Mkuu nina hasira sana!Lissu nae pumbavu tuu kila siku the Hague, ICC, Amsterdam! Hili jitu tumwa la mawazo linawaza kitumwa tumwa kila siku. Lunaabudu wazungu badala ya kuwaza utanzania na nchi yetu linawaza ulaya tuu.
Na hiyo Dec 18 aliyosema anaenda ubelgiji ifike aende zake haraka pumbafff.
Sasa sio "MIGA" tena tumeamia"The Hague" atafute kura aachane na vitisho, ICC haihusiki na mambo ya Uchaguzi au civil cases.Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo amekutana na Waandishi wa habari kuzungumzia hali ya ya kampeni zake ilivyo mpaka sasa na kile kinachoendelea kuelekea Uchaguzi Mkuu mnamo tarehe 28/10/ 2020. katika Mkutano huo ambao waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali walihudhuria, Tundu Lissu ametolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali....
Ndo maana mnajipendekeza kwa Amsterdam mzungu? Halafu unajilaani kwa kuwa mwafrika? Kweli umelaaniwa kisa mwafrika haya endeleeni kulamba hao wazungu.Tatizo lipo kwetu sisi wa afrika.
Ukimpa mtu uongozi anataka atawale milele na kuumiza wenzake
Bado kujilimbikizia mimali mingi.
Kwakifupi naunga mkono wazungu kututhibiti.
Sisi ni kizazi cha laana Africa.
Mkuu Lisu hapati zaidi 20% sababu Amsterdam ndio kazidi kumharibia kwamba kumbe hatumchagui Lisu ila amsterdam.Mbinu zote tegemezi za wizi zimebuma,vituo hewa majina hewa zimebuma mapolisi wamehaha kusaka center za kudakia matokeo halisi ya upinzani wamebuma mara wamkamate mdee, mara Heche, mara lema, mara matiko hovyo kabisa, yameambulia patupu.
Eti yamelimit sms wakati njia za mawasiliano zipo zaidi ya mia Hawa ni zero kabisa na mbinu zao za stone age
Kwa hiyo kama daftari wamechezea na unasema wamechemsha, kwmaba daftari kimerekebishwa?Sio kwa kura, hilo daftari la wapiga kura mmelichezea ili mpate ushindi wa wizi mmechemsha. Halafu Zec bila aibu wanasema eti watu hawajaenda kuhakiki taarifa!
Acha shobo mimi beberu nitakupanda na nyege zako hizo.Ndo maana mnajipendekeza kwa Amsterdam mzungu? Halafu unajilaani kwa kuwa mwafrika? Kweli umelaaniwa kisa mwafrika haya endeleeni kulamba hao wazungu.
😖Tume yetu huru
Why mnachezea daftari la kura,mnawatumia police kuomba msaadaMkuu Lisu hapati zaidi 20% sababu Amsterdam ndio kazidi kumharibia kwamba kumbe hatumchagui Lisu ila amsterdam.
Lisu hapati kura ajiandae tu kurudi ubelgiji
Kwa hiyo kama daftari wamechezea na unasema wamechemsha, kwmaba daftari kimerekebishwa?
Huyo msaliti na kibaraka atapigiwa kura na AmstedamJe,Wewe una support baadhi ya viongozi wa chama ambao wanasema watamchoma lissu sindano ya Sumu? Je,Wewe ulonyimwa a haki ya kuhoji na Rais uliona ni sawa? Je,kutoheshimu Mikataba ya kimataifa juu ya haki za binadamu tuliyosain ni Sawa?
“ In the End, we will remember not the words of our enemies, but the silence of our friends”-Martin Luther king
Basi subiri Lisu apate zake 20% uingie road kusherehekea.Swali lako inaonekana ni zuri, ila umeliuliza chini ya kiwango. Liweke vizuri kwanza kisha tuendelee.
Wamechezeaje?Why mnachezea daftari la kura,mnawatumia police kuomba msaada
Lisu sio Lowasa tume sio kikwazoWamechezeaje?
Tukiwaonya humu kwamba baada ya uchaguzi kilio chenu kitakuwa tume. Na tayari mmeanza na habari za daftari, kwani hilo daftari mchakato wake umeanza jana? Kwa nini hamkuhoji toka kitambo?
Tuliwambia piganieni tume huru tangu 2015 mkaishia kujadili kingereza cha Magu, basi subiri mvune mlichopanda.
Who cares?Huyo msaliti na kibaraka atapigiwa kura na Amstedam
Basi subiri Lisu apate zake 20% uingie road kusherehekea.
Swali lipo addressed kwa Pascal & not you.Please respect that.Kuhusu sindano Alikua anamzungumzia Lema acha kuangalia vipande vipande Nenda kaangalie video nzima
Huyo msaliti na kibaraka atapigiwa kura na Amstedam
In your dreamsKwa hizi kura ambapo daftari la wapiga kura limechezewa na tume, kisha tume wanasema watu hawajahakiki taarifa zao, hiku kukiwa na kura na vituo fake, hata hiyo 10% hafiki, achia mbali hiyo 20%. Hakuna ccm ya kuweza kushinda tena kwa 50%+ kihalali nchi hii. Hiyo hata mdhikiri uchi hapo baharini haitakaa itokee.
In your dreams