Tundu Lissu anamuunga mkono Cecil Mwambe ndio kisa cha Kubenea kuondoa jina lake

Tundu Lissu anamuunga mkono Cecil Mwambe ndio kisa cha Kubenea kuondoa jina lake

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Inasemekana kuwa mwanasheria mkuu wa Chadema wakili msomi Tundu Antipas Lisu anamuunga mkono Cecil Mwambe kwa nafasi ya mwenyekiti.

Tetesi kutoka korido za Ufipa zinadai Tundu Lisu anapendelea zaidi kufanya kazi chini ya Mwambe kwa sababu siasa za zama hizi hazitaki mambo ya usiri usiri na Mwambe ni mtu muwazi hata awapo bungeni.

Inasemekana hata Kubenea aliyepo kambi ya Lisu amejitoa baada ya kujiridhisha na msimamo wa Lisu ambaye awali baada ya kupoteza ubunge alitamani kuhamia ACT wazalendo kwa rafiki yake Jussa

Hivi vyama ni vya umma ruzuku ni kodi za wananchi

Maendeleo hayana vyama!
 
Tumia akili zako basi!utaongozwa na njaa hadi lini?????mbona husemi kilichomfanya jpm akahairisha ziara ya ruangwa ni nini?mbona husemi kuwa MABEYO HANA SIFA NA HAKUBALIKI KWA WANAJESHI WENYE VYEO VIKUBWA????SEMA YANAYOHUSU LUMUMBA!YA UFIPA YANAKUSAIDIA NINI??
 
Tukubaliane haya ni majungu? Unataka members wa JF wajadili majungu?
 
Mwana ccm mwenzangu, kwako wewe halita aminika hata chembe, ngoma itajitokeza hadharani hivi punde.

Sidhani wala sitegemei Cecil atadhinda, hana turufu nyingi zinazohitajika kushinda, mie nadhani huyo ni msindikizaji aliyetengenezwa, la sivyo angepigwa ngwara kama waliokitamani hicho kiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi unazoziita tetesi ni kutoka korido za lumumba.
 
Bwashee, haya mambo ya CDM waachie wenye chama wenyewe. La sivyo, utaangaika kama mtetea anayeangaika kutaga yai bila ya jogoo aliyemsababishia kutaga yai hilo kujua. Ya Ngoswe mwachie Ngoswe mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahangaika sana kama kuku anayetaka kutaga. Tundu Lissu kabisa awe upande wa watesi wake? Hizi tungo zingine zinazidi kushushia credibility yako hapa jukwaani, hizi ni saizi ya kina jinga lao,Kawe Alumni,State Agent nk lakini hata wewe, kweli ukiwa CCM akili zako unazi surrender kwa mwenye chama unabakishiwa za kusifia tu.
1572191514899.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una kibarua kizito mtu mgeni JF anaweza kudhania wewe ni mwandishi wa habari wa Chadema,nadhani hata alikupa simu anaridhika na matumizi ya simu yake endelea kutupa ubuyu kama wa Shilawadu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom