Tundu Lissu anzisha chama cha siasa, una kiwango kizuri cha ushawishi

Tundu Lissu anzisha chama cha siasa, una kiwango kizuri cha ushawishi

Upekuzi101

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
221
Reaction score
542
Kuacha ushabiki wa vyama, tunaweza kukubaliana japo kwa kiasi kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa mzuri ila mrengo wake ni wa kiharakati zaidi tofauti na vyama vingine na kuna kiasi kikubwa tu cha watanzania wanavutiwa na siasa za namna hii.

Katika mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, tumeona waziwazi ni kwa kiasi gani kuna wanachama wanamuunga mkono Tundu Lisu ndani ya chama na hata wale walipo mitaani wanatambua ni kwa kiasi gani msimano na harakati za Lisu zinavyoungwa mkono. Tundu Lisu tambua siasa ni art ila ndani yake Kuna sayansi, na Ili uweze ku survive jipange at least for 15 years to come.

Kuna hazina kubwa ya vijana na unaweza kuwekeza kwa vijana kuanzia sasa kwa kuanzisha chama kipya cha siasa kwa kuangalia mahitaji ya wakati, weka dira, na malengo yako wazi kwa vijana, hakikisha malengo ya chama chako yanagusa kwa uhalisia maisha halisi na mahitaji halisi ya Watanzania, tafuta idadi kubwa zaidi ya uungwaji mkono kwenye rika zote.

Chagua kwa usahihi safi safu itakayoweza kuelewa vizuri falsa yako Ili iwe rahisi kwenye uhamasishaji. Tengeneza ushawishi pia kwa wasomi ambao hata kama hawabeba bendera ya chama waziwazi, wabebe moyoni huku ukipambana kuhakikisha unakuwa na vijana walimu, madaktari, engeneers, pilot, polisi, wanajeshi, wakurugenzi na hata makatibu tawala, hili litakuwa jeshi lako ndani ya mfumo hivyo utaweza ku influence maamuzi mwisho wa siku unaweza hata kama si wewe basi mwakilishi wa chama chako kugombea nafasi ya urais miaka ya mbeleni na kushinda.

Siasa za Tanzania zinahitaji akili kubwa ukizingatia chama kama CCM kimejenga mizizi hadi ngazi ya shina kitu kinachohitaji pia muda na strategy kuking'oa kuanzia kwenye mizizi. Kwa kusema hayo, naomba chukua muda wako kutafakari hayo huenda ukakupa mwanga kufikiria zaidi kama uliwai kufikiria jambo hili.

Ndani ya Chadema huwezi ku thrive kwakua Kuna mgongano mkubwa wa maslahi ukizingatia Mbowe anafanya kazi na system, wewe una fight against the system.

Jenga chama cha kisasa kinacho address mahitaji halisi ya wakati na utapata watu wengi sana watakaosimama na wewe. 2015 uliona watanzania walivyosimama na CHADEMA, Ilo linawezekana na kwako pia hasa kwa chama chako kipya, not necessarily you.
 
Wenye nguvu wanajua wanaemtaka!, nyie mtatoa kila hoja na haja ila wanaosukuma kete wanajua kutokana na mchezo wasukume kete ipi!

halafu malengo ya yule sivyo unavyofikiri!, yule anamalengo makubwa so kwenda kuanzisha chama ambacho hata kupata mbunge mmoja itakuwa ni kasheshe kwake itakuwa ni sawa na kupiga sambasoti halafu uangukie pua!
 
Kuacha ushabiki wa vyama, tunaweza kukubaliana japo kwa kiasi kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa mzuri ila mrengo wake ni wa kiharakati zaidi tofauti na vyama vingine na kuna kiasi kikubwa tu cha watanzania wanavutiwa na siasa za namna hii.

Katika mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, tumeona waziwazi ni kwa kiasi gani kuna wanachama wanamuunga mkono Tundu Lisu ndani ya chama na hata wale walipo mitaani wanatambua ni kwa kiasi gani msimano na harakati za Lisu zinavyoungwa mkono. Tundu Lisu tambua siasa ni art ila ndani yake Kuna sayansi, na Ili uweze ku survive jipange at least for 15 years to come.

