Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 halafu anajirekodi malalamiko yake kwa kiingereza

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 halafu anajirekodi malalamiko yake kwa kiingereza

Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.

Ndio maana nauliza Watanzania wenzangu ambao mimi na nyie lugha yetu ni kiswahili bado hamjamuelewa huyu mtu na dhamira yake mbaya kwa nchi yetu?

Nimemkumbuka Mwigulu Nchemba aliyesema kuna baadhi ya wagombea wameshachukua ‘advance’ kwa mabeberu kwa ahadi ya kuja kuchukua kiti cha urais ili hao mabeberu waje kuichezea nchi yetu wanavyotaka, waje waturudishe kwenye ukoloni, watawale rasilimali zetu, watutumikishe kama watumwa, watunyime elimu, waharibu miundombinu, wanyang’anye mashamba yetu, waue viwanda vyetu, waue biashara zetu, waue miradi yetu mikubwa ya umeme, reli, ndege, maji, afya, elimu nk.

Tusikubali huyu Tundu Lissu katumwa, anataka kutumia usomi na uanasheria wake kutuumiza. Na ndio maana kwenye kampeni zake hazungumzi kuhusu mahitaji ya msingi ya Watanzania, anafanya kazi ya kuipaka matope Tanzania ili machoni mwa mataifa ya nje ionekane ni nchi ya hovyo. Yaani ni yeye tu ndio aonekane mtu wa maana na anayejua kila kitu hapa Tanzania.

NEC imechukua hatua kwa taratibu ambazo yeye mwenyewe aliziridhia na akatia saini kabla ya kuanza kampeni. Kampeni imeanza, ameanza kuvunja taratibu waziwazi halafu alitaka aachwe?

Acha hii ya kuvitusi vyombo vya Dola, NEC na Wagombea wenzake, kufanya uchochezi hasa aliposema Wasimamizi wa uchaguzi wameitwa na Rais Magufuli ili wavuruge uchaguzi kitu ambacho ni uongo mkubwa, huyu Tundu Lissu alianza vurumai mapema kabisa wakati wa kutafuta wadhamini ambapo alianza kampeni kabisa na kila mmoja aliona. Angeweza kushughulikiwa wakati ule aliachwa, lakini kwa michezo anayofanya sasa HAPANA!!

Hapa Watanzania tuwe macho sana, huyu mtu ametumwa kuja kutuvuruga, tusipokuwa makini tutavurugana kwelikweli na tukumbushane watakaoumia ni sisi wanyonge.

Tayari tumeshaona jinsi chama chake cha CHADEMA na washirika wao ACT Wazalendo wanavyosababisha madhara.

Kule Njombe vijana wa CHADEMA wakiongozwa na waliokuwa wagombea udiwani wamemuua kijana Emmanuel Mlelwa aliyekuwa kiongozi wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kule Tunduma kundi la vijana wa CHADEMA wakiongozwa na aliyekuwa mgombea udiwani wa kata ya Kaloleni wamemuua kijana Briton Wilfred Mollel aliyekuwa mwana UVCCM na ambaye ameacha mke na watoto 3 wa chini ya miaka 6 (wote mmeona Rais Magufuli alivyomwaga chozi alipokutana na mke wa marehemu, mama wa marehemu na watoto wadogo wa marehemu) na kule Zanzibar tumeona wafuasi wa ACT-Wazalendo walichokifanya, wamevamia msikiti na kushambulia wana CCM waliokuwa wanaswali Msikitini kwa mapanga, wamemkata shingoni Ndg. Hamis Nyange Makame mwenye miaka 63 na mpaka sasa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar akitibiwa jeraha la panga lililochimba shingoni kwa nchi 14.

Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya ndivyo viongozi hawa vibaraka walivyotumwa na mabeberu. Ndio maana Freeman Mbowe aliwahi kusema ili mambo ya upinzani yakae sawa lazima wafe watu kama 200 hivi na alitamka hadharani kwenye mkutano.

