Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

Hili swali JPM akilijibu kwa ufasaha mimi nachukua kadi ya CCM kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe!!
Kwani wewe ukichukua kadi ya CCM au usipochukua unadhani CCM au Magufuli anapungukiwa na nini?
 
Kafika bei tayari.
 
Lisu atatekenywa sana na kila akitekenywa atakuwa anakimbilia kwenye risasi ambazo tumeshazisikia toka miaka 3 iliyopita.

Kiufupi tundu hana jipya

Na yeye anarudia rudia kama wale wanaorudia hadithi za maflyover, ndege, bwawa nk. Au kunya anakunya kuku, akinya bata kaharisha?
 
Hatuhitaji kiongozi muongeaji ongeaji, tunamtaka kiongozi mtendaji, na Magufuli kwenye utendaji hakuna wa kumfikia.

Magufuli oyeee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanakulitafuta mwanakulipata.

Magufuli ajifunze kutokumvaa Lisu maana hamuwezi hata kidogo
 
Staki kuamini JPM akipiga zake kampeni LISSU

Anavaaga earphone anamsikiliza kimya kimya

aisee MAGU ni mukare yaoo,Rais yanguuu.baba

LISSU endelea hvyo hvyo sikiliza sumu za J.P.M

#Lissuumebugi
 
Hilo swali la Lissu ni gumu sana, haliwezi kujibiwa kamwe, ndio maana siku hizi jamaa yetu anaonekana mpole sana, anajua wakati huu wa kampeni mengi sana yatasemwa, hasa yale asiyopenda kuyasikia, namshauri awe mvumilivu sana.
Bado uwanja wa chato alioujenga bila kufuata mahitajinya taifa na mbaya zaidi bila burget yake kupitishwa ba Bunge...

Bado ndege zake hizo...zingine za udalali...
 
Lyrics

Ukiweza kuongea kitu cha kijinga adui akakijibu.

Umefanikiwa kumpotezea muda na akili
[emoji3][emoji3][emoji3]

Chorus: Tumeibiwa kura
“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16...
 
“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16,

Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. @TunduALissu...
Haya ndio wataambiwa wana Ikungwi, na yule mlamba makalio ya bosi wake ili apate cheo na mtoa kafara watoto yatima anao jifanya anawalea yeye anayesema Lissu ameshapewa advance amechanganyikiwa
 
Mshaurini Lissu aachane na kampeni na maneno ya MUKULU "father house"

mwambieni apambane na hali yake,anavyoendelea kufanya reference ya anachokiongelea

PREZIDAA anakosea sana anajipotezea point kizembe sana,mwambieni Afanye kampeni

kama vile hamna RAIS hii nchi,asifanye kampeni kumsema au kunukuu yaliyopita,mimi sijui

hao wanaomshauri LISSU vyakuongea n akina nani,muandikieni basi vyakuongea maana huyu mtu wenu

anaonyesha hayupo sawa bado,yani bado kbsa kuna vitu LISSU anahtaji kusaidiwa,Msaidieni basi "mbona inawezekana"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…