Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UpinzaniUnaposema hofu kwa watawala umeona nani kapata hofu.? Je umeona serikali imeshindwa kutekeleza shughuli zake?
Kama corona inayotikisa dunia hadi leo haikumsumbua magufuli kuna nini kinachoweza kumsumbua tena?
Hao walioikimbia corona wakaenda kujificha.? Au upinzani wa nchi gani unaongelea?Upinzani
Tena Wenge kweli kweli.TL Ni kiboko ya Magufuli..alijifanya bulldozer akakutana excavator PC8000
Lazima apate wenge na sonona juu!
Mwanzo nilidhani TAL hawezi kuwa rais bali ataleta upinzani mkali tu. Lakini sasa Namuona TAL akiwa Ikulu.Wamuache Tundu lissu nae ana haki ya kuwa Rais wa Tanzania na tuko nyuma yake
Mmempamba wa kwenu kwa miaka mitano na bado hapambiki.mpaka lro anahangaika kuzima habari Lissu asisikike lakini amekwama. Social media pekee zimezidi hayo matv na maredio.Bila kumpamba humu, lissu hauziki.
CCM iko ICU Lissu akizima machine ya kupumzikia tunaimba mapambio “kaburi ni mwanzo”.Mpaka raha yaani
Tumebarikiwa sana watanzania kwa kupew Rais kama Lissu.Lissu ni mzalendo sana kwa nchi yetu, huyu in mpenda haki na in mtetezi wa kweli.mungu aendelee kumlinda na kumweka hai
Upinzani ambao selikari imetumia zaidi ya tril1.5 kuusambaratisha bila mafanikioHao walioikimbia corona wakaenda kujificha.? Au upinzani wa nchi gani unaongelea?
Kwa wizi wa kuraKwakifupi Hatoguswa wala kubuguziwa, asije akafikiri ameshindwa uchaguzi kwa sababu alikamatwa au kusumbuliwa.
Atashindwa wima