Narudia Watanzania tuwe makini, tuwakatae hawa mawakala wa mabeberu watatuharibia nchi yetu, watatuondolea amani ili jamaa wajipenyeze tena baada ya Rais Magufuli kuwabana kila mahali. Huu ndio ukweli.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baadaya ya kubanwa kwenye madini ambako walikuwa wanasomba wanavyotaka na watanzania wanaachwa masikini?

Nani asiyejua walivyokuwa wanakwapua pesa zetu za umeme kupitia kampuni zao za kufua umeme wa mafuta ambapo Tanzania ilikuwa inalipa mabilioni ya pesa na sasa wamenuna baada ya Rais Magufuli kufuta mikataba hiyo na kuanza kujenga Bwawa la Nyerere ambalo litazalisha megawati 2,115 na litamaliza kabisa tatizo la umeme huu wa gharama?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kufutwa kwa mikataba ya gesi ambapo hawa jamaa walijiandaa kubeba gesi yetu yote huku sisi tukiachwa bila kunufaika na chochote?

Nani asiyejua kuwa hawa jamaa hawakutaka kabisa tununue ndege zetu, walitaka walete makampuni yao ili waweze kutawala biashara ya utalii na usafirishaji wa abiria.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kuona Rais Magufuli anakataa mikopo yao ya kinyonyaji yenye masharti yanayotweza utu wetu na yanawatukuza watu waliotutawala kabla ya kupata uhuru?

Nani asiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya vibaraka wao waliokuwemo Serikalini kutumbuliwa na Rais Magufuli baada ya kubainika kuwa wanalihujumu Taifa?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya wanasiasa waliokuwa wanawatumia kubanwa mbavu kiasi cha kupoteza umaarufu kabisa na kushindwa kupenyeza mambo yao.

Nani aisiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya Rais Magufuli kudhibiti uhamiaji halamu, ujangili na utoaji holela wa vibali vya kazi vilivyosababisha Watanzania kukosa ajili na maliasili zetu kutoweka.

Yapo mengi sana lakini itoshe kusema Watanzania tuwe macho na tuwaoneshe kwenye uchaguzi huu kuwa Tanzania ni nchi huru inayopaswa kujiamulia mambo yake yenyewe na sio kuamuliwa na watu wengine.

NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo.

Na sie Watanzania tutimize wajibu wetu wa kuwakataa watu wanatengeneza mambo ya kutumaliza wenyewe.

Asanteni.

Mzee Julius Julius Mtendeleki
Dar es Salaam
Oktoba 3, 2020.

Mzee nikuulize swali dogo Sana,
Hivi boss wako ambae anakulipa salary, yy anakupa madawa ili upone ww na familia yako, anakuongezea ela kwenye bajeti yako ya chakula

Do you think huyo boss anaweza kumkod mtu aje hakudhuru?

I'm sure hawez coz kitu ambacho atafanya ni kukunyima Ile Misaad anayokupa na bila shida utakufa tu

Unashangaa Lisu kuongea kizungu mbona kigwangala huwa anaongea kizungu kwenye press zake arusha?
 
Anataka beberu wake Amsterdam amsikie!

Alafu alivyo mbumbumbu anafikiri atamsaidia, kumbe hatamsaidia kwa chochote,

Yani Lisu sijui hana washauri?
 
Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.

Ndio maana nauliza Watanzania wenzangu ambao mimi na nyie lugha yetu ni kiswahili bado hamjamuelewa huyu mtu na dhamira yake mbaya kwa nchi yetu?

Nimemkumbuka Mwigulu Nchemba aliyesema kuna baadhi ya wagombea wameshachukua ‘advance’ kwa mabeberu kwa ahadi ya kuja kuchukua kiti cha urais ili hao mabeberu waje kuichezea nchi yetu wanavyotaka, waje waturudishe kwenye ukoloni, watawale rasilimali zetu, watutumikishe kama watumwa, watunyime elimu, waharibu miundombinu, wanyang’anye mashamba yetu, waue viwanda vyetu, waue biashara zetu, waue miradi yetu mikubwa ya umeme, reli, ndege, maji, afya, elimu nk.

