Tundu Lissu amekanusha kuwa akaunti ya Twitter inayoonyesha kuzungumzia wimbo wa Ali Kiba sio ya kwake

Tundu Lissu amekanusha kuwa akaunti ya Twitter inayoonyesha kuzungumzia wimbo wa Ali Kiba sio ya kwake

Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amekanusha kuwa akaunti ya Twitter inayoonyesha kuzungumzia wimbo wa Ali Kiba ‘Seduce Me’ sio ya kwake [HASHTAG]#MwananchiLeo[/HASHTAG] #

Mwenye akaunti hiyoamekuwa akijifanya ndiye Tundu Lissu kwa muda mrefu
Vyombo vya habari viliingia mkenge kwa kudhani ni yeye na kuandika habari hiyo

Capture.PNG
 
Fake account halafu huyo mwenyewe mwenye hiyo account ni zuzu+, account name @Tundulissu, aliyecoment @Tundulissutz kisha anajidefend kwa kusema sina account Twitter wala Facebook na wakati huohuo katumia account ya Twitter kureply.

Sent using Jamii Forums mobile app


Twitter v. Instagram

Tatizo ni kuwa ushamba wa mitandao na uzuzu. Hata hujui kuwa iyo ni mitandao miwili tofauti. Na nyie ndio mnaotusainia mikataba.
 
Umeangalia tofauti ya views lkn? Naona gape lipo vile vile tu.
Tatizo lilipo hapo ni ule msemo wa wahenga una apply yaani "maskini akipata, m..t...ko hulia mbwata (hata anaeongoza darasani kuna masomo mengine hakuongoza ila walichukua wastani akaibuka kidedea)
 
Hahahaha kwahiyo muheshimiwa ana account Instagram badala ya Twitter ambako wako wasomi wenzake.. Ameamua kuwa na account kwenye udaku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli hata mimi nashindwa kumuelewa..maana siku moja alitumia account ya Twitter kuikana mojawapo ya account iliyojifanya kama yake..

Leo ile iliyotumika kuikana mojawapo, na yenyewe imekanwa na ya huko instagram..

Kiongozi mkubwa kama Lissu kushindwa kuverify accounts zake katika mitandao ya kijamii ni jambo la kushangaza mno!!
Cha ajabu hiyo account anayoikataa leo ndiyo ambayo mpaka waheshimiwa wenzake wa CDM wanaijua kuwa ndiyo yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kama hana account huko, ametumia nini kupost hiyo taarifa?
 
Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amekanusha kuwa akaunti ya Twitter inayoonyesha kuzungumzia wimbo wa Ali Kiba ‘Seduce Me’ sio ya kwake
lissu.jpg


 
Kuna watu wanatunga uongo na kuuamini wenyewe na wanalazimisha uwe ukweli.
 
Hii ndio tweet iliyozua kizazaa mtandaoni kiasi cha mheshimiwa Lissu kuweka hadharani kuwa hio account iliyotumika sio ya kwake

View attachment 577465

Hii ndio tweet ya Lissu kukanusha uzushi wa kumshabikia kiba
View attachment 577466
MASIKINI haters TEAM KIBA....TEAM MANGE ..... mnatapa tapa sana.... SIMBA hamumuwezi.... I was in NIGERIA recently...Population ya kule ni 5 times ya bongo na jamaa huko pia ana base fulani....
 
Mmmh aiseee
MASIKINI haters TEAM KIBA....TEAM MANGE ..... mnatapa tapa sana.... SIMBA hamumuwezi.... I was in NIGERIA recently...Population ya kule ni 5 times ya bongo na jamaa huko pia ana base fulani....
 
Back
Top Bottom