Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 halafu anajirekodi malalamiko yake kwa kiingereza

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 halafu anajirekodi malalamiko yake kwa kiingereza

Hakuna anaesema jpm asiwe rais,ila kuwa rais na kuongoza nchi ni mchakato ambao upo kikatiba, ndo maana Kuna uchaguzi ,kinachoitajika ni mchakato ulio huru na wa haki ,na wananchi wakupe ridhaa basi,na kwa mantiki iyo ata ukiongoza kwa miaka 100 Kama wananchi wanakupa ridhaa shida iko wapi? Vinginevyo uchaguzi ndani ya katiba ufutwe maana unakua hauna maana Kama hatuwezi kufuata misingi ya uchaguzi mwenyewe
Tume isiyo huru chini ya mkurugenzi wake ambaye ni kada wa ccm kwa kushirikiana na IGP wamewachagulia Watanzania Rais tokea CCM bila ridhaa yao na mpaka sasa wanayo matokeo hata watanzania wasipojitokeza kupiga kura wanayo matokeo mifukoni.
 
Username "rose" jina kamili "Julius Mtendeleki." Ndiyo wale mnaotuletea nyuzi za kuliwa kimasikhara.

Matumizi ya lugha zisizokuwa rasmi ni sawa Ila zilizo rasmi ni taabu?

Utakuwa umesahau namba ya simu mkuu.
Ha ha ha ha ha ha haaaaa
 
Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.

Ndio maana nauliza Watanzania wenzangu ambao mimi na nyie lugha yetu ni kiswahili bado hamjamuelewa huyu mtu na dhamira yake mbaya kwa nchi yetu?

Nimemkumbuka Mwigulu Nchemba aliyesema kuna baadhi ya wagombea wameshachukua ‘advance’ kwa mabeberu kwa ahadi ya kuja kuchukua kiti cha urais ili hao mabeberu waje kuichezea nchi yetu wanavyotaka, waje waturudishe kwenye ukoloni, watawale rasilimali zetu, watutumikishe kama watumwa, watunyime elimu, waharibu miundombinu, wanyang’anye mashamba yetu, waue viwanda vyetu, waue biashara zetu, waue miradi yetu mikubwa ya umeme, reli, ndege, maji, afya, elimu nk.

Tusikubali huyu Tundu Lissu katumwa, anataka kutumia usomi na uanasheria wake kutuumiza. Na ndio maana kwenye kampeni zake hazungumzi kuhusu mahitaji ya msingi ya Watanzania, anafanya kazi ya kuipaka matope Tanzania ili machoni mwa mataifa ya nje ionekane ni nchi ya hovyo. Yaani ni yeye tu ndio aonekane mtu wa maana na anayejua kila kitu hapa Tanzania.

NEC imechukua hatua kwa taratibu ambazo yeye mwenyewe aliziridhia na akatia saini kabla ya kuanza kampeni. Kampeni imeanza, ameanza kuvunja taratibu waziwazi halafu alitaka aachwe?

Acha hii ya kuvitusi vyombo vya Dola, NEC na Wagombea wenzake, kufanya uchochezi hasa aliposema Wasimamizi wa uchaguzi wameitwa na Rais Magufuli ili wavuruge uchaguzi kitu ambacho ni uongo mkubwa, huyu Tundu Lissu alianza vurumai mapema kabisa wakati wa kutafuta wadhamini ambapo alianza kampeni kabisa na kila mmoja aliona. Angeweza kushughulikiwa wakati ule aliachwa, lakini kwa michezo anayofanya sasa HAPANA!!

Hapa Watanzania tuwe macho sana, huyu mtu ametumwa kuja kutuvuruga, tusipokuwa makini tutavurugana kwelikweli na tukumbushane watakaoumia ni sisi wanyonge.

Tayari tumeshaona jinsi chama chake cha CHADEMA na washirika wao ACT Wazalendo wanavyosababisha madhara.