Tusikubali huyu Tundu Lissu katumwa, anataka kutumia usomi na uanasheria wake kutuumiza. Na ndio maana kwenye kampeni zake hazungumzi kuhusu mahitaji ya msingi ya Watanzania, anafanya kazi ya kuipaka matope Tanzania ili machoni mwa mataifa ya nje ionekane ni nchi ya hovyo. Yaani ni yeye tu ndio aonekane mtu wa maana na anayejua kila kitu hapa Tanzania.

NEC imechukua hatua kwa taratibu ambazo yeye mwenyewe aliziridhia na akatia saini kabla ya kuanza kampeni. Kampeni imeanza, ameanza kuvunja taratibu waziwazi halafu alitaka aachwe?

Acha hii ya kuvitusi vyombo vya Dola, NEC na Wagombea wenzake, kufanya uchochezi hasa aliposema Wasimamizi wa uchaguzi wameitwa na Rais Magufuli ili wavuruge uchaguzi kitu ambacho ni uongo mkubwa, huyu Tundu Lissu alianza vurumai mapema kabisa wakati wa kutafuta wadhamini ambapo alianza kampeni kabisa na kila mmoja aliona. Angeweza kushughulikiwa wakati ule aliachwa, lakini kwa michezo anayofanya sasa HAPANA!!

Hapa Watanzania tuwe macho sana, huyu mtu ametumwa kuja kutuvuruga, tusipokuwa makini tutavurugana kwelikweli na tukumbushane watakaoumia ni sisi wanyonge.

Tayari tumeshaona jinsi chama chake cha CHADEMA na washirika wao ACT Wazalendo wanavyosababisha madhara.

Kule Njombe vijana wa CHADEMA wakiongozwa na waliokuwa wagombea udiwani wamemuua kijana Emmanuel Mlelwa aliyekuwa kiongozi wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kule Tunduma kundi la vijana wa CHADEMA wakiongozwa na aliyekuwa mgombea udiwani wa kata ya Kaloleni wamemuua kijana Briton Wilfred Mollel aliyekuwa mwana UVCCM na ambaye ameacha mke na watoto 3 wa chini ya miaka 6 (wote mmeona Rais Magufuli alivyomwaga chozi alipokutana na mke wa marehemu, mama wa marehemu na watoto wadogo wa marehemu) na kule Zanzibar tumeona wafuasi wa ACT-Wazalendo walichokifanya, wamevamia msikiti na kushambulia wana CCM waliokuwa wanaswali Msikitini kwa mapanga, wamemkata shingoni Ndg. Hamis Nyange Makame mwenye miaka 63 na mpaka sasa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar akitibiwa jeraha la panga lililochimba shingoni kwa nchi 14.

Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya ndivyo viongozi hawa vibaraka walivyotumwa na mabeberu. Ndio maana Freeman Mbowe aliwahi kusema ili mambo ya upinzani yakae sawa lazima wafe watu kama 200 hivi na alitamka hadharani kwenye mkutano.

Narudia Watanzania tuwe makini, tuwakatae hawa mawakala wa mabeberu watatuharibia nchi yetu, watatuondolea amani ili jamaa wajipenyeze tena baada ya Rais Magufuli kuwabana kila mahali. Huu ndio ukweli.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baadaya ya kubanwa kwenye madini ambako walikuwa wanasomba wanavyotaka na watanzania wanaachwa masikini?

Nani asiyejua walivyokuwa wanakwapua pesa zetu za umeme kupitia kampuni zao za kufua umeme wa mafuta ambapo Tanzania ilikuwa inalipa mabilioni ya pesa na sasa wamenuna baada ya Rais Magufuli kufuta mikataba hiyo na kuanza kujenga Bwawa la Nyerere ambalo litazalisha megawati 2,115 na litamaliza kabisa tatizo la umeme huu wa gharama?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kufutwa kwa mikataba ya gesi ambapo hawa jamaa walijiandaa kubeba gesi yetu yote huku sisi tukiachwa bila kunufaika na chochote?

