Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Naona umepanikiUna hoja na wewe. Nisibishane na wewe. Nikikaa na kuandika uzi wala hutakaa ufikie hata nusu yangu.
Una akili.? Kichwa kisicho na akili ni mzgo wa shingo naionea huruma shingo iliyobeba hilo bichwa lakoUngeacha wenye akili Timamu wajadili hoja
Mkuu hebu assume Lucas Mwashambwa mwandiko wake hata akiutaipu bado ni mchafu je akiandika kwa mkono wake itakuwaje.Una hoja na wewe. šššš mpumbavu kabisa wewe. Nisibishane na wewe. Yaani ni kae na kubishana na mbumbumbu aka mpumbavu wa kwanza kabisa hapa JF nikikaa na kuandika uzo wala hutakaa ufikie hata nusu yangu kima wewe. Tena bonge la fala. Na report kwa moderator nikuchome vizuri mpumbavu mwenye upumbavu mwingi saaaana wewe.
Japo simsapoti Lissu lakini sisi CDM hatuna mambo ya kukatana majina au ushenzi wa kupita bila kupingwa kama huko CCM.Ndugu zangu Watanzania,
Kama kuna kitu CHADEMA wanapaswa kujifunza kutoka CCM basi ni suala zima la kusimamia maadili, nidhamu,sheria,kanuni, taratibu,miongozo na katiba ya chama.Ndani ya CCM hakuna aliye mkubwa zaidi ya chama,hakuna aliye juu ya chama,hakuna mwenye kusema pasipo yeye hakuna CCM au kwamba yeye ndiye CCM na hawezi kufukuzwa wala kuambiwa chochote kile.
Ndani ya CCM mtu au kiongozi yeyote yule anaweza kuitwa kuhojiwa au kupewa onyo au karipio au kusimamishwa uanachama au kufukuzwa kabisa. Ndani ya CCM Bila kujali ukubwa wa jina la mtu au umri wake au wadhifa wake au umaarufu wake au uungwaji mkono wa mtu unaweza kukatwa jina na kuenguliwa katika kinyang'anyiro cha kugombea nafasi fulani ikiwa itabainika umekiuka sheria, kanuni, taratibu, miongozo na katiba ya chama.
Huwezi ukafumbiwa macho ndani ya CCM ikiwa mwenendo wako utaonekana kuhatarisha umoja na mshikamano wa chama au ikiwa mwenendo wako unakigawa chama na wanachama.Mifano ipo mingi lakini sitaitaja kwa leo ili andiko lisiwe refu sana.
Sasa tangia kupulizwa kwa filimbi ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya CHADEMA. na Lissu kuchukua Fomu ya kuwania uenyekiti wa chama Taifa.Imeleta aibu kubwa sana na fedheha kubwa sana kwa chama na yeye mwenyewe.ambapo watu mbalimbali wenye akili Timamu wamebaki wanajiuliza ilikuwaje Lissu akafikia hatua ya kushika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa?
Kila mtu ameshuhudia lissu akiongea mambo ya chama bila breki,akiongea na kutoa siri za chama hadharani bila kikomo wala breki utafikiri amekatika mishipa ya fahamu.kauli zinazotoka mdomoni pake zimekivua nguo chama na kuharibu sifa ya chama kwa kuonekana ni kama genge la wasaka Tonge na wachumia tumbo tu wasio na muelekeo wala Dira zaidi ya maslahi binafsi.
Lissu kwa mdomo wake ambao haujawahi kuwa na subira wala uvumilivu wala hekima wala busara wala staha amefanya kazi ya kuwachafua viongozi wenzake,kuwazushia uongo na ufitini pasipo ushahidi wa aina yoyote ile alioutoa hadharani.Ametoa kila aina ya siri za chama zinazopaswa kuzungumzwa kwenye vikao nyeti vya chama.
Amekuwa akiserereka tu Mdomoni pake utafikiri gari lililokatika breki mteremkoni.haelewi wala kujua kipi cha kuongea hadharani na kipi cha kuongelewa faragha.hajui kipi azungumze na kipi asizungumze.yaani yeye Maiki ikiwa mbele yake ni kama anachanganyikiwa na kupoteza balansi ya mdomo.
