Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie tusi moja tu alilotukanwa JPM...ntakupa zawadiNimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
Tanzania is free country since 1961.Amepewa Uhuru wa kutosha. Adhibitiwe
Lissu anajua katika uchaguzi huu anakwenda kuweka rekodi ya kushindwa vibaya kwaiyo ameamua afanye anavyotaka. Kinacho takiwa waendelee kumpuuza siku zenyewe zimesha kwisha.
Watanzania wanajua mama ya kumshikisha adabu Tarehe 28/10/2020
Lissu ameachwa huru kwa sababu ni muda wa kampeni za uchaguzi ni jukumu la tume kufanya assessment kuona kama amevunja sheria za uchaguzi. Kifupi ni kwamba Lissu tayari ameshashindwa hakuna namna atashinda kura hazitatosha, ameendeleza kuporomosha matusi akijiona anafanya la maana kumbe anakigharimu chama chake chadema. Baada ya ccm kuona chadema hawanadi ilani yao, imebidi wataalamu ndani ya ccm wakaichambua ilani ya chadema walichokikuta ni madudu matupu. Ndiyo maana Lissu anaona aibu kuinadi ilani ameamua kuipotezea na kuanza kutafuta kura za huruma ambazo kwa kweli hazitampa ushindi badala yake anaweza kupata 5% ya kura zote.Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
Ni kweli, ndio sababu wanazunguka nchi nzima kucampain.Urais mtu hashindi kirahisi rahisi tu.
jibuni hoja za mwamba Lisu,enough is enogh for what,Lisu ni haki yake ana haki zote kama mtanzania,jiwe na ccm ndo hamkutarajia kama Lisu atakuwa na uwezo wa kufanya kampeni kwa kiwango kile,na uzuri Lisu anaeleweka kwa watanzania wote hadi wa kule vijijini siyo sawa na jiwe ambaye yuko kwenye panic mode kwa sasa anarukia rukia tu hoja za LisuNimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
Jane wewe ni mwanamke wanawake ndy mama zetu,wake zetu,walezi wetu,Dada zetu .mwanamke ndy mlinzi na mwenye huruma juu ya watoto wake. Inaskitisha mtoto wa mwabamke mwenzako ametendewa unyama na dhuluma za kila namna lakini wewe mwanamke unashabikia badala ya kusema sasa basi unyanyasaji katka nchi hii.Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
Kikombe chake bado hakijajaa. Mwache akijaze vizuri, mpaka kifurumie..Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
Kosa lake ni lipi???, Hayo matusi ni yapi??, hebu yabainishe hapa, vinginevyo ni chuki tu. Yahani unachukia mtu kuwa huru????..... Yahani unapigania kukosa uhuru?, ajabu kweli kweli.Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
Kwn kusema magufuri anawaibia wamachinga Ni tusi? Kusema kuwa aache ubaguzi Ni tusi?Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
Ni mpuuzi tu atakae sema Lissu anatukana,lkn anachofanya Lissu ni kuongea ukweli,Je Jiwe hajajenga uwanja kwao,u Jiwe hakumfukuza CIG kwa sababu ya ukweli Alionao,Je jiwe hajazuia Shirika la ATCL la ndege lisikaguliwe mahesabu yake,Je Jiwe haona au hasikii watu wanaotekwa na wanaouwawa na kutupwa mitoni,Je Jiwe hajui nani alimpiga risasi Lissu,au jiwe haminyi Vyama vya wapinzani na wanahabari,ikwepo na demokrasiaNimejaribu kufuatilia mwenendo wa Tundu Lissu tangu mchakato wa kampeni uanze. Kiwango cha Uhuru aliopewa na serikali ni kikubwa sana.
Hata yeye mwenyewe nina uhakika wala hakutarajia. Yaani imekuwa kama surprise kwake. Haiwezekani ametua airport hajabughudhiwa. Amefanya kampeni kipindi cha kukusanya saini hajabughudhiwa. Ameenda kurudisha fomu tume ya uchaguzi hajabughudhiwa. Na kibaya zaidi kipindi hiki cha kampeni anatoa lugha ya matusi kwa Rais lakini hajabughudhiwa.
Sasa ni wakati wa kusema enough is enough. Upole huu wa serikali utatufikisha pabaya tusipokuwa makini kama nchi. Lazima huyu mtu awe held responsible kwa maneno na matendo yake
sasa solution dhidi ya hao wasaidizi ambao ni mataga wenzako na huyo aliyewatuma ni kumpigia kura Lissu hao wezi watupishe full stop.Hayo ni makosa ya wasaidizi wake,wanaofanya kazi kwa kujipendekeza. Sio kick ya kukubeba wewe na Lissu. Mimi ni kamanda mwenye akili, sipendi ushabiki.
Na nani?? Kama hadhibitiwi ina maana havunji sheria.Adhibitiwe