Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Wewe na Nani?hata kichaa hawez kumuelewa tundu lisu yan mkuu unakaa kabisa kusema unaitaj mda kumuelewa lissu africa tunataka kujitegemea yeye anakuja na sera za kushirikiana na ulaya a man who need to win the election unakuja na sera hiyo ya kipumbavu hivo sisi sio wapumbavu kiasi cha kutueleza ujinga huu
Mpumbavu ni wewe!! Nani kakuambia Magufuli anajitegemea? Hivi unajuwa kuwa afya, elimu na miundombinu kuna fedha za wafadhili by 60%hata kichaa hawez kumuelewa tundu lisu yan mkuu unakaa kabisa kusema unaitaj mda kumuelewa lissu africa tunataka kujitegemea yeye anakuja na sera za kushirikiana na ulaya a man who need to win the election unakuja na sera hiyo ya kipumbavu hivo sisi sio wapumbavu kiasi cha kutueleza ujinga huu
yuko sahihi kabisa tukishuka stendi saa nane usiku toka shift tutakula na kuchukua mahitaji ya kwenda nayo nyumbani. machinga wataingiza hela mchana na usiku kwenye hizo malls watasaidia ndugu zao vijijini.
hayo ndio maendeleo ya watu, serikali itatoa tenda kwa kampuni binafsi za kitanzania na kuwalipa cash, pesa itazunguka mtaani.
hata kichaa hawez kumuelewa tundu lisu yan mkuu unakaa kabisa kusema unaitaj mda kumuelewa lissu africa tunataka kujitegemea yeye anakuja na sera za kushirikiana na ulaya a man who need to win the election unakuja na sera hiyo ya kipumbavu hivo sisi sio wapumbavu kiasi cha kutueleza ujinga huu
Lisu kawashika vibaya marahiiCHADEMA kupitia Mgombea Urais wao ametamka kujenga masoko yatakayofanya kazi nyakati za usiku.
Namnukuu Lissu “Tutajenga majengo makubwa kwa ajili ya Wamachinga ili wafanye biashara kwa uhuru na sio kuwapa vitambulisho halafu wafanyie biashara kwenye mitaro ambako mvua inakuwa yao na jua linakuwa lao” -Tundu Lissu akiwa Mbeya
“Kwenye stendi za Mabasi tutajenga majengo ambayo Mama Lishe watauza vyakula, tunataka kuwa na masoko ambayo yatakuwa yanafanya kazi usiku kucha ili Mtu yeyote ambaye atakuwa amechelewa kufika kwenye mji husika apate huduma”-Lissu
Hoja kuu hapa ni kujenga masoko, watu kufanya biashara nyakati za usiku na vitambulisho vya wajasiliamali.
Lissu huyu anayesema kila siku maendeleo ni Watu na sio vitu, leo hii huyo huyo Lissu anasema atajenga masoko. Iko wapi hoja yake aliyosema maendeleo ya Watu na sio vitu? Ama soko ni Watu na sio kitu tena?
Huyo huyo Lissu na wenzake wanaosema wakiingia ikulu watauza ndege zote za nchi zilizonunuliwa na Rais Magufuli ndio hao hao wanatumia usafiri wa ndege kuzunguka mikoani. Au wanazopanda sio ndege ni mitumbwi?
Lissu huyu huyu anayepinga ujenzi wa umeme wa Mto Rufiji utakaozalisha megawatts 2115 kuwa unalifilisi Taifa, leo hii anasema atahakikisha Wajasiliamali wanafanya biashara hadi usiku. Anapinga ujenzi wa umeme wa uhakika anataka hao Wajasiliamali wafanye biashara gizani?
Alivyokuwa mkurupukaji Lissu anazungumzia vitambulisho vya Wajasiliamali kuwa havina tija kwa Wamachinga na Wajasiliamali. Lahaula!
Inawezekana "dish" limeyumba hajui kuwa hajui vitambulisho hivyo ni mkombozi kwa Wamachinga na Wajasiliamali wote wadogo. Mmachinga, Mama Lishe hapo awali walikuwa kwenye misukosuko mikubwa na Mgambo kutokana na suala la ulipaji ushuru waliokuwa wakitozwa kila siku ambapo walikuwa wakilipia ushuru wa Tsh. 500/- ama Tsh. 1,000/- kwa siku.
Leo hii badala ya kulipa Tsh. 180,000/- ama Tsh. 365,000/- kwa mwaka leo hii wanalipa Tsh. Elfu ishirini tu (20,000/-). Wanaokoa Tsh. 160,000/- na wengine wanaokoa Tsh. 345,000/- pamoja na bidhaa zao. Lissu atasemaje vitambulisho havina tija?
Inawezekana Lissu anapajua zaidi Ubelgiji kuliko Tanzania, nimkumbushe Tanzania kuna masoko kwa ajili ya Wamachinga yapo mfano hai ni soko la Machinga Complex lililopo Karume wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam.
Si hayo tu bali pia Rais Magufuli amejenga stendi mpya nyingi tu ikiwemo ya Mpanda Katavi, Morogoro, Dodoma nk na kote huko kuna majengo ya Wajasiliamali wote wakiwemo Mama Lishe.
Lissu aache kujikoroga, aelewe hizi sio zama za drama, siasa za uongo kwani Watanzania wa sasa ni waelewa sana wanajua mbivu na mbichi, hawalishwi matango pori!!
*Shilatu E.J*
Magufuli anakudanganya kila uchao. Salimia 80 Bajeti ya afya inatoka kwa Wafadhili. Endelea kumuamini mwongo mkubwasawa me mpumbavu ninaetaka kujitegemea binafsi bila kutumia pesa za wafahdili kama magufuli anavosema kila siku
Magufuli anakudanganya kila uchao. Salimia 80 Bajeti ya afya inatoka kwa Wafadhili. Endelea kumuamini mwongo mkubwa
kudangwa wachwa nidanganywe lakini sio kumpinga na kumkataa kabisa utaratibu huu tunaishi nao kwa sasa naona ni bora kuliko na hata mpinzani huyu lissu hawez fanya hata robo haya aliyo yafanya maguli,
kudangwa wachwa anidanganywe lakini siwez kumpinga na kumkataa kabisa utaratibu huu tunaishi nao kwa sasa naona ni bora kuliko na hata mpinzani huyu lissu hawez fanya hata robo haya aliyo yafanya maguli,Magufuli anakudanganya kila uchao. Salimia 80 Bajeti ya afya inatoka kwa Wafadhili. Endelea kumuamini mwongo mkubwa
sawa me mpumbavu ninaetaka kujitegemea binafsi bila kutumia pesa za wafahdili kama magufuli anavosema kila siku
ww mpka sasa umeshakamilsha mangapi amabayo umeyapanga /me naona unabishana na upepo mkuu kama ww leo huona magufli kafanya nn bas hutoweza kuona la mwingine yoyote yule atakae kuja kuongoza nchi hiiKama anasema kila siku mbona atekelezi.Si kaongoza miaka 5.Uko kujitegemea kuko wapi?.Chuki zenu binafsi kwa waliofanikiwa hakuwezi kuwasaidia mkajikwamua kutoka hapo mlipokwama.