Kule Njombe vijana wa CHADEMA wakiongozwa na waliokuwa wagombea udiwani wamemuua kijana Emmanuel Mlelwa aliyekuwa kiongozi wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kule Tunduma kundi la vijana wa CHADEMA wakiongozwa na aliyekuwa mgombea udiwani wa kata ya Kaloleni wamemuua kijana Briton Wilfred Mollel aliyekuwa mwana UVCCM na ambaye ameacha mke na watoto 3 wa chini ya miaka 6 (wote mmeona Rais Magufuli alivyomwaga chozi alipokutana na mke wa marehemu, mama wa marehemu na watoto wadogo wa marehemu) na kule Zanzibar tumeona wafuasi wa ACT-Wazalendo walichokifanya, wamevamia msikiti na kushambulia wana CCM waliokuwa wanaswali Msikitini kwa mapanga, wamemkata shingoni Ndg. Hamis Nyange Makame mwenye miaka 63 na mpaka sasa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar akitibiwa jeraha la panga lililochimba shingoni kwa nchi 14.

Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya ndivyo viongozi hawa vibaraka walivyotumwa na mabeberu. Ndio maana Freeman Mbowe aliwahi kusema ili mambo ya upinzani yakae sawa lazima wafe watu kama 200 hivi na alitamka hadharani kwenye mkutano.

Narudia Watanzania tuwe makini, tuwakatae hawa mawakala wa mabeberu watatuharibia nchi yetu, watatuondolea amani ili jamaa wajipenyeze tena baada ya Rais Magufuli kuwabana kila mahali. Huu ndio ukweli.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baadaya ya kubanwa kwenye madini ambako walikuwa wanasomba wanavyotaka na watanzania wanaachwa masikini?

Nani asiyejua walivyokuwa wanakwapua pesa zetu za umeme kupitia kampuni zao za kufua umeme wa mafuta ambapo Tanzania ilikuwa inalipa mabilioni ya pesa na sasa wamenuna baada ya Rais Magufuli kufuta mikataba hiyo na kuanza kujenga Bwawa la Nyerere ambalo litazalisha megawati 2,115 na litamaliza kabisa tatizo la umeme huu wa gharama?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kufutwa kwa mikataba ya gesi ambapo hawa jamaa walijiandaa kubeba gesi yetu yote huku sisi tukiachwa bila kunufaika na chochote?

Nani asiyejua kuwa hawa jamaa hawakutaka kabisa tununue ndege zetu, walitaka walete makampuni yao ili waweze kutawala biashara ya utalii na usafirishaji wa abiria.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kuona Rais Magufuli anakataa mikopo yao ya kinyonyaji yenye masharti yanayotweza utu wetu na yanawatukuza watu waliotutawala kabla ya kupata uhuru?

Nani asiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya vibaraka wao waliokuwemo Serikalini kutumbuliwa na Rais Magufuli baada ya kubainika kuwa wanalihujumu Taifa?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya wanasiasa waliokuwa wanawatumia kubanwa mbavu kiasi cha kupoteza umaarufu kabisa na kushindwa kupenyeza mambo yao.

Nani aisiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya Rais Magufuli kudhibiti uhamiaji halamu, ujangili na utoaji holela wa vibali vya kazi vilivyosababisha Watanzania kukosa ajili na maliasili zetu kutoweka.

Yapo mengi sana lakini itoshe kusema Watanzania tuwe macho na tuwaoneshe kwenye uchaguzi huu kuwa Tanzania ni nchi huru inayopaswa kujiamulia mambo yake yenyewe na sio kuamuliwa na watu wengine.

NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo.

Na sie Watanzania tutimize wajibu wetu wa kuwakataa watu wanatengeneza mambo ya kutumaliza wenyewe.

Asanteni.

