Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

[emoji23][emoji23], Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi[emoji44]? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
mwaka huu mtafute kazi za kufanya majengo yote na viwanja vyote mtarudisha Serikalini.
 
Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.

Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..

Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
Hujui siasa wewe. Siasa lazima ufanye counterattack. Magu kaongea kisiasa kugain political milage. Lisu asipojibu kama lilivyokuja anampa point opponent wake. Kwa kujibu hivyo anazidi kupata points na kupunguza points za opponent wake. Fikiria angekaa kimya, siku akienda Ikungi angekua na hoja zipi juu ya Magu. Huo ndo mchezo wa siasa.
 
Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.

Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..

Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
Hebu niwaambie jamani. Ukisikia mtu anasema eti TL asifanye kupigwa kwake risasi kuwa mtaji wa kisiasa, au asifanye tukio hilo kuwa la kitaifa, n.k, jua kuwa watu kama hao wanasutwa na nafsi zao kila wakisikia Lissu anataja habari hio. Watu hawa nawaambia hivi: Mwambieni huyu shetani mwovu aliyetuma wale wakora kumpiga TL risasi amwombe msamaha. Ni hivyo tu, la sivyo mtaendelea kusononeka hadi kaburini!
 
Lisu ni mtu mwenye maneno yanayopenya kwenye mioyo ya watu. Usimpe muda Lisu, atakushawishi tu. John naye soon atashawishika na kukubali matokeo. Subiri uone baada ya tarehe 28/10/2020
Hata kwa hoja alizoziongea huko Ikungi inaonyesha ameanza kumkubali.
 
Kwani watu Dodoma walijaa kwa ajili yake au ni kwa ajili ya burudani za bure? Hao cdm unawatolea mfano wa Mbagala tu, kwani mkutano wa kampeni wamefanya Mbagala tu mpaka sasa?

Nimetolea mifano ya mikutano ya uzinduzi.
Ama ulitaka nitoe mfano wa mikutano ya Ikungi kijijini. Nayo iko pia. Karata ya uchaguzi mkuu 2020 mliyo isubiria kwa hamu nyie wapinzani wa JPM imebuma. Mtafute chengine.
 
Lissu nae asitake kufanya tukio lake la kupigwa risasi za plastics kuwa la kitaifa. Risasi ndo imekuwa risasi kwani yeye ndo Mtu wa kwanza dunian kula shaba.

Wapo kina jf Kennedy na kina linkolin walikula za Moto kweli Achana na maigizo haya ya mkenya lakini mbona siyo mijadala ya taifa la USA japo walipigwa risasi wakiwa madarakani..

Nilitegemea Tundu Lissu kumpuuza Magufuli kwa kile alichomusemea Ila kitu uvumilivu kwa TL ndo hakuna kabisa.
" Ukipigwa Kofi shavu moja, we we jibu kwa kupiga mashavu yote mawili" Tundu Lissu akiwa Iringa
 
“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16,

Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. @TunduALissu.

"Kwakuwa amesema ananipenda aseme ni nani aliyemkusudia auawe katika hotuba yake aliyoitoa wakati akipokea ripoti ya madini na kusema kuwa anamsumbua sumbua katika agenda yake ya madini na kwamba bora msaliti auwawe"-; Mhe. @TunduALissu

t.co / Twitter

Badala ya kutafuta wauaji police wanatafuta dereva. Ririiiiioooo IGP
 
Tatizo la mgombea wa CCM hana sera wala hoja nzito za kuweza kuwavutia wananchi, siku zote yeye huongea mambo rahisi rahisi tu ambayo yanaonekana ni yenye tija kwa watu wenye akili duni na upofu wa kufikiria. Viongozi makini duniani huwa hazungumzii vitu vyepesi ktk nyakati za kampeni za uraisi, bali hushusha nondo zilizojaa madini tupu.

Haya ndiyo mapungufu ya kiongozi wa nchi kukwepa kuongea ama kushauriana na viongozi wengine mashuhuri hapa duniani kwa kificho cha kubana matumizi. Kwa kuwa anajikuta hawezi kuongelea mambo muhimu yenye kugusa maslahi mapana ya Watanzania wenye fikra pana.

IMG_5988.png
 
Anhaa, kumbe wauaji wakubwa nyie, nilitaka ufike mahali ukiri

Mmeua watu kwa Miaka 5 mnafikiri you Can carry that on,eh? Ueni sasa tuone
Ona Ulivyo na kiherehere Sasa, wapi apo nimesema kuua, au kutobo ndo kinakusumbua...? Kwaakili yako Chadema anaeweza kuishinda CCM? Tunawasubiri tu muanze kutekeleza kauli ya raisi wenu, kuingia barabarani. Hatuwezi kukubali tuipoteze Aman ya nchi yetu kisa nyie.!
 
Lisu ni mtu mwenye maneno yanayopenya kwenye mioyo ya watu. Usimpe muda Lisu, atakushawishi tu. John naye soon atashawishika na kukubali matokeo. Subiri uone baada ya tarehe 28/10/2020
Mara paap Magufulianz anajitoa kugombea urais, anaamua kumuunga msomi wa Kweli Tundu Lisu , vibaraka wake wakina Mwifoot Mchemba sijui sura zao wataweka wapi.
 
Tatizo la mgombea wa CCM hana sera wala hoja nzito za kuweza kuwavutia wananchi, siku zote yeye huongea mambo rahisi rahisi tu ambayo yanaonekana ni yenye tija kwa watu wenye akili duni na upofu wa kufikiria. Viongozi makini duniani huwa hazungumzii vitu vyepesi ktk nyakati za kampeni za uraisi, bali hushusha nondo zilizojaa madini tupu.

Haya ndiyo mapungufu ya kiongozi wa nchi kukwepa kuongea ama kushauriana na viongozi wengine mashuhuri hapa duniani kwa kificho cha kubana matumizi. Kwa kuwa anajikuta hawezi kuongelea mambo muhimu yenye kugusa maslahi mapana ya Watanzania wenye fikra pana.
CCM wamesharidhika na mambo mepesi.

Hakuna hoja nzito za maana wanaweza mpa mgombea wao.

Wanajua wazi, walichofanya miaka mitano iliopita ni ziro.
 
Hilo swali la Lissu ni gumu sana, haliwezi kujibiwa kamwe, ndio maana siku hizi jamaa yetu anaonekana mpole sana, anajua wakati huu wa kampeni mengi sana yatasemwa, hasa yale asiyopenda kuyasikia, namshauri awe mvumilivu sana.
Alipambana na Lowasaa bu...bu 2015...Lissu kiboko yake...na kibaya zaidi hajazoea criticism kwa kunyamazisha wapinzani
 
[emoji23][emoji23], Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi[emoji44]? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]

ccm bwana mtatuma police au mtadeal na watu ? sina chama ila upumbavu wa ccm umepitiliza kipimo, na ndio mana majitu nlokuwa nasoma nayo yaliokuwa yanashika mkia wote wapo ccm mpaka huwa nawacheka kwakweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😂😂, Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi😲? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.🚶🚶🚶🚶
Usijipimie kirahisi hivyo! Jaribu kujipa muda kujitafakari ili ujipange kimkakati namna nzuri na Bora ya kujiokoa pale nguvu ya umma inapokuwa imechukua nafasi!

Mifano unayo ya misri, Tunisia, Malawi, Sudan na Belarus! Unadhani viongozi waliolazimishwa kuachia madaraja hawakuwa na wafuasi? Sasa, wewe ni Nani wa kupambana na nguvu ya umma?
 
Back
Top Bottom