Kuna hazina kubwa ya vijana na unaweza kuwekeza kwa vijana kuanzia sasa kwa kuanzisha chama kipya cha siasa kwa kuangalia mahitaji ya wakati, weka dira, na malengo yako wazi kwa vijana, hakikisha malengo ya chama chako yanagusa kwa uhalisia maisha halisi na mahitaji halisi ya Watanzania, tafuta idadi kubwa zaidi ya uungwaji mkono kwenye rika zote.

Chagua kwa usahihi safi safu itakayoweza kuelewa vizuri falsa yako Ili iwe rahisi kwenye uhamasishaji. Tengeneza ushawishi pia kwa wasomi ambao hata kama hawabeba bendera ya chama waziwazi, wabebe moyoni huku ukipambana kuhakikisha unakuwa na vijana walimu, madaktari, engeneers, pilot, polisi, wanajeshi, wakurugenzi na hata makatibu tawala, hili litakuwa jeshi lako ndani ya mfumo hivyo utaweza ku influence maamuzi mwisho wa siku unaweza hata kama si wewe basi mwakilishi wa chama chako kugombea nafasi ya urais miaka ya mbeleni na kushinda.

Siasa za Tanzania zinahitaji akili kubwa ukizingatia chama kama CCM kimejenga mizizi hadi ngazi ya shina kitu kinachohitaji pia muda na strategy kuking'oa kuanzia kwenye mizizi. Kwa kusema hayo, naomba chukua muda wako kutafakari hayo huenda ukakupa mwanga kufikiria zaidi kama uliwai kufikiria jambo hili.

Ndani ya Chadema huwezi ku thrive kwakua Kuna mgongano mkubwa wa maslahi ukizingatia Mbowe anafanya kazi na system, wewe una fight against the system.

Jenga chama cha kisasa kinacho address mahitaji halisi ya wakati na utapata watu wengi sana watakaosimama na wewe. 2015 uliona watanzania walivyosimama na CHADEMA, Ilo linawezekana na kwako pia hasa kwa chama chako kipya, not necessarily you.
Yani vyama vyote hivi bado tunahitaji vyama vipya vingine vya siasa? hakuna chama ambacho utakuta mvutano wa hapa pale ni mambo ya kawaida kwenye chama, so kuanzisha chama ni mawazo mfu ,
 
Kuacha ushabiki wa vyama, tunaweza kukubaliana japo kwa kiasi kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa mzuri ila mrengo wake ni wa kiharakati zaidi tofauti na vyama vingine na kuna kiasi kikubwa tu cha watanzania wanavutiwa na siasa za namna hii.

Katika mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, tumeona waziwazi ni kwa kiasi gani kuna wanachama wanamuunga mkono Tundu Lisu ndani ya chama na hata wale walipo mitaani wanatambua ni kwa kiasi gani msimano na harakati za Lisu zinavyoungwa mkono. Tundu Lisu tambua siasa ni art ila ndani yake Kuna sayansi, na Ili uweze ku survive jipange at least for 15 years to come.

Kuna hazina kubwa ya vijana na unaweza kuwekeza kwa vijana kuanzia sasa kwa kuanzisha chama kipya cha siasa kwa kuangalia mahitaji ya wakati, weka dira, na malengo yako wazi kwa vijana, hakikisha malengo ya chama chako yanagusa kwa uhalisia maisha halisi na mahitaji halisi ya Watanzania, tafuta idadi kubwa zaidi ya uungwaji mkono kwenye rika zote.

Chagua kwa usahihi safi safu itakayoweza kuelewa vizuri falsa yako Ili iwe rahisi kwenye uhamasishaji. Tengeneza ushawishi pia kwa wasomi ambao hata kama hawabeba bendera ya chama waziwazi, wabebe moyoni huku ukipambana kuhakikisha unakuwa na vijana walimu, madaktari, engeneers, pilot, polisi, wanajeshi, wakurugenzi na hata makatibu tawala, hili litakuwa jeshi lako ndani ya mfumo hivyo utaweza ku influence maamuzi mwisho wa siku unaweza hata kama si wewe basi mwakilishi wa chama chako kugombea nafasi ya urais miaka ya mbeleni na kushinda.

