Tundu Lissu anastahili kuitwa Baba, na Simba, wa Tanzania.

Tundu Lissu anastahili kuitwa Baba, na Simba, wa Tanzania.

bangusule

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2008
Posts
436
Reaction score
538
Huyu bwana alikuwa nje kwa masuala ya kesi yake. Na nchi ilikuwa imepoa utadhani imepigwa ganzi. Mh.Mchengerwa alikuwa katika harakati zake za kuvuruga uchaguzi, na hakuna yeyote aliyekuwa na ujasiri wa kukabiliana.

Tundu Lissu aliporejea na hali aliyotukuta nayo Watanzania akatoa tamko kali kukemea madhaifu yaliyokuwa yakiendelea. Baada ya kauli ya Lissu ndipo tulipomuona Katibu Mkuu wa CCM akikurupuka na kukiri kuwa Tamisemi wanaendesha mchakato wa uchaguzi ndivyo sivyo. Maaskofu nao wamepata ujasiri wa kudai Tamisemi itende haki, na isiwadhulumu Watanzania.

Kwa sasa Tundu Lissu ndiye mwanasiasa ambaye akizungumza kauli zake zinafuatiliwa na kutiliwa maanani. Tundu Lissu ana ushawishi kumzidi hata Raisi Samia Suluhu, na kamati kuu ya Ccm.

Hakika Tundu Lissu sasa amekuwa kama ndiye Baba, na mzazi, ktk taifa la Watanzania.
 
Huyu bwana alikuwa nje kwa masuala ya kesi yake. Na nchi ilikuwa imepoa utadhani imepigwa ganzi. Mh.Mchengerwa alikuwa katika harakati zake za kuvuruga uchaguzi, na hakuna yeyote aliyekuwa na ujasiri wa kukabiliana.

Tundu Lissu aliporejea na hali aliyotukuta nayo Watanzania akatoa tamko kali kukemea u*she*nzi uliokuwa ukiendelea. Baada ya kauli ya Lissu ndipo tulipomuona Katibu Mkuu wa CCM akikurupuka na kukiri kuwa Tamisemi wanaendesha mchakato wa uchaguzi ndivyo sivyo. Maaskofu nao wamepata ujasiri wa kudai Tamisemi itende haki, na isiwadhulumu Watanzania.

Kwa sasa Tundu Lissu ndiye mwanasiasa ambaye akizungumza kauli zake zinafuatiliwa na kutiliwa maanani. Tundu Lissu ana ushawishi kumzidi hata Raisi Samia Suluhu, na kamati kuu ya Ccm.

Hakika Tundu Lissu sasa amekuwa kama ndiye Baba, na mzazi, ktk taifa la Watanzania.
Tusubiri misukule ya mzee Mbowe(brainwashed) waamke ,jiandae kwa matusi hatariii.
 
Huyu bwana alikuwa nje kwa masuala ya kesi yake. Na nchi ilikuwa imepoa utadhani imepigwa ganzi. Mh.Mchengerwa alikuwa katika harakati zake za kuvuruga uchaguzi, na hakuna yeyote aliyekuwa na ujasiri wa kukabiliana.

Tundu Lissu aliporejea na hali aliyotukuta nayo Watanzania akatoa tamko kali kukemea madhaifu yaliyokuwa yakiendelea. Baada ya kauli ya Lissu ndipo tulipomuona Katibu Mkuu wa CCM akikurupuka na kukiri kuwa Tamisemi wanaendesha mchakato wa uchaguzi ndivyo sivyo. Maaskofu nao wamepata ujasiri wa kudai Tamisemi itende haki, na isiwadhulumu Watanzania.

Kwa sasa Tundu Lissu ndiye mwanasiasa ambaye akizungumza kauli zake zinafuatiliwa na kutiliwa maanani. Tundu Lissu ana ushawishi kumzidi hata Raisi Samia Suluhu, na kamati kuu ya Ccm.

Hakika Tundu Lissu sasa amekuwa kama ndiye Baba, na mzazi, ktk taifa la Watanzania.
Sure,
muungwana ni baba wa kuomba omba kuchangiwa nchini, na zaidi sana ni baba wa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, Africa mashariki na kati 🐒
 
Huyu bwana alikuwa nje kwa masuala ya kesi yake. Na nchi ilikuwa imepoa utadhani imepigwa ganzi. Mh.Mchengerwa alikuwa katika harakati zake za kuvuruga uchaguzi, na hakuna yeyote aliyekuwa na ujasiri wa kukabiliana.

Tundu Lissu aliporejea na hali aliyotukuta nayo Watanzania akatoa tamko kali kukemea madhaifu yaliyokuwa yakiendelea. Baada ya kauli ya Lissu ndipo tulipomuona Katibu Mkuu wa CCM akikurupuka na kukiri kuwa Tamisemi wanaendesha mchakato wa uchaguzi ndivyo sivyo. Maaskofu nao wamepata ujasiri wa kudai Tamisemi itende haki, na isiwadhulumu Watanzania.

Kwa sasa Tundu Lissu ndiye mwanasiasa ambaye akizungumza kauli zake zinafuatiliwa na kutiliwa maanani. Tundu Lissu ana ushawishi kumzidi hata Raisi Samia Suluhu, na kamati kuu ya Ccm.

Hakika Tundu Lissu sasa amekuwa kama ndiye Baba, na mzazi, ktk taifa la Watanzania.
Hakika ni mjenga hoja mahiri,akisimama tu jukwaani au popote lazima uwe makini kumsikiliza,maana lazima adondoshe kitu kizito,yuko makini,tumpe maua yake,.
 
Wangempa tu urais awanyooshe

Huyu angewanyoosha Mara 5 zaidi ya Magufuli alivyowanyoosha
 
Huyu bwana alikuwa nje kwa masuala ya kesi yake. Na nchi ilikuwa imepoa utadhani imepigwa ganzi. Mh.Mchengerwa alikuwa katika harakati zake za kuvuruga uchaguzi, na hakuna yeyote aliyekuwa na ujasiri wa kukabiliana.

Tundu Lissu aliporejea na hali aliyotukuta nayo Watanzania akatoa tamko kali kukemea madhaifu yaliyokuwa yakiendelea. Baada ya kauli ya Lissu ndipo tulipomuona Katibu Mkuu wa CCM akikurupuka na kukiri kuwa Tamisemi wanaendesha mchakato wa uchaguzi ndivyo sivyo. Maaskofu nao wamepata ujasiri wa kudai Tamisemi itende haki, na isiwadhulumu Watanzania.

Kwa sasa Tundu Lissu ndiye mwanasiasa ambaye akizungumza kauli zake zinafuatiliwa na kutiliwa maanani. Tundu Lissu ana ushawishi kumzidi hata Raisi Samia Suluhu, na kamati kuu ya Ccm.

Hakika Tundu Lissu sasa amekuwa kama ndiye Baba, na mzazi, ktk taifa la Watanzania.
Twende na tundu lisu 2025
 
Tundu Lissu akizungumza ni kama darasa la historia, siasa, uchumi, katiba, na masuala mengine mengi yanayoihusu jamii, na dunia kwa ujumla. Kiongozi yoyote anatakiwa awe mtu anayeelimisha jamii yake.
 
Back
Top Bottom