Nani asiyejua kuwa hawa jamaa hawakutaka kabisa tununue ndege zetu, walitaka walete makampuni yao ili waweze kutawala biashara ya utalii na usafirishaji wa abiria.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kuona Rais Magufuli anakataa mikopo yao ya kinyonyaji yenye masharti yanayotweza utu wetu na yanawatukuza watu waliotutawala kabla ya kupata uhuru?

Nani asiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya vibaraka wao waliokuwemo Serikalini kutumbuliwa na Rais Magufuli baada ya kubainika kuwa wanalihujumu Taifa?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya wanasiasa waliokuwa wanawatumia kubanwa mbavu kiasi cha kupoteza umaarufu kabisa na kushindwa kupenyeza mambo yao.

Nani aisiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya Rais Magufuli kudhibiti uhamiaji halamu, ujangili na utoaji holela wa vibali vya kazi vilivyosababisha Watanzania kukosa ajili na maliasili zetu kutoweka.

Yapo mengi sana lakini itoshe kusema Watanzania tuwe macho na tuwaoneshe kwenye uchaguzi huu kuwa Tanzania ni nchi huru inayopaswa kujiamulia mambo yake yenyewe na sio kuamuliwa na watu wengine.

NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo.

Na sie Watanzania tutimize wajibu wetu wa kuwakataa watu wanatengeneza mambo ya kutumaliza wenyewe.

Asanteni.

Mzee Julius Julius Mtendeleki
Dar es Salaam
Oktoba 3, 2020.
Kama hujui, basi unapaswa kutambua kuwa Kiswahili na Kiingereza zote ni lugha rasmi za mawasiliano hapa nchini. Kwa hiyo wala haijalishi kama unachukizwa na lugha aitumiayo Lissu kufikisha ujumbe wake alioukusudia kwa hadhira yake lengwa, kwa kuwa hilo la wewe kutokukielewa Kiingereza ni tatizo lako binafsi.
 
Kama wewe hujui kiingereza au unaumia kuona Lissu ameandika kwa kiingereza ni bora kukaa kimya. Usiandike ujinga na kupotosha watu hapa.

Usahihi ni kwamba, karibu kila official statement anayoitoa Lissu kwa Kiswahili huitoa pia kwa lugha ya kiingereza and vice versa. Ni jambo la kawaida katika ulimwengu wa sasa. Hii pia husaidia kuondoa upotoshaji wa kimakusudi unaoweza kufanywa na wale wasiomtakia mema Lissu.

Kama unataka jambo lako liwafikie watu wengi duniani huwezi kukwepa kukitumia kiingereza kama sehemu ya lugha ya kuwasilisha. Ndio maana hata wasanii wa nyimbo za injili, bongo flavour na bongo movie hutoa kazi zao kwa kiswahili lakini huweka tafsiri ya kiingereza (English subtitles) ili kuifikia dunia.
 
Pesa ndio inawafanya mnunuliwe na mabeberu.

Stupid!!

Beberu au wahisani wa maendeleo?
Gomeni basi kuwa hamtaki misaada muone kama ndugu zetu wenye Hiv kama wote hawatokufa

Acheni kujifanya ni doner country while hata condom tunapata msaada
 
Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.

Ndio maana nauliza Watanzania wenzangu ambao mimi na nyie lugha yetu ni kiswahili bado hamjamuelewa huyu mtu na dhamira yake mbaya kwa nchi yetu?

Nimemkumbuka Mwigulu Nchemba aliyesema kuna baadhi ya wagombea wameshachukua ‘advance’ kwa mabeberu kwa ahadi ya kuja kuchukua kiti cha urais ili hao mabeberu waje kuichezea nchi yetu wanavyotaka, waje waturudishe kwenye ukoloni, watawale rasilimali zetu, watutumikishe kama watumwa, watunyime elimu, waharibu miundombinu, wanyang’anye mashamba yetu, waue viwanda vyetu, waue biashara zetu, waue miradi yetu mikubwa ya umeme, reli, ndege, maji, afya, elimu nk.

