real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amekanusha kuwa akaunti ya Twitter inayoonyesha kuzungumzia wimbo wa Ali Kiba ‘Seduce Me’ sio ya kwake [HASHTAG]#MwananchiLeo[/HASHTAG] #
Mwenye akaunti hiyoamekuwa akijifanya ndiye Tundu Lissu kwa muda mrefu
Vyombo vya habari viliingia mkenge kwa kudhani ni yeye na kuandika habari hiyo
Mwenye akaunti hiyoamekuwa akijifanya ndiye Tundu Lissu kwa muda mrefu
Vyombo vya habari viliingia mkenge kwa kudhani ni yeye na kuandika habari hiyo