank zina masharti kuwa Kamati za Bunge kama ile ya Fedha na Mashirika ya Umma and the like, Wenyeviti wake lazima wawe wanatoka upinzani and so wale Covid 19 wakiondolewa maana yake serikali izikose hizo pesa (Hawa kuwaza vizuri wakati wanaharibu uchaguzi kwa kutaka viti vyote vya bunge na ndiyo maana ya kufanya figisu ya kuingiza hao Covid 19 na kuendelea kutetea uwepo wao hata kama hawana vyama kama sheria inavyotaka baada ya kufukuzwa).Alielewa anisaidie kuelewa