Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote

Tangu ametoka kwenye tanuru la mateso makali na kubezwa na kukashifiwa na kuitwa majina mabaya ya kila aina hapa duniani.

Amekuwa ni mtu wa kufurahia sana kila anapokuwa anazungumzia hayo madhila yake aliyopitia, anafurahi muda wote.

Amezidi kuimarika zaidi kwa kujiamini kwa kila jambo analolifanya na hivyo kulisimamia, kitu uoga kwake imekuwa ni kitendawili.

Ameweza kuwa kiongozi wa mfano mzuri kwa watanzania kwa kutokuwa na moyo wa malipizi, sifa ambayo wanayo viongozi wateule tu.

Ametuonyesha kuwa hakuna kisichowezekana, ametufumbua macho na kutujaza kujiamini kuwa Tanzania hii ni mali ya watanzania wote.

Hakika mh Lissu ni mtume wa kulikomboa taifa letu, atatuvusha bahari ya matatizo na machungu ya maisha na kutuingiza kwenye nchi ya asali na maziwa.

TWENDE NA LISSU, TUMCHAGUE LISSU.

ANATUFAA WATANZANIA.

View attachment 1549253
Yaani kama wewe ulikuwa hujui kama Tanzania ni ya Watanzania wote hadi uambiwe na Lissu, huna tofauti na Nyumbu anayefuata msafara bila kujua anakoenda ni wapi
 
Mungu ni mwema sana, TL amefanya niamini Mungu ana nguvu kuliko wenye mamlaka yao. TL ni historia bora sana kwa taifa letu.
 
Na wale wanaotupwa kwenye visandarusi?
Sijui lakini nadhani hao ni kati ya wale watu wanao uwawa na wenye hasira kali na kuwatupa mitoni na miili yao kuibukia huko inakopatikana. Kuna kesi nyingi za aina hii ambazo hazina majibu.
 
Kwa sasa kuna kundi linaloamini kuwa;
Wao ndio wanaamua kila kitu!
maendeleo yapelekwe wapi na wapi yasipelekwe!
Mbuga za wanyama zijengwe wapi!
Hakuna cha Budget ya bunge wala nini kutokana na spika mwenyewe kushindwa kulisimamia hivyo kuwa na bunge BUTU.
 
Back
Top Bottom