Mzee Julius Julius Mtendeleki
Dar es Salaam
Oktoba 3, 2020.
Bila wazungu Tanzania hamna kitu😋
 
Hata Kama ni hivyo, kuna Chama gani chenye weledi na uzalendo wa ku replace CCM.Ndio hawa saccos?. Watanzania wanaijua ccm, ila hawawezi chagua chama kisichoaminika aisee. Hakuna upinzani wa kuiondoa ccm, sio upinzani tu hata watu wazalendo wa kuongoza nchi hii Chadema hamna.
Uzalendo ni kuiba mali za umma, uzalendo ni kuiba kura? Uzalendo ni kumtumia IGP kuwahujumu chadema? ingekuwa saccos mngehangaika kuwatumia Tume isiyo huru kutengeneza matokeo feki mje kujitangazia tarehe 28 October? Upinzani wa kuiondoa CCM upo hata mwaka 2025 lowasa alishinda mkapindua meza kwa kufanya chenji kota mkajipa Nchi pasipo ridhaa ya wapiga kura, watanzania wa wapi wanaijua ccm kwa wema? Watanzania wote wanaijua ccm inayoiba kura.
 
ccm wanahaha wameanza kuogopa sana ndiyo maana magufuli kaugua Ugonjwa wa moyo karejea Dsm kutibiwa pressure ipo juu mno, anajua akitoka ikulu atahukumiwa kwa mabaya yote aliyotenda baada ya kinga yake kuondolewa kwani ni vigumu kumwachia kinga yake kutokana na udikiteta aliofanya kuwa mkubwa kupitiliza, akiwaza hayo roho inamuuma hadi kutatapa kuwatuma maccm kuja mitandaoni kujiandika chochote juu ya Tundu lisu pasipo kutafakari kwanza na kujua kuwa watanzania wameamka wapo makini kuliko ccm wanavyofikiria
 
Kingereza ni lugha ya Taifa..... And the world also deserves to know this.
 
Hakuna cha Beberu wala cha nini bali ni ujinga imetengenezwa na CCM kuharalisha kupenyeza uzushi wao wa kishamba
Unataka kuniambia hutambua uwepo wa mabeberu wanaotaka kuzinyonya nchi za Afrika kupitia vibara wa kiafrika??

Kama hutambui hili,inatosha kusema imetosha.
 
Tume isiyo huru yote ni ccm IGP ni ccm na wateule wa vyombo vyote chini ya utawala wa ccm wanaisadia ccm kusalia madaraka iweje ccm hawaamini katika sanduku la kura kama kweli wanajiamini wanapendwa.
 
ccm wanahaha wameanza kuogopa sana ndiyo maana magufuli kaugua Ugonjwa wa moyo karejea Dsm kutibiwa pressure ipo juu mno, anajua akitoka ikulu atahukumiwa kwa mabaya yote aliyotenda baada ya kinga yake kuondolewa kwani ni vigumu kumwachia kinga yake kutokana na udikiteta aliofanya kuwa mkubwa kupitiliza, akiwaza hayo roho inamuuma hadi kutatapa kuwatuma maccm kuja mitandaoni kujiandika chochote juu ya Tundu lisu pasipo kutafakari kwanza na kujua kuwa watanzania wameamka wapo makini kuliko ccm wanavyofikiria
Watanzania wapo makini sana kuliko Chadema mnavyofikiria na kudhania.
 
Unataka kuniambia hutambua uwepo wa mabeberu wanaotaka kuzinyonya nchi za Afrika kupitia vibara wa kiafrika??

Kama hutambui hili,inatosha kusema imetosha.
ccm miaka nenda rudi inaishi kwa kutafuna pesa za hao hao mnaowaita mabeberu baada ya uwashitukia, ccm ina unafiki uliopitiliza kote Duniani
 
Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.

Ndio maana nauliza Watanzania wenzangu ambao mimi na nyie lugha yetu ni kiswahili bado hamjamuelewa huyu mtu na dhamira yake mbaya kwa nchi yetu?

Nimemkumbuka Mwigulu Nchemba aliyesema kuna baadhi ya wagombea wameshachukua ‘advance’ kwa mabeberu kwa ahadi ya kuja kuchukua kiti cha urais ili hao mabeberu waje kuichezea nchi yetu wanavyotaka, waje waturudishe kwenye ukoloni, watawale rasilimali zetu, watutumikishe kama watumwa, watunyime elimu, waharibu miundombinu, wanyang’anye mashamba yetu, waue viwanda vyetu, waue biashara zetu, waue miradi yetu mikubwa ya umeme, reli, ndege, maji, afya, elimu nk.

