Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 324
- 649
Tangu Mh Lissu arejee nchini AMEJARIBU serikali na vyombo vyake ili aguswe lakini hajaguswa.
Siku alipokuwa akirejea nchini aliwaandamanisha watu kutoka Uwanja wa ndege mpaka Ufipa bila barua ya polisi. Alifanya hivyo makusudi akitegemea Polisi watamgusa. Polisi walibaini mtego WAKAUTEGUA kwa kukaa kimya.
Alipoanza Safari ya kutafuta wadhamini AMEFANYA mikutano mikubwa ikiwepo kufanya matembezi lakini hata kutoa lugha kali. Alifanya makusudi akijua Polisi watamgusa ili apate hoja za kuwaeleza wale jamaa lakini Polisi waliona mtego WAKAUTEGUA tena Morogoro ndo wakamsindikiza kabisa.
Juzi akiwa anaenda kurudisha fomu alianza kuiattack tume kuwa imepanga kumuondoa kwenye mchakato. Alifanya hivyo akiwa anaitafutia tume kuwa ilimuondoa kwenye mchakato. Tume wakanasua mtego na wakamwambia tutahakiki majina ya wadhamini mbele yako hata kama ulikiuka taratibu. Pale ilikuwa sawa na kupigwa buti la shingo.
Leo ameenda kwa RPC DODOMA kujaribu kumgusa, alipofika RPC akamsikiliza bila kumfanya chochote. Alienda pale makusudi ili kutafuta kick ya kuguswa. Walitegua mtego.
Ni dhahiri alichokuwa Akiwaaminisha wazungu kabla hajarudi Tanzania hakuna hata moja Ambalo amefanikiwa.
Ombi langu asiguswe wala msishughulike naye kwani WATANZANIA TUNA JAMBO LETU 28/10/2020. Tutamjibu yeye na wanaomtuma kwa vitendo.
Siku alipokuwa akirejea nchini aliwaandamanisha watu kutoka Uwanja wa ndege mpaka Ufipa bila barua ya polisi. Alifanya hivyo makusudi akitegemea Polisi watamgusa. Polisi walibaini mtego WAKAUTEGUA kwa kukaa kimya.
Alipoanza Safari ya kutafuta wadhamini AMEFANYA mikutano mikubwa ikiwepo kufanya matembezi lakini hata kutoa lugha kali. Alifanya makusudi akijua Polisi watamgusa ili apate hoja za kuwaeleza wale jamaa lakini Polisi waliona mtego WAKAUTEGUA tena Morogoro ndo wakamsindikiza kabisa.
Juzi akiwa anaenda kurudisha fomu alianza kuiattack tume kuwa imepanga kumuondoa kwenye mchakato. Alifanya hivyo akiwa anaitafutia tume kuwa ilimuondoa kwenye mchakato. Tume wakanasua mtego na wakamwambia tutahakiki majina ya wadhamini mbele yako hata kama ulikiuka taratibu. Pale ilikuwa sawa na kupigwa buti la shingo.
Leo ameenda kwa RPC DODOMA kujaribu kumgusa, alipofika RPC akamsikiliza bila kumfanya chochote. Alienda pale makusudi ili kutafuta kick ya kuguswa. Walitegua mtego.
Ni dhahiri alichokuwa Akiwaaminisha wazungu kabla hajarudi Tanzania hakuna hata moja Ambalo amefanikiwa.
Ombi langu asiguswe wala msishughulike naye kwani WATANZANIA TUNA JAMBO LETU 28/10/2020. Tutamjibu yeye na wanaomtuma kwa vitendo.