Siasa za Tanzania zinahitaji akili kubwa ukizingatia chama kama CCM kimejenga mizizi hadi ngazi ya shina kitu kinachohitaji pia muda na strategy kuking'oa kuanzia kwenye mizizi. Kwa kusema hayo, naomba chukua muda wako kutafakari hayo huenda ukakupa mwanga kufikiria zaidi kama uliwai kufikiria jambo hili.

Ndani ya Chadema huwezi ku thrive kwakua Kuna mgongano mkubwa wa maslahi ukizingatia Mbowe anafanya kazi na system, wewe una fight against the system.

Jenga chama cha kisasa kinacho address mahitaji halisi ya wakati na utapata watu wengi sana watakaosimama na wewe. 2015 uliona watanzania walivyosimama na CHADEMA, Ilo linawezekana na kwako pia hasa kwa chama chako kipya, not necessarily you.
atakisajiri nani? ana nini cha kuanzisha chama... labda muuze kashamba kenu huko kijijini lkn na kenyewe ni bure
 
Mbowe ndio Wafuasi wa Chadema hawamtaki kitambo tu Sema alikuwa hajastaafu serikalini ndio alikuwa anawakatizia denge wenzake

This time ameshastaafu Kwa mujibu wa sheria (umri) ndio unaona Tundu Lisu anamchezea kama Mdoli 😃😃
Wafuasi si wanachama kutomtaka kwao hakuna maana yoyote kwa chama..na hivyo km Lisu ana wafuasi wengi ni rahisi wakaanzisha chama chao kuliko kubaki chadema ambako wanachama wana imani na mwenyekiti wao..
 
Wafuasi si wanachama kutomtaka kwao hakuna maana yoyote kwa chama..na hivyo km Lisu ana wafuasi wengi ni rahisi wakaanzisha chama chao kuliko kubaki chadema ambako wanachama wana imani na mwenyekiti wao..
Chadema ni Taasisi ya Umma hivyo Lisu yuko sahihi kubaki hapo kwenye chama kilichoasisiwa na Mzee wa kikinga Tuntemeke Sanga

Pili Chadema ina wanachama 400,000 tu na Wote Wana KADI za CCM pia akiwemo Mbowe ambaye KADI yake alikabidhiwa 1979, Kwa hiyo 23 January 2025 Mwenyekiti Mpya wa Chadema Wakili msomi Tundu Lisu ataanzisha zoezi la kuwatambua Wanachama Wote na kusajili wapya

Akina Yeriko na Ntobi wanaweza kubakia CCM na akina Mbowe na Mrema wakaenda Kwa dada yao ACT wazalendo

Ahsante sana 🐼
 
Kuacha ushabiki wa vyama, tunaweza kukubaliana japo kwa kiasi kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa mzuri ila mrengo wake ni wa kiharakati zaidi tofauti na vyama vingine na kuna kiasi kikubwa tu cha watanzania wanavutiwa na siasa za namna hii.

Katika mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, tumeona waziwazi ni kwa kiasi gani kuna wanachama wanamuunga mkono Tundu Lisu ndani ya chama na hata wale walipo mitaani wanatambua ni kwa kiasi gani msimano na harakati za Lisu zinavyoungwa mkono. Tundu Lisu tambua siasa ni art ila ndani yake Kuna sayansi, na Ili uweze ku survive jipange at least for 15 years to come.

Kuna hazina kubwa ya vijana na unaweza kuwekeza kwa vijana kuanzia sasa kwa kuanzisha chama kipya cha siasa kwa kuangalia mahitaji ya wakati, weka dira, na malengo yako wazi kwa vijana, hakikisha malengo ya chama chako yanagusa kwa uhalisia maisha halisi na mahitaji halisi ya Watanzania, tafuta idadi kubwa zaidi ya uungwaji mkono kwenye rika zote.

