Tundu Lissu anatakiwa kukatwa Jina lake kutokana na kuwachafua viongozi wenzake na Kuharibu taswira ya chama

Mwambie ajifunze kutulia, kwa papara hizi ndiyo anazidi kujianika na wateuzi ndiyo wanamuona kuwa hatoshi. Hakuna mtu amepata kuteuliwa kwa staili ya huyu luka.
Duh! Basi muonganishe huko CDM apate hata ukatibu wa mkoa
 
Hapo uko nje unaumwa na mbu dadako kaingiza danga lake linapiga kazi utakomaje 🤣😄🤣
Ngoja niache kujibizana na wewe maana nitakuwa nami kama mtoto na kujishushia heshima yangu.kwanza hata ephen atanishangaa sana kujadili ujinga wa aina hiyo.
 
Ngoja niache kujibizana na wewe maana nitakuwa nami kama mtoto na kujishushia heshima yangu.kwanza hata ephen atanishangaa sana kujadili ujinga wa aina hiyo.
Nimefanya makusudi kukutoa kwenye reli nawe umejaa mzima mzima ndiyo ujue kuwa huna akili.
 
Lucas umo CCM na umo CHADEMA 😳
 
Chizi ni chizi tu na ndio maana chizi hata akiwa jalalani huona wanaopita barabarani ndio machizi na wenye shida sana.
Ongea nae vizuri usije kushangaa anakua mkwe wako, ana watoto wa kike huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…