Tusikubali huyu Tundu Lissu katumwa, anataka kutumia usomi na uanasheria wake kutuumiza. Na ndio maana kwenye kampeni zake hazungumzi kuhusu mahitaji ya msingi ya Watanzania, anafanya kazi ya kuipaka matope Tanzania ili machoni mwa mataifa ya nje ionekane ni nchi ya hovyo. Yaani ni yeye tu ndio aonekane mtu wa maana na anayejua kila kitu hapa Tanzania.

NEC imechukua hatua kwa taratibu ambazo yeye mwenyewe aliziridhia na akatia saini kabla ya kuanza kampeni. Kampeni imeanza, ameanza kuvunja taratibu waziwazi halafu alitaka aachwe?

Acha hii ya kuvitusi vyombo vya Dola, NEC na Wagombea wenzake, kufanya uchochezi hasa aliposema Wasimamizi wa uchaguzi wameitwa na Rais Magufuli ili wavuruge uchaguzi kitu ambacho ni uongo mkubwa, huyu Tundu Lissu alianza vurumai mapema kabisa wakati wa kutafuta wadhamini ambapo alianza kampeni kabisa na kila mmoja aliona. Angeweza kushughulikiwa wakati ule aliachwa, lakini kwa michezo anayofanya sasa HAPANA!!

Hapa Watanzania tuwe macho sana, huyu mtu ametumwa kuja kutuvuruga, tusipokuwa makini tutavurugana kwelikweli na tukumbushane watakaoumia ni sisi wanyonge.

Tayari tumeshaona jinsi chama chake cha CHADEMA na washirika wao ACT Wazalendo wanavyosababisha madhara.

Kule Njombe vijana wa CHADEMA wakiongozwa na waliokuwa wagombea udiwani wamemuua kijana Emmanuel Mlelwa aliyekuwa kiongozi wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kule Tunduma kundi la vijana wa CHADEMA wakiongozwa na aliyekuwa mgombea udiwani wa kata ya Kaloleni wamemuua kijana Briton Wilfred Mollel aliyekuwa mwana UVCCM na ambaye ameacha mke na watoto 3 wa chini ya miaka 6 (wote mmeona Rais Magufuli alivyomwaga chozi alipokutana na mke wa marehemu, mama wa marehemu na watoto wadogo wa marehemu) na kule Zanzibar tumeona wafuasi wa ACT-Wazalendo walichokifanya, wamevamia msikiti na kushambulia wana CCM waliokuwa wanaswali Msikitini kwa mapanga, wamemkata shingoni Ndg. Hamis Nyange Makame mwenye miaka 63 na mpaka sasa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar akitibiwa jeraha la panga lililochimba shingoni kwa nchi 14.

Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya ndivyo viongozi hawa vibaraka walivyotumwa na mabeberu. Ndio maana Freeman Mbowe aliwahi kusema ili mambo ya upinzani yakae sawa lazima wafe watu kama 200 hivi na alitamka hadharani kwenye mkutano.

Narudia Watanzania tuwe makini, tuwakatae hawa mawakala wa mabeberu watatuharibia nchi yetu, watatuondolea amani ili jamaa wajipenyeze tena baada ya Rais Magufuli kuwabana kila mahali. Huu ndio ukweli.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baadaya ya kubanwa kwenye madini ambako walikuwa wanasomba wanavyotaka na watanzania wanaachwa masikini?

Nani asiyejua walivyokuwa wanakwapua pesa zetu za umeme kupitia kampuni zao za kufua umeme wa mafuta ambapo Tanzania ilikuwa inalipa mabilioni ya pesa na sasa wamenuna baada ya Rais Magufuli kufuta mikataba hiyo na kuanza kujenga Bwawa la Nyerere ambalo litazalisha megawati 2,115 na litamaliza kabisa tatizo la umeme huu wa gharama?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kufutwa kwa mikataba ya gesi ambapo hawa jamaa walijiandaa kubeba gesi yetu yote huku sisi tukiachwa bila kunufaika na chochote?