Tusikubali huyu Tundu Lissu katumwa, anataka kutumia usomi na uanasheria wake kutuumiza. Na ndio maana kwenye kampeni zake hazungumzi kuhusu mahitaji ya msingi ya Watanzania, anafanya kazi ya kuipaka matope Tanzania ili machoni mwa mataifa ya nje ionekane ni nchi ya hovyo. Yaani ni yeye tu ndio aonekane mtu wa maana na anayejua kila kitu hapa Tanzania.

NEC imechukua hatua kwa taratibu ambazo yeye mwenyewe aliziridhia na akatia saini kabla ya kuanza kampeni. Kampeni imeanza, ameanza kuvunja taratibu waziwazi halafu alitaka aachwe?

Acha hii ya kuvitusi vyombo vya Dola, NEC na Wagombea wenzake, kufanya uchochezi hasa aliposema Wasimamizi wa uchaguzi wameitwa na Rais Magufuli ili wavuruge uchaguzi kitu ambacho ni uongo mkubwa, huyu Tundu Lissu alianza vurumai mapema kabisa wakati wa kutafuta wadhamini ambapo alianza kampeni kabisa na kila mmoja aliona. Angeweza kushughulikiwa wakati ule aliachwa, lakini kwa michezo anayofanya sasa HAPANA!!

Hapa Watanzania tuwe macho sana, huyu mtu ametumwa kuja kutuvuruga, tusipokuwa makini tutavurugana kwelikweli na tukumbushane watakaoumia ni sisi wanyonge.

Tayari tumeshaona jinsi chama chake cha CHADEMA na washirika wao ACT Wazalendo wanavyosababisha madhara.

Kule Njombe vijana wa CHADEMA wakiongozwa na waliokuwa wagombea udiwani wamemuua kijana Emmanuel Mlelwa aliyekuwa kiongozi wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kule Tunduma kundi la vijana wa CHADEMA wakiongozwa na aliyekuwa mgombea udiwani wa kata ya Kaloleni wamemuua kijana Briton Wilfred Mollel aliyekuwa mwana UVCCM na ambaye ameacha mke na watoto 3 wa chini ya miaka 6 (wote mmeona Rais Magufuli alivyomwaga chozi alipokutana na mke wa marehemu, mama wa marehemu na watoto wadogo wa marehemu) na kule Zanzibar tumeona wafuasi wa ACT-Wazalendo walichokifanya, wamevamia msikiti na kushambulia wana CCM waliokuwa wanaswali Msikitini kwa mapanga, wamemkata shingoni Ndg. Hamis Nyange Makame mwenye miaka 63 na mpaka sasa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar akitibiwa jeraha la panga lililochimba shingoni kwa nchi 14.

Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya ndivyo viongozi hawa vibaraka walivyotumwa na mabeberu. Ndio maana Freeman Mbowe aliwahi kusema ili mambo ya upinzani yakae sawa lazima wafe watu kama 200 hivi na alitamka hadharani kwenye mkutano.

Narudia Watanzania tuwe makini, tuwakatae hawa mawakala wa mabeberu watatuharibia nchi yetu, watatuondolea amani ili jamaa wajipenyeze tena baada ya Rais Magufuli kuwabana kila mahali. Huu ndio ukweli.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baadaya ya kubanwa kwenye madini ambako walikuwa wanasomba wanavyotaka na watanzania wanaachwa masikini?

Nani asiyejua walivyokuwa wanakwapua pesa zetu za umeme kupitia kampuni zao za kufua umeme wa mafuta ambapo Tanzania ilikuwa inalipa mabilioni ya pesa na sasa wamenuna baada ya Rais Magufuli kufuta mikataba hiyo na kuanza kujenga Bwawa la Nyerere ambalo litazalisha megawati 2,115 na litamaliza kabisa tatizo la umeme huu wa gharama?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kufutwa kwa mikataba ya gesi ambapo hawa jamaa walijiandaa kubeba gesi yetu yote huku sisi tukiachwa bila kunufaika na chochote?

