The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema BAWACHA, Sharifa Suleiman, amesema kuwa tarehe 8 Machi baraza hilo linatarajia kudhimisha siku ya wanawake Dar es Salaam.
Hayo ameyasema leo tarehe 23 Februari 2024, wakati anazungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.ambapo amesema kuwa katika maadhimisho hayo yatakayofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA
Sharifa amesema kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni 'harakisha usawa wa kijinsia kwa maendeleo endelevu'.
Hayo ameyasema leo tarehe 23 Februari 2024, wakati anazungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.ambapo amesema kuwa katika maadhimisho hayo yatakayofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mhe. Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA
Sharifa amesema kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni 'harakisha usawa wa kijinsia kwa maendeleo endelevu'.