technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
mwaka huu mtafute kazi za kufanya majengo yote na viwanja vyote mtarudisha Serikalini.[emoji23][emoji23], Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi[emoji44]? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Hujui siasa wewe. Siasa lazima ufanye counterattack. Magu kaongea kisiasa kugain political milage. Lisu asipojibu kama lilivyokuja anampa point opponent wake. Kwa kujibu hivyo anazidi kupata points na kupunguza points za opponent wake. Fikiria angekaa kimya, siku akienda Ikungi angekua na hoja zipi juu ya Magu. Huo ndo mchezo wa siasa.Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.
Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..
Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
Hebu niwaambie jamani. Ukisikia mtu anasema eti TL asifanye kupigwa kwake risasi kuwa mtaji wa kisiasa, au asifanye tukio hilo kuwa la kitaifa, n.k, jua kuwa watu kama hao wanasutwa na nafsi zao kila wakisikia Lissu anataja habari hio. Watu hawa nawaambia hivi: Mwambieni huyu shetani mwovu aliyetuma wale wakora kumpiga TL risasi amwombe msamaha. Ni hivyo tu, la sivyo mtaendelea kusononeka hadi kaburini!Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.
Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..
Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
Hata kwa hoja alizoziongea huko Ikungi inaonyesha ameanza kumkubali.Lisu ni mtu mwenye maneno yanayopenya kwenye mioyo ya watu. Usimpe muda Lisu, atakushawishi tu. John naye soon atashawishika na kukubali matokeo. Subiri uone baada ya tarehe 28/10/2020
Kwamba wewe unamtumikia Mungu wa Belgium?😂😂😂Endelea kumtumikia shetani mwisho wenu October
Kwani watu Dodoma walijaa kwa ajili yake au ni kwa ajili ya burudani za bure? Hao cdm unawatolea mfano wa Mbagala tu, kwani mkutano wa kampeni wamefanya Mbagala tu mpaka sasa?
" Ukipigwa Kofi shavu moja, we we jibu kwa kupiga mashavu yote mawili" Tundu Lissu akiwa IringaLissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.
Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..
Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
Hili swali JPM akilijibu kwa ufasaha mimi nachukua kadi ya CCM kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe!!
Badala ya kutafuta wauaji police wanatafuta dereva. Ririiiiioooo IGP“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16,
Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. @TunduALissu.
"Kwakuwa amesema ananipenda aseme ni nani aliyemkusudia auawe katika hotuba yake aliyoitoa wakati akipokea ripoti ya madini na kusema kuwa anamsumbua sumbua katika agenda yake ya madini na kwamba bora msaliti auwawe"-; Mhe. @TunduALissu
t.co / Twitter
Swali zuri sana nadhani hili swali kina pole pole watamfikishia mezani boss wao
Hawezi kumshinda magufuli wala kuwa rais wa jamhuri ya muungano TanzaniaLissu atazipata kura kadhaa za huruma. Ametumia nguvu kubwa katika kuzitafuta.
Tatizo la mgombea wa CCM hana sera wala hoja nzito za kuweza kuwavutia wananchi, siku zote yeye huongea mambo rahisi rahisi tu ambayo yanaonekana ni yenye tija kwa watu wenye akili duni na upofu wa kufikiria. Viongozi makini duniani huwa hazungumzii vitu vyepesi ktk nyakati za kampeni za uraisi, bali hushusha nondo zilizojaa madini tupu.
Haya ndiyo mapungufu ya kiongozi wa nchi kukwepa kuongea ama kushauriana na viongozi wengine mashuhuri hapa duniani kwa kificho cha kubana matumizi. Kwa kuwa anajikuta hawezi kuongelea mambo muhimu yenye kugusa maslahi mapana ya Watanzania wenye fikra pana.
Ona Ulivyo na kiherehere Sasa, wapi apo nimesema kuua, au kutobo ndo kinakusumbua...? Kwaakili yako Chadema anaeweza kuishinda CCM? Tunawasubiri tu muanze kutekeleza kauli ya raisi wenu, kuingia barabarani. Hatuwezi kukubali tuipoteze Aman ya nchi yetu kisa nyie.!Anhaa, kumbe wauaji wakubwa nyie, nilitaka ufike mahali ukiri
Mmeua watu kwa Miaka 5 mnafikiri you Can carry that on,eh? Ueni sasa tuone
Mara paap Magufulianz anajitoa kugombea urais, anaamua kumuunga msomi wa Kweli Tundu Lisu , vibaraka wake wakina Mwifoot Mchemba sijui sura zao wataweka wapi.Lisu ni mtu mwenye maneno yanayopenya kwenye mioyo ya watu. Usimpe muda Lisu, atakushawishi tu. John naye soon atashawishika na kukubali matokeo. Subiri uone baada ya tarehe 28/10/2020
CCM wamesharidhika na mambo mepesi.Tatizo la mgombea wa CCM hana sera wala hoja nzito za kuweza kuwavutia wananchi, siku zote yeye huongea mambo rahisi rahisi tu ambayo yanaonekana ni yenye tija kwa watu wenye akili duni na upofu wa kufikiria. Viongozi makini duniani huwa hazungumzii vitu vyepesi ktk nyakati za kampeni za uraisi, bali hushusha nondo zilizojaa madini tupu.
Haya ndiyo mapungufu ya kiongozi wa nchi kukwepa kuongea ama kushauriana na viongozi wengine mashuhuri hapa duniani kwa kificho cha kubana matumizi. Kwa kuwa anajikuta hawezi kuongelea mambo muhimu yenye kugusa maslahi mapana ya Watanzania wenye fikra pana.
Kuna watu wame like nadhani ni wapiga punyeto wenzio.Mimi akilijibu vizuri nitapiga punyeto Kariakoo mchana kweupe
Alipambana na Lowasaa bu...bu 2015...Lissu kiboko yake...na kibaya zaidi hajazoea criticism kwa kunyamazisha wapinzaniHilo swali la Lissu ni gumu sana, haliwezi kujibiwa kamwe, ndio maana siku hizi jamaa yetu anaonekana mpole sana, anajua wakati huu wa kampeni mengi sana yatasemwa, hasa yale asiyopenda kuyasikia, namshauri awe mvumilivu sana.
[emoji23][emoji23], Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi[emoji44]? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Usijipimie kirahisi hivyo! Jaribu kujipa muda kujitafakari ili ujipange kimkakati namna nzuri na Bora ya kujiokoa pale nguvu ya umma inapokuwa imechukua nafasi!😂😂, Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi😲? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.🚶🚶🚶🚶