Hivyo kujenga nidhamu ya chama anapaswa kukatwa na kuenguliwa haraka sana pamoja na kutoa onyo kali sana kwake .na ikiwa ataendelea basi afukuzwe chamani na kwenda anakotaka.ni lazima CHADEMA ichukue hatua hizo mapema sana ili kukinusuru chama na kujenga umoja na mshikamano ndani ya chama.
Haiwezekani CHADEMA iliyojengwa kwa jasho na Damu ibomolewe kwa mwezi mmoja na Mdomo wa Lissu usio na breki wala kipimo . haiwezekani CHADEMA ambayo kuna watu wameipambania kwa jasho na Damu na wameifia, leo hii lissu aje aanze kuipeleka shimoni halafu abakie anaangaliwa bila kuchukuliwa hatua zozote zile.hiyo haiwezekani na haikubaliki na haipaswi kukubalika wala kufumbiwa macho wala kuvumiliwa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
š¼.....Sifuri ni nini, maana yake hakuna kitu....šµš¶Lijamaa lipo kama hamnazo yaani
Haya mambo ya Chadema ni ya kiumeni wewe chukua kopo katoe janaba hilo ukalale.Kaa kwa kutulia dogo na kunywa kikombe hiki.
Yaani nimekuwa na mamlaka ningemkamata na kumtia korokoroni mwalimu aliyemfundisha Lucas Mwashambwa jinsi ya kuandika.Si unaona unavyoandika kama Mlevi
Huyo ubongo wake ulichelewa kupata oxygen.Yaani nimekuwa na mamlaka ningemkamata na kumtia korokoroni mwalimu aliyemfundisha Lucas Mwashambwa jinsi ya kuandika.
Iweje mtu mzima anaandika kanakwamba Hana ubongo?
Muda wote una hasiraHuu upumbavu wa kuengua mnaofanya huko CCM mnataka mtu wenu autumie huku Chadema. Pumbavu kabisaa. Wajaribu waone moto wake.
Huyu mlugaluga anakera sana,wewe mwenyewe umejitenga naye š¤£š¤£Muda wote una hasira
Yeye ndiye kajitenga na mimi itakua ashapata mchumba mwingine kwao Mbozi.Huyu mlugaluga anakera sana,wewe mwenyewe umejitenga naye š¤£š¤£
Na mimi sitaki kumjibu vibaya maana huyo ni mpiga kura wetu ephen. Kwa hiyo ni lazima ujue katika kundi la wapiga kura kuna wengine ambao akili zao hazisomi . Si unajua ukiwa kiongozi inatakiwa uwe na ngozi ngumu.sasa mimi ni kiongozi wa kesho na wewe ni Mama Mheshimiwa wa kesho mtarajiwa.Yeye ndiye kajitenga na mimi itakua ashapata mchumba mwingine kwao Mbozi.
Leo ndo nimeona ulijiunga humu 2009š
Hivi una akili Timamu kweli?Mkateni muone kama hatumkati mboo mbowe
Hujaacha tu porojo zakošNa mimi sitaki kumjibu vibaya maana huyo ni mpiga kura wetu ephen. Kwa hiyo ni lazima ujue katika kundi la wapiga kura kuna wengine ambao akili zao hazisomi . Si unajua ukiwa kiongozi inatakiwa uwe na ngozi ngumu.sasa mimi ni kiongozi wa kesho na wewe ni Mama Mheshimiwa wa kesho mtarajiwa.
Sure mkuu. Afu anawaambia wadau huna akili timamu wewe.š¼.....Sifuri ni nini, maana yake hakuna kitu....šµš¶
Akili ya huyo Jamaa ni kama debe tupu.
Nimekusamehe bure kabisa.Amani Ya Bwana iwe pamoja naweYaani nimekuwa na mamlaka ningemkamata na kumtia korokoroni mwalimu aliyemfundisha Lucas Mwashambwa jinsi ya kuandika.
Iweje mtu mzima anaandika kanakwamba Hana ubongo?