Nani asiyejua kuwa hawa jamaa hawakutaka kabisa tununue ndege zetu, walitaka walete makampuni yao ili waweze kutawala biashara ya utalii na usafirishaji wa abiria.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kuona Rais Magufuli anakataa mikopo yao ya kinyonyaji yenye masharti yanayotweza utu wetu na yanawatukuza watu waliotutawala kabla ya kupata uhuru?

Nani asiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya vibaraka wao waliokuwemo Serikalini kutumbuliwa na Rais Magufuli baada ya kubainika kuwa wanalihujumu Taifa?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya wanasiasa waliokuwa wanawatumia kubanwa mbavu kiasi cha kupoteza umaarufu kabisa na kushindwa kupenyeza mambo yao.

Nani aisiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya Rais Magufuli kudhibiti uhamiaji halamu, ujangili na utoaji holela wa vibali vya kazi vilivyosababisha Watanzania kukosa ajili na maliasili zetu kutoweka.

Yapo mengi sana lakini itoshe kusema Watanzania tuwe macho na tuwaoneshe kwenye uchaguzi huu kuwa Tanzania ni nchi huru inayopaswa kujiamulia mambo yake yenyewe na sio kuamuliwa na watu wengine.

NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo.

Na sie Watanzania tutimize wajibu wetu wa kuwakataa watu wanatengeneza mambo ya kutumaliza wenyewe.

Asanteni.

Mzee Julius Julius Mtendeleki
Dar es Salaam
Oktoba 3, 2020.
Utopolo
 
Yaani Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 kutokana na kukiuka maadili ya uchaguzi halafu anakimbilia kujirekodi malalamiko yake kwa kiingereza ili awatumie waliomtuma kuja kugombea urais kwa sababu hawaelewi kiswahili.

Ndio maana nauliza Watanzania wenzangu ambao mimi na nyie lugha yetu ni kiswahili bado hamjamuelewa huyu mtu na dhamira yake mbaya kwa nchi yetu?

Nimemkumbuka Mwigulu Nchemba aliyesema kuna baadhi ya wagombea wameshachukua ‘advance’ kwa mabeberu kwa ahadi ya kuja kuchukua kiti cha urais ili hao mabeberu waje kuichezea nchi yetu wanavyotaka, waje waturudishe kwenye ukoloni, watawale rasilimali zetu, watutumikishe kama watumwa, watunyime elimu, waharibu miundombinu, wanyang’anye mashamba yetu, waue viwanda vyetu, waue biashara zetu, waue miradi yetu mikubwa ya umeme, reli, ndege, maji, afya, elimu nk.

Tusikubali huyu Tundu Lissu katumwa, anataka kutumia usomi na uanasheria wake kutuumiza. Na ndio maana kwenye kampeni zake hazungumzi kuhusu mahitaji ya msingi ya Watanzania, anafanya kazi ya kuipaka matope Tanzania ili machoni mwa mataifa ya nje ionekane ni nchi ya hovyo. Yaani ni yeye tu ndio aonekane mtu wa maana na anayejua kila kitu hapa Tanzania.

NEC imechukua hatua kwa taratibu ambazo yeye mwenyewe aliziridhia na akatia saini kabla ya kuanza kampeni. Kampeni imeanza, ameanza kuvunja taratibu waziwazi halafu alitaka aachwe?

Acha hii ya kuvitusi vyombo vya Dola, NEC na Wagombea wenzake, kufanya uchochezi hasa aliposema Wasimamizi wa uchaguzi wameitwa na Rais Magufuli ili wavuruge uchaguzi kitu ambacho ni uongo mkubwa, huyu Tundu Lissu alianza vurumai mapema kabisa wakati wa kutafuta wadhamini ambapo alianza kampeni kabisa na kila mmoja aliona. Angeweza kushughulikiwa wakati ule aliachwa, lakini kwa michezo anayofanya sasa HAPANA!!

