Tundu Lissu anaweza kutoa mbinu na namna bora za kumaliza Mgogoro wa DRC. Apewe nafasi ana kipaji cha kuleta majibu

Tundu Lissu anaweza kutoa mbinu na namna bora za kumaliza Mgogoro wa DRC. Apewe nafasi ana kipaji cha kuleta majibu

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
1738253834230.jpeg

Miongoni mwa Binadamu wenye kipaji sana. Ana calibre ya kuwa mshauri mwema na mwenye uwezo.

Uwe unakubali au unakataa inabaki kuwa shida zako.

Alipotoa ushauri kuhusu Mgogoro wa Israeli na Palestina Donald Trump amepita mule mule.

Kule Ukrain na Russia hawatatulia mpaka wafate ushauri unaofanana na ule aliotoa.

Hata hili la Congo linahitaji mtu brave, mzalendo, mwenye kujali utu na asiyetumia nguvu kuleta utulivu bali Hekima, uongozi na mazungumzo.

Pia soma:
Wakati wa Patrice Lumumba na kina Mobutu Seseseko Kuku wa Zebanga Mtanzania aliyekuwa akiaminika kwa Peace Mediation alikuwa Mwl Nyerere. Sasa tumepewa zawadi nyingine tuitumie.

Let him step in International Affairs and Negotiate for World Peace.

Hii ni Hazina ndugu zangu.
 
Miongoni mwa Binadamu wenye kipaji sana. Ana calibre ya kuwa mshauri mwema na mwenye uwezo.

Uwe unakubali au unakataa inabaki kuwa shida zako.

Alipotoa ushauri kuhusu Mgogoro wa Israeli na Palestina Donald Trump amepita mule mule.

Kule Ukrain na Russia hawatatulia mpaka wafate ushauri unaofanana na ule aliotoa.

Hata hili la Congo linahitaji mtu brave, mzalendo, mwenye kujali utu na asiyetumia nguvu kuleta utulivu bali Hekima, uongozi na mazungumzo.

Wakati wa Patrice Lumumba na kina Mobutu Seseseko Kuku wa Zebanga Mtanzania aliyekuwa akiaminika kwa Peace Mediation alikuwa Mwl Nyerere. Sasa tumepewa zawadi nyingine tuitumie.
Let him step in International Affairs and Negotiate for World Peace.

Hii ni Hazina ndugu zangu.
Here the movement must go.
 
Ccm wafahamu kuwa kuna raia wa tanzania ambaye ni potential, Taifa lisisite kumtumia where is necessary badala ya kumuona ni mpinzani tu
 
Ccm wafahamu kuwa kuna raia wa tanzania ambaye ni potential, Taifa lisisite kumtumia where is necessary badala ya kumuona ni mpinzani tu
You are correct.

Utulivu wa kongo ni muhumu sana kwa uchumi wa Tz
 
Ccm wafahamu kuwa kuna raia wa tanzania ambaye ni potential, Taifa lisisite kumtumia where is necessary badala ya kumuona ni mpinzani tu
Bado kama taifa tumeshindwa kutumia vyema rasilimali watu kimataifa tukauza jina
 
Aisee makundi ya wanamgambo zaidi ya mia moja … mgogoro uliodumu tangu uhuru , nchi za nje zenye maslahi zaidi za 10 ndio Tundu Lissu akautatue ? Hana hata zero security clearance ya nchi yake ameshindwa hata kukubaliana na Ccm? Amka haraka
 
Aisee makundi ya wanamgambo zaidi ya mia moja … mgogoro uliodumu tangu uhuru , nchi za nje zenye maslahi zaidi za 10 ndio Tundu Lissu akautatue ? Hana hata zero security clearance ya nchi yake ameshindwa hata kukubaliana na Ccm? Amka haraka
Inahitaji watu bold kufanya mazungumzo. Watu ambao hawana maslahi wakioko neutral
 
SADC ya sasa woote wanamuogopa PK...hakuna tanko serious la kumuonya Rwanda atoke DRC....wotewaogaaa.....period
 
Back
Top Bottom