Ukiweza kukata la mwenyekiti wako hapo pia utaweza kata la TL.Ndugu zangu Watanzania,
Kama kuna kitu CHADEMA wanapaswa kujifunza kutoka CCM basi ni suala zima la kusimamia maadili, nidhamu,sheria,kanuni, taratibu,miongozo na katiba ya chama.Ndani ya CCM hakuna aliye mkubwa zaidi ya chama,hakuna aliye juu ya chama,hakuna mwenye kusema pasipo yeye hakuna CCM au kwamba yeye ndiye CCM na hawezi kufukuzwa wala kuambiwa chochote kile.
Ndani ya CCM mtu au kiongozi yeyote yule anaweza kuitwa kuhojiwa au kupewa onyo au karipio au kusimamishwa uanachama au kufukuzwa kabisa. Ndani ya CCM Bila kujali ukubwa wa jina la mtu au umri wake au wadhifa wake au umaarufu wake au uungwaji mkono wa mtu unaweza kukatwa jina na kuenguliwa katika kinyang'anyiro cha kugombea nafasi fulani ikiwa itabainika umekiuka sheria, kanuni, taratibu, miongozo na katiba ya chama.
Huwezi ukafumbiwa macho ndani ya CCM ikiwa mwenendo wako utaonekana kuhatarisha umoja na mshikamano wa chama au ikiwa mwenendo wako unakigawa chama na wanachama.Mifano ipo mingi lakini sitaitaja kwa leo ili andiko lisiwe refu sana.
Sasa tangia kupulizwa kwa filimbi ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya CHADEMA. na Lissu kuchukua Fomu ya kuwania uenyekiti wa chama Taifa.Imeleta aibu kubwa sana na fedheha kubwa sana kwa chama na yeye mwenyewe.ambapo watu mbalimbali wenye akili Timamu wamebaki wanajiuliza ilikuwaje Lissu akafikia hatua ya kushika nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa?
Kila mtu ameshuhudia lissu akiongea mambo ya chama bila breki,akiongea na kutoa siri za chama hadharani bila kikomo wala breki utafikiri amekatika mishipa ya fahamu.kauli zinazotoka mdomoni pake zimekivua nguo chama na kuharibu sifa ya chama kwa kuonekana ni kama genge la wasaka Tonge na wachumia tumbo tu wasio na muelekeo wala Dira zaidi ya maslahi binafsi.
Lissu kwa mdomo wake ambao haujawahi kuwa na subira wala uvumilivu wala hekima wala busara wala staha amefanya kazi ya kuwachafua viongozi wenzake,kuwazushia uongo na ufitini pasipo ushahidi wa aina yoyote ile alioutoa hadharani.Ametoa kila aina ya siri za chama zinazopaswa kuzungumzwa kwenye vikao nyeti vya chama.
Amekuwa akiserereka tu Mdomoni pake utafikiri gari lililokatika breki mteremkoni.haelewi wala kujua kipi cha kuongea hadharani na kipi cha kuongelewa faragha.hajui kipi azungumze na kipi asizungumze.yaani yeye Maiki ikiwa mbele yake ni kama anachanganyikiwa na kupoteza balansi ya mdomo.
Hivyo kujenga nidhamu ya chama anapaswa kukatwa na kuenguliwa haraka sana pamoja na kutoa onyo kali sana kwake .na ikiwa ataendelea basi afukuzwe chamani na kwenda anakotaka.ni lazima CHADEMA ichukue hatua hizo mapema sana ili kukinusuru chama na kujenga umoja na mshikamano ndani ya chama.
Haiwezekani CHADEMA iliyojengwa kwa jasho na Damu ibomolewe kwa mwezi mmoja na Mdomo wa Lissu usio na breki wala kipimo . haiwezekani CHADEMA ambayo kuna watu wameipambania kwa jasho na Damu na wameifia, leo hii lissu aje aanze kuipeleka shimoni halafu abakie anaangaliwa bila kuchukuliwa hatua zozote zile.hiyo haiwezekani na haikubaliki na haipaswi kukubalika wala kufumbiwa macho wala kuvumiliwa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.