Hapa Watanzania tuwe macho sana, huyu mtu ametumwa kuja kutuvuruga, tusipokuwa makini tutavurugana kwelikweli na tukumbushane watakaoumia ni sisi wanyonge.

Tayari tumeshaona jinsi chama chake cha CHADEMA na washirika wao ACT Wazalendo wanavyosababisha madhara.

Kule Njombe vijana wa CHADEMA wakiongozwa na waliokuwa wagombea udiwani wamemuua kijana Emmanuel Mlelwa aliyekuwa kiongozi wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM), kule Tunduma kundi la vijana wa CHADEMA wakiongozwa na aliyekuwa mgombea udiwani wa kata ya Kaloleni wamemuua kijana Briton Wilfred Mollel aliyekuwa mwana UVCCM na ambaye ameacha mke na watoto 3 wa chini ya miaka 6 (wote mmeona Rais Magufuli alivyomwaga chozi alipokutana na mke wa marehemu, mama wa marehemu na watoto wadogo wa marehemu) na kule Zanzibar tumeona wafuasi wa ACT-Wazalendo walichokifanya, wamevamia msikiti na kushambulia wana CCM waliokuwa wanaswali Msikitini kwa mapanga, wamemkata shingoni Ndg. Hamis Nyange Makame mwenye miaka 63 na mpaka sasa amelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar akitibiwa jeraha la panga lililochimba shingoni kwa nchi 14.

Haya mambo hayafanyiki kwa bahati mbaya ndivyo viongozi hawa vibaraka walivyotumwa na mabeberu. Ndio maana Freeman Mbowe aliwahi kusema ili mambo ya upinzani yakae sawa lazima wafe watu kama 200 hivi na alitamka hadharani kwenye mkutano.

Narudia Watanzania tuwe makini, tuwakatae hawa mawakala wa mabeberu watatuharibia nchi yetu, watatuondolea amani ili jamaa wajipenyeze tena baada ya Rais Magufuli kuwabana kila mahali. Huu ndio ukweli.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baadaya ya kubanwa kwenye madini ambako walikuwa wanasomba wanavyotaka na watanzania wanaachwa masikini?

Nani asiyejua walivyokuwa wanakwapua pesa zetu za umeme kupitia kampuni zao za kufua umeme wa mafuta ambapo Tanzania ilikuwa inalipa mabilioni ya pesa na sasa wamenuna baada ya Rais Magufuli kufuta mikataba hiyo na kuanza kujenga Bwawa la Nyerere ambalo litazalisha megawati 2,115 na litamaliza kabisa tatizo la umeme huu wa gharama?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kufutwa kwa mikataba ya gesi ambapo hawa jamaa walijiandaa kubeba gesi yetu yote huku sisi tukiachwa bila kunufaika na chochote?

Nani asiyejua kuwa hawa jamaa hawakutaka kabisa tununue ndege zetu, walitaka walete makampuni yao ili waweze kutawala biashara ya utalii na usafirishaji wa abiria.

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya kuona Rais Magufuli anakataa mikopo yao ya kinyonyaji yenye masharti yanayotweza utu wetu na yanawatukuza watu waliotutawala kabla ya kupata uhuru?

Nani asiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya vibaraka wao waliokuwemo Serikalini kutumbuliwa na Rais Magufuli baada ya kubainika kuwa wanalihujumu Taifa?

Nani asiyejua kuwa wamenuna baada ya wanasiasa waliokuwa wanawatumia kubanwa mbavu kiasi cha kupoteza umaarufu kabisa na kushindwa kupenyeza mambo yao.

Nani aisiyejua kuwa jamaa wamenuna baada ya Rais Magufuli kudhibiti uhamiaji halamu, ujangili na utoaji holela wa vibali vya kazi vilivyosababisha Watanzania kukosa ajili na maliasili zetu kutoweka.