Nani asiyejua kuwa hawa jamaa hawakutaka kabisa tununue ndege zetu, walitaka walete makampuni yao ili waweze kutawala biashara ya utalii na usafirishaji wa abiria.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kuona Rais Magufuli anakataa mikopo yao ya kinyonyaji yenye masharti yanayotweza utu wetu na yanawatukuza watu waliotutawala kabla ya kupata uhuru?

Nani asiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya vibaraka wao waliokuwemo Serikalini kutumbuliwa na Rais Magufuli baada ya kubainika kuwa wanalihujumu Taifa?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya wanasiasa waliokuwa wanawatumia kubanwa mbavu kiasi cha kupoteza umaarufu kabisa na kushindwa kupenyeza mambo yao.

Nani aisiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya Rais Magufuli kudhibiti uhamiaji halamu, ujangili na utoaji holela wa vibali vya kazi vilivyosababisha Watanzania kukosa ajili na maliasili zetu kutoweka.

Yapo mengi sana lakini itoshe kusema Watanzania tuwe macho na tuwaoneshe kwenye uchaguzi huu kuwa Tanzania ni nchi huru inayopaswa kujiamulia mambo yake yenyewe na sio kuamuliwa na watu wengine.

NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo.

Na sie Watanzania tutimize wajibu wetu wa kuwakataa watu wanatengeneza mambo ya kutumaliza wenyewe.

Asanteni.

Mzee Julius Julius Mtendeleki
Dar es Salaam
Oktoba 3, 2020.
Na huyo Mwigulu Nchemba yumo kwenye list ya wauaji ngoja kitabu cha 27 pages kitoke. Liwe jua au Mvua, muwe Tanzania au wapi mtaishi kama mashetani. I swear, hata jiwe halitabakia
 
Kwako Rose au sijui mzee nani sijui....

1. NEC haioni Mtukufu anavyofanya kampeni kwa kisukuma, hii inaruhusiwa?
2. NEC haioni Mtukufu anavyobadili ratiba za kampeni atakavyo, hii inaruhusiwa?
3. NEC haioni Mtukufu anavyotumia kofia ya urais kutawanya pesa za miradi na za kawaida kipindi cha kampeni, hii inaruhusiwa?
4. Una uhakika mikataba ya gesi imefutwa?
5. Una uhakika sasa hivi mabeberu hawasombi madini?
6. Aliyeingia mikataba ya kufua umeme waliyokuwa wanakwapua hizo pesa ni Chadema na ACT au CCM?
7. Sasa hivi tumenunua ndege zetu, je ni sisi ndio tunatawala bishara ya utalii? Umewahi kupitia makampuni makubwa yanayoleta watalii Tanzania kuna ya serekali pale?
8. ' NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo'. Wakati unaandika hii sentensi, uliifikiria mara 2?
9. Unahisi kupewa adhabu kupumzika siku 7 ni ishu sana? Yule anaekwenda kuwa nje ya kampeni kwa siku 8 kapewa adhabu na nani?
10. Umetaja waliouwawa recently (Hakika kuuwana ni kitu kibaya sana na inatakiwa kupigwa vita na kila mtu) lakini akili yako, moyo wako na mikono yako imekataa kabisa kuwataja na kina Gwanda, Ben Saanane na wengine?
 
Nec ni extension ya ccm,kama ingekuwa tume ya watanzania wala usingehangaika kutuletee huu utopolo wako,ungetuacha tukaamua wenyewe tarehe 28.10.2020 kwamba nani katumwa na beberu,nani katumwa na shetani na nani anatakiwa kuwa kiongozi wetu.Wengine tumechoka kuongozwa na washamba
Nenda anakoishi Amsterdam akakuongoze wewe na familia yako sisi watz utuachie JPM wetu, msituletee huu ujinga wenu hapa nchini.
 
