brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 590
- 767
Iyo instagram mkuuSasa kama hana account yoyote twitter au fb,.. Iyo imejipost
Aahh mi mgeni aya mambo,
wee jamaa unajilazimisha tu kuwa na kichwa kigumu kuelewa.... Yeye Lissu kayasema hayo kupitia kwenye a/c yake Instagram......Huyu lisu naye ni mr zero siyo? Sasa hana acaunt wakat katoa taarifa kwa acaunt
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni ya Instagram mkuuSasa kama hana account yoyote twitter au fb,.. Iyo imejipost
Kwakweli hata mimi nashindwa kumuelewa..maana siku moja alitumia account ya Twitter kuikana mojawapo ya account iliyojifanya kama yake..Lissu hapo tu ndiyo huwa ananiacha hoi. Ana akaunti mbili za twitter kila moja inamkana mwingine. Halafu ana akaunti ya ya insta ambayo alishaikana, cha kushangaza ile akaunti ya insta inazikana zile za twitter.
Ipo siku ataikana namba yake ya simu au akaunti ya jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tweeter wewe, ni twitter....Lissu kasema hana account tweeter...
Ame screenshot hiyo picha ya jina la account ya twitter na kuipost instagram, sijajua hata umembishia jamaa kwa sababu gani!Kilaza ni wewe unayedhani watu wote wanauelewa kama wakwako. Wapi imeandikwa hii ni Instagram, wapi aliposema yeye an account Instagram tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili jukwaa la malomboso kujifanya jukwaa la elimu wenye upeo humu na elimu tupo wachache sana aiseee...Mwanzoni kabla sjajiunga JF nilidhan watu wa humu ni wasomi na waelewa. Nikaja kugundua asilimia kubwa ni vilaza.
Lissu kasema hana account tweeter wala facebook. Hujaelewa. Hyo post Lissu kaiandika Instagram na ndiko ana account tu.
Sasa sjuh huyu kilaza ameelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fake account halafu huyo mwenyewe mwenye hiyo account ni zuzu+, account name @Tundulissu, aliyecoment @Tundulissutz kisha anajidefend kwa kusema sina account Twitter wala Facebook na wakati huohuo katumia account ya Twitter kureply.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi mtaani kwenu au kila mahali???Ukweli huchele
Ukweli huchelewa kufika lakini hudumu daima,ZILIPENDWA KILA KONA,seduce DAY5 LEO lakini haijulikani imepitelea wap
MANGE KAWAINGIZA CHAKA TEAM KIBAKULI NA HATERS WENZAKE
Mkuu heshima yako,Mwanzoni kabla sjajiunga JF nilidhan watu wa humu ni wasomi na waelewa. Nikaja kugundua asilimia kubwa ni vilaza.
Lissu kasema hana account tweeter wala facebook. Hujaelewa. Hyo post Lissu kaiandika Instagram na ndiko ana account tu.
Sasa sjuh huyu kilaza ameelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia Icon za ku-like, comment na share zinavyotofautiana Mkuu! Hapo kapostia IG sio tweeter au facebook!Kilaza ni wewe unayedhani watu wote wanauelewa kama wakwako. Wapi imeandikwa hii ni Instagram, wapi aliposema yeye an account Instagram tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu umelipata?Angalia Icon za ku-like, comment na share zinavyotofautiana Mkuu! Hapo kapostia IG sio tweeter au facebook!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu heshima yako,
Naomba unisaidie, kati ya hizo mbili ipi ni meseji halisi ya Lissu?
Tumia akili hata kutambua kuwa Kuna akaunt fakeSasa kama hana account yoyote twitter au fb,.. Iyo imejipost
Acha kudhihirishia UMMA kuwa bado ujaelewa kwa kumtusi aliye kuelimisha Black fireKilaza ni wewe unayedhani watu wote wanauelewa kama wakwako. Wapi imeandikwa hii ni Instagram, wapi aliposema yeye an account Instagram tuu
Sent using Jamii Forums mobile app