Yapo mengi sana lakini itoshe kusema Watanzania tuwe macho na tuwaoneshe kwenye uchaguzi huu kuwa Tanzania ni nchi huru inayopaswa kujiamulia mambo yake yenyewe na sio kuamuliwa na watu wengine.

NEC iachwe itimize wajibu wake kwa mujibu wa sheria na wote waliopata nafasi ya kugombea wafuate sheria, taratibu na miongozo ya NEC. Haiwezekani mtu alete varangati halafu aachwe, huo sio utaratibu hata kidogo.

Na sie Watanzania tutimize wajibu wetu wa kuwakataa watu wanatengeneza mambo ya kutumaliza wenyewe.

Asanteni.

Mzee Julius Julius Mtendeleki
Dar es Salaam
Oktoba 3, 2020.
Asante
IMG_20200828_203405.jpeg
 
Tume isiyo huru yote ni ccm IGP ni ccm na wateule wa vyombo vyote chini ya utawala wa ccm wanaisadia ccm kusalia madaraka iweje ccm hawaamini katika sanduku la kura kama kweli wanajiamini wanapendwa.
Haki gani mnataka?

Je ni haki ya kumtukana mgombea wa chama pinzani??

Haki ya kufanya mnayotaka bila kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na Tume ya uchaguzi??

Au haki ya kusisitiza vitendo vya ushoga viruhusiwe nchini??

Haki ipi mnaitaka, tuwapeni.
 
ccm miaka nenda rudi inaishi kwa kutafuna pesa za hao hao mnaowaita mabeberu baada ya uwashitukia, ccm ina unafiki uliopitiliza kote Duniani
Unajua nini Maana ya beberu??
 
Watanzania wapo makini sana kuliko Chadema mnavyofikiria na kudhania.
Wapo makini kuliko CCM ndiyo maana wanaenda kwenye mikutano ya chadema bila kusombwa na mabasi magari ya mizigo, wanakwenda kwa ridhaa zao kusikiliza sera siyo ile mikwara ya magufuli kuwa msipoichagua ccm sitaleta maji barabara kana kwamba pesa za walipa kodi wa jimbo zinatokea chato, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataisikiliza ccm hii ya ajabu tokea kwa wajinga wa Taifa polepole
 
Wapo makini kuliko CCM ndiyo maana wanaenda kwenye mikutano ya chadema bila kusombwa na mabasi magari ya mizigo, wanakwenda kwa ridhaa zao kusikiliza sera siyo ile mikwara ya magufuli kuwa msipoichagua ccm sitaleta maji barabara kana kwamba pesa za walipa kodi wa jimbo zinatokea chato, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataisikiliza ccm hii ya ajabu tokea kwa wajinga wa Taifa polepole
Tambua kila mtanzania anamjua magufuri Vizuri ni nani na kalifanyia nini Taifa hili pendwa "Tanzania".

Inafika wakati hakuna haja tena ya kwenda kujaza nafasi katika viwanja vya kampeni wakati unatambua kipi kinaendelea.

Tundu lissu Wengi hawamjui hata kwa sura tu..So wanaenda kumshangaa huyu mtu anayetumiwa kama kibaraka ni wa namna gani
 
Haki gani mnataka?

Je ni haki ya kumtukana mgombea wa chama pinzani??

Haki ya kufanya mnayotaka bila kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na Tume ya uchaguzi??

Au haki ya kusisitiza vitendo vya ushoga viruhusiwe nchini??

Haki ipi mnaitaka, tuwapeni.
Haki haiombwi ccm haki siyo mali ya ccm haki ni kitu cha lazima kwa watanzania wotee, kanuni zipi zimekiukwa tokea chadema? CCM wamekiuka kanuni kibao ikiwemo polepole kuwatukana wapinzani misukule huku magufuli akipiga vitisho kwa wapiga kura akitoa Rushwa kutumia mawaziri, lini Tume isiyo huru ya ccm imewaandikia barua ya onyo? uchaguzi ukiwa huru na haki ccm bye bye.
 
Back
Top Bottom