Sheria ndio imemzuia,Lakini bado anakaidi.

Anachokitafuta atakipata.
Sheria hiyo ingekuwa inafanya kazi hata magufuli angekuwa amefungiwa tangu mwanzo wa kampeni.

Tulieni sindano ziwaingie
 
Anataka beberu wake Amsterdam amsikie!

Alafu alivyo mbumbumbu anafikiri atamsaidia, kumbe hatamsaidia kwa chochote,

Yani Lisu sijui hana washauri?

Na ww hujui, ni shabiki ambae hujui kitu chochote, Lisu Alifanya press ya kizungu ni kwa sababu alialikwa kwenye Ile African debate ambayo Rais wa Ghana na wengine walishiriki

Sasa ulitaka aongee kiswahili?
 
Mleta mada hutaeleweka...kiuhalisia watanzania wameichoka ccm, sio kwamba wanampenda sana Lissu au kumchukia sana Magufuli. Tatizo hapa ni CCM.

Kwenye hali hii ukileta hoja yoyote kinzani unaweza kupigwa mawe!
 
NECCM, na bado hadi ifike trh 28, mtaita maji maaa
 
Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.

Ndio maana nauliza Watanzania wenzangu ambao mimi na nyie lugha yetu ni kiswahili bado hamjamuelewa huyu mtu na dhamira yake mbaya kwa nchi yetu?

Nimemkumbuka Mwigulu Nchemba aliyesema kuna baadhi ya wagombea wameshachukua ‘advance’ kwa mabeberu kwa ahadi ya kuja kuchukua kiti cha urais ili hao mabeberu waje kuichezea nchi yetu wanavyotaka, waje waturudishe kwenye ukoloni, watawale rasilimali zetu, watutumikishe kama watumwa, watunyime elimu, waharibu miundombinu, wanyang’anye mashamba yetu, waue viwanda vyetu, waue biashara zetu, waue miradi yetu mikubwa ya umeme, reli, ndege, maji, afya, elimu nk.

Tusikubali huyu Tundu Lissu katumwa, anataka kutumia usomi na uanasheria wake kutuumiza. Na ndio maana kwenye kampeni zake hazungumzi kuhusu mahitaji ya msingi ya Watanzania, anafanya kazi ya kuipaka matope Tanzania ili machoni mwa mataifa ya nje ionekane ni nchi ya hovyo. Yaani ni yeye tu ndio aonekane mtu wa maana na anayejua kila kitu hapa Tanzania.

NEC imechukua hatua kwa taratibu ambazo yeye mwenyewe aliziridhia na akatia saini kabla ya kuanza kampeni. Kampeni imeanza, ameanza kuvunja taratibu waziwazi halafu alitaka aachwe?

Acha hii ya kuvitusi vyombo vya Dola, NEC na Wagombea wenzake, kufanya uchochezi hasa aliposema Wasimamizi wa uchaguzi wameitwa na Rais Magufuli ili wavuruge uchaguzi kitu ambacho ni uongo mkubwa, huyu Tundu Lissu alianza vurumai mapema kabisa wakati wa kutafuta wadhamini ambapo alianza kampeni kabisa na kila mmoja aliona. Angeweza kushughulikiwa wakati ule aliachwa, lakini kwa michezo anayofanya sasa HAPANA!!

Hapa Watanzania tuwe macho sana, huyu mtu ametumwa kuja kutuvuruga, tusipokuwa makini tutavurugana kwelikweli na tukumbushane watakaoumia ni sisi wanyonge.

Tayari tumeshaona jinsi chama chake cha CHADEMA na washirika wao ACT Wazalendo wanavyosababisha madhara.