Chagua kwa usahihi safi safu itakayoweza kuelewa vizuri falsa yako Ili iwe rahisi kwenye uhamasishaji. Tengeneza ushawishi pia kwa wasomi ambao hata kama hawabeba bendera ya chama waziwazi, wabebe moyoni huku ukipambana kuhakikisha unakuwa na vijana walimu, madaktari, engeneers, pilot, polisi, wanajeshi, wakurugenzi na hata makatibu tawala, hili litakuwa jeshi lako ndani ya mfumo hivyo utaweza ku influence maamuzi mwisho wa siku unaweza hata kama si wewe basi mwakilishi wa chama chako kugombea nafasi ya urais miaka ya mbeleni na kushinda.

Siasa za Tanzania zinahitaji akili kubwa ukizingatia chama kama CCM kimejenga mizizi hadi ngazi ya shina kitu kinachohitaji pia muda na strategy kuking'oa kuanzia kwenye mizizi. Kwa kusema hayo, naomba chukua muda wako kutafakari hayo huenda ukakupa mwanga kufikiria zaidi kama uliwai kufikiria jambo hili.

Ndani ya Chadema huwezi ku thrive kwakua Kuna mgongano mkubwa wa maslahi ukizingatia Mbowe anafanya kazi na system, wewe una fight against the system.

Jenga chama cha kisasa kinacho address mahitaji halisi ya wakati na utapata watu wengi sana watakaosimama na wewe. 2015 uliona watanzania walivyosimama na CHADEMA, Ilo linawezekana na kwako pia hasa kwa chama chako kipya, not necessarily you.
Ana hela? Unadhani kujenga brand ni kazi ndogo?
 
Chadema ni Taasisi ya Umma hivyo Lisu yuko sahihi kubaki hapo kwenye chama kilichoasisiwa na Mzee wa kikinga Tuntemeke Sanga

Pili Chadema ina wanachama 400,000 tu na Wote Wana KADI za CCM pia akiwemo Mbowe ambaye KADI yake alikabidhiwa 1979, Kwa hiyo 23 January 2025 Mwenyekiti Mpya wa Chadema Wakili msomi Tundu Lisu ataanzisha zoezi la kuwatambua Wanachama Wote na kusajili wapya

Akina Yeriko na Ntobi wanaweza kubakia CCM na akina Mbowe na Mrema wakaenda Kwa dada yao ACT wazalendo

Ahsante sana 🐼
Hayo unasema hayana ukweli, sanga si mwanzilishi wa chadema kwa maana ya kufanya chama kikasajiliwa kwa mara ya kwanza, pili kuwa na kadi hakukufanyi zuzu usiyeweza kuelezea hisia zako na kuamua vile unataka, mtu anaweza kuwa na kadi hata za vyama vyote..TLP, CHAUMA, CCM, CUF, CHADEMA nk na bado akabaki na will ya kuamua anavyotaka yeye..mfano pamoja na kuwa mwanachama wa ccm bado anaweza kuanzisha chama chake..! Lisu ana wafuasi wengi wanaomsapoti ni afya kwake kuanzisha chama chake awe mwenyekiti kuliko kugombania nafasi sehemu ambayo kuna wasiomtaka..hakuna binadamu anapenda migogoro!
 
Kuacha ushabiki wa vyama, tunaweza kukubaliana japo kwa kiasi kuwa Tundu Lisu ni mwanasiasa mzuri ila mrengo wake ni wa kiharakati zaidi tofauti na vyama vingine na kuna kiasi kikubwa tu cha watanzania wanavutiwa na siasa za namna hii.

Katika mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA taifa, tumeona waziwazi ni kwa kiasi gani kuna wanachama wanamuunga mkono Tundu Lisu ndani ya chama na hata wale walipo mitaani wanatambua ni kwa kiasi gani msimano na harakati za Lisu zinavyoungwa mkono. Tundu Lisu tambua siasa ni art ila ndani yake Kuna sayansi, na Ili uweze ku survive jipange at least for 15 years to come.

Kuna hazina kubwa ya vijana na unaweza kuwekeza kwa vijana kuanzia sasa kwa kuanzisha chama kipya cha siasa kwa kuangalia mahitaji ya wakati, weka dira, na malengo yako wazi kwa vijana, hakikisha malengo ya chama chako yanagusa kwa uhalisia maisