Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa habari kuelezea mwenendo wa kampeni. Asema Jaribio la kuvuruga Uchaguzi litasababisha watu wapelekwe 'The Hague'

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amekutana na Waandishi wa habari kuelezea mwenendo wa kampeni. Asema Jaribio la kuvuruga Uchaguzi litasababisha watu wapelekwe 'The Hague'

Lissu nae pumbavu tuu kila siku the Hague, ICC, Amsterdam! Hili jitu tumwa la mawazo linawaza kitumwa tumwa kila siku. Lunaabudu wazungu badala ya kuwaza utanzania na nchi yetu linawaza ulaya tuu.
Na hiyo Dec 18 aliyosema anaenda ubelgiji ifike aende zake haraka pumbafff.
Mkuu nina hasira sana!

Lisu asifikiri yeye tu ana washabiki. Mwambieni hata Magu ana washabiki kwa hiyo Lisu akileta nyoko tutamfuata aliko.
 
Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekutana na Waandishi wa habari kuzungumzia hali ya ya kampeni zake ilivyo mpaka sasa na kile kinachoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu mnamo tarehe 28/10/ 2020. katika Mkutano huo ambao waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walihudhuria, Tundu Lissu ametolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali....
Sasa sio "MIGA" tena tumeamia"The Hague" atafute kura aachane na vitisho, ICC haihusiki na mambo ya Uchaguzi au civil cases.

Kama anatarajia Kuwa kuna watu watauawa kwa yeye mwenyewe kuhamasisha yatu wafanye vurugu au ku-stage false flag attacks basi na yeye pia The Hague itamhusu, asisahau Rwanda jamaa walipelekwa ICC ni watt wa aina yake. Kule Kenya hata Ruto na Uhuru Kenya pia walipelekwa ICC.

Watu wengine wanafurahisha sana.
 
Liuisu ungekua unajiamini usingekua uanabwabwa ungeenda nao kimya kimya ili mwisho wa siku waingie kwenye 18 ila hata kama ni kweli kubwabwaja kwako unafanya mtu ajipange na yeye hatafanya uzembe kwa hio kitalaam hio tunaita mikwara ...

Lisu utakachokutana nacho hutaamini utabaki kupiga kelele hivo hivo bila mafanikio.

Hv kwa akili zako tu unafikir ni rahisi kukuachia Nchi kwa mikwara yako tu ???
 
Tatizo lipo kwetu sisi wa afrika.

Ukimpa mtu uongozi anataka atawale milele na kuumiza wenzake

Bado kujilimbikizia mimali mingi.

Kwakifupi naunga mkono wazungu kututhibiti.

Sisi ni kizazi cha laana Africa.
Ndo maana mnajipendekeza kwa Amsterdam mzungu? Halafu unajilaani kwa kuwa mwafrika? Kweli umelaaniwa kisa mwafrika haya endeleeni kulamba hao wazungu.
 
Mbinu zote tegemezi za wizi zimebuma,vituo hewa majina hewa zimebuma mapolisi wamehaha kusaka center za kudakia matokeo halisi ya upinzani wamebuma mara wamkamate mdee, mara Heche, mara lema, mara matiko hovyo kabisa, yameambulia patupu.
Eti yamelimit sms wakati njia za mawasiliano zipo zaidi ya mia Hawa ni zero kabisa na mbinu zao za stone age
Mkuu Lisu hapati zaidi 20% sababu Amsterdam ndio kazidi kumharibia kwamba kumbe hatumchagui Lisu ila amsterdam.

Lisu hapati kura ajiandae tu kurudi ubelgiji
 
Sio kwa kura, hilo daftari la wapiga kura mmelichezea ili mpate ushindi wa wizi mmechemsha. Halafu Zec bila aibu wanasema eti watu hawajaenda kuhakiki taarifa!
Kwa hiyo kama daftari wamechezea na unasema wamechemsha, kwmaba daftari kimerekebishwa?
 
Mkuu Lisu hapati zaidi 20% sababu Amsterdam ndio kazidi kumharibia kwamba kumbe hatumchagui Lisu ila amsterdam.

Lisu hapati kura ajiandae tu kurudi ubelgiji
Why mnachezea daftari la kura,mnawatumia police kuomba msaada
 
Kwa hiyo kama daftari wamechezea na unasema wamechemsha, kwmaba daftari kimerekebishwa?

Swali lako inaonekana ni zuri, ila umeliuliza chini ya kiwango. Liweke vizuri kwanza kisha tuendelee.
 
Je,Wewe una support baadhi ya viongozi wa chama ambao wanasema watamchoma lissu sindano ya Sumu? Je,Wewe ulonyimwa a haki ya kuhoji na Rais uliona ni sawa? Je,kutoheshimu Mikataba ya kimataifa juu ya haki za binadamu tuliyosain ni Sawa?
“ In the End, we will remember not the words of our enemies, but the silence of our friends”-Martin Luther king
Huyo msaliti na kibaraka atapigiwa kura na Amstedam
 
Why mnachezea daftari la kura,mnawatumia police kuomba msaada
Wamechezeaje?

Tukiwaonya humu kwamba baada ya uchaguzi kilio chenu kitakuwa tume. Na tayari mmeanza na habari za daftari, kwani hilo daftari mchakato wake umeanza jana? Kwa nini hamkuhoji toka kitambo?

Tuliwambia piganieni tume huru tangu 2015 mkaishia kujadili kingereza cha Magu, basi subiri mvune mlichopanda.
 
Wamechezeaje?

Tukiwaonya humu kwamba baada ya uchaguzi kilio chenu kitakuwa tume. Na tayari mmeanza na habari za daftari, kwani hilo daftari mchakato wake umeanza jana? Kwa nini hamkuhoji toka kitambo?

Tuliwambia piganieni tume huru tangu 2015 mkaishia kujadili kingereza cha Magu, basi subiri mvune mlichopanda.
Lisu sio Lowasa tume sio kikwazo
 
Basi subiri Lisu apate zake 20% uingie road kusherehekea.

Kwa hizi kura ambapo daftari la wapiga kura limechezewa na tume, kisha tume wanasema watu hawajahakiki taarifa zao, hiku kukiwa na kura na vituo fake, hata hiyo 10% hafiki, achia mbali hiyo 20%. Hakuna ccm ya kuweza kushinda tena kwa 50%+ kihalali nchi hii. Hiyo hata mdhikiri uchi hapo baharini haitakaa itokee.
 
Kwa hizi kura ambapo daftari la wapiga kura limechezewa na tume, kisha tume wanasema watu hawajahakiki taarifa zao, hiku kukiwa na kura na vituo fake, hata hiyo 10% hafiki, achia mbali hiyo 20%. Hakuna ccm ya kuweza kushinda tena kwa 50%+ kihalali nchi hii. Hiyo hata mdhikiri uchi hapo baharini haitakaa itokee.
In your dreams
 
Back
Top Bottom