Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

Haahaa heehee, inaitwa mwaga mboga tumwage ugali. bora kuanza upya
 
Mambo ya muhimu siku zote hutofautiana na upeo wa msikilizaji binafsi. Kwa mtu ambaye tangu azaliwe hajawahi kuwa na maji karibu na nyumba aliyozaliwa siku akipata uhakika wa maji safi kwake hilo ni jambo la muhimu sana.

Muuzaji samaki wa Ukerewe aliyezoea kupoteza ndugu zake ziwani kwa sababu ya mitumbwi siku akianza kupanda meli kwake hilo ni suala muhimu sana.

Vitu vyepesi kwa mtu mmoja lakini kwa mwingine ni vitu muhimu sana.
 
Kama kura za huruma ni simple namna hiyo kamshauri Meko awaalike wasiojulikana wammiminie risasi 100 kisha naye azitumie kupata kura za huruma.
Rais wako hana urafiki na wanaokula keki ya taifa pasipo wazalendo kupewa kipaumbele. Ukishakuwa kibaraka wa wakoloni tegemea siku moja kujutia maamuzi yako.
 
Hahaa lissu mwepesi sana kuondolewa kwenye reli,atapata tabu sana mwaka huu,spana kidogo anazungumzia risasi
 
Wanadhani wapo peke yao hao tanapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…