Kule Njombe vijana wa CHADEMA wakiongozwa na waliokuwa wagombea udiwani wamemuua kijana Emmanuel Mlelwa aliyekuwa kiongozi wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kule Tunduma kundi la vijana wa CHADEMA wakiongozwa na aliyekuwa mgombea udiwani wa kata ya Kaloleni wamemuua kijana Briton Wilfred Mollel aliyekuwa mwana UVCCM na ambaye ameacha mke na watoto 3 wa chini ya miaka 6 (wote mmeona Rais Magufuli alivyomwaga chozi alipokutana na mke wa marehemu, mama wa marehemu na watoto wadogo wa marehemu) na kule Zanzibar tumeona wafuasi wa ACT-Wazalendo walichokifanya, wamevamia msikiti na kushambulia wana CCM waliokuwa wanaswali Msikitini kwa mapanga, wamemkata shingoni Ndg. Hamis Nyange Makame mwenye miaka 63 na mpaka sasa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar akitibiwa jeraha la panga lililochimba shingoni kwa nchi 14.

Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya ndivyo viongozi hawa vibaraka walivyotumwa na mabeberu. Ndio maana Freeman Mbowe aliwahi kusema ili mambo ya upinzani yakae sawa lazima wafe watu kama 200 hivi na alitamka hadharani kwenye mkutano.

Narudia Watanzania tuwe makini, tuwakatae hawa mawakala wa mabeberu watatuharibia nchi yetu, watatuondolea amani ili jamaa wajipenyeze tena baada ya Rais Magufuli kuwabana kila mahali. Huu ndio ukweli.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baadaya ya kubanwa kwenye madini ambako walikuwa wanasomba wanavyotaka na watanzania wanaachwa masikini?

Nani asiyejua walivyokuwa wanakwapua pesa zetu za umeme kupitia kampuni zao za kufua umeme wa mafuta ambapo Tanzania ilikuwa inalipa mabilioni ya pesa na sasa wamenuna baada ya Rais Magufuli kufuta mikataba hiyo na kuanza kujenga Bwawa la Nyerere ambalo litazalisha megawati 2,115 na litamaliza kabisa tatizo la umeme huu wa gharama?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kufutwa kwa mikataba ya gesi ambapo hawa jamaa walijiandaa kubeba gesi yetu yote huku sisi tukiachwa bila kunufaika na chochote?

Nani asiyejua kuwa hawa jamaa hawakutaka kabisa tununue ndege zetu, walitaka walete makampuni yao ili waweze kutawala biashara ya utalii na usafirishaji wa abiria.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kuona Rais Magufuli anakataa mikopo yao ya kinyonyaji yenye masharti yanayotweza utu wetu na yanawatukuza watu waliotutawala kabla ya kupata uhuru?

Nani asiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya vibaraka wao waliokuwemo Serikalini kutumbuliwa na Rais Magufuli baada ya kubainika kuwa wanalihujumu Taifa?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya wanasiasa waliokuwa wanawatumia kubanwa mbavu kiasi cha kupoteza umaarufu kabisa na kushindwa kupenyeza mambo yao.

Nani aisiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya Rais Magufuli kudhibiti uhamiaji halamu, ujangili na utoaji holela wa vibali vya kazi vilivyosababisha Watanzania kukosa ajili na maliasili zetu kutoweka.

Yapo mengi sana lakini itoshe kusema Watanzania tuwe macho na tuwaoneshe kwenye uchaguzi huu kuwa Tanzania ni nchi huru inayopaswa kujiamulia mambo yake yenyewe na sio kuamuliwa na watu wengine.

NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo.

Na sie Watanzania tutimize wajibu wetu wa kuwakataa watu wanatengeneza mambo ya kutumaliza wenyewe.

Asanteni.

Mzee Julius Julius Mtendeleki
Dar es Salaam
Oktoba 3, 2020.
Nia ya hiki Chama cha Mbowe kina nia ovu kabisa na mama Tanzania. Mabeberu washawapanda kichwani hawa watu, na wanachotafuta ni nchi iparaganyike kwa kukosa Amani na mshikamano ndio raha yao.Chadema kama mpekula vya watu,na kuwaahidi rasilimali zetu mtajibeba mwaka huu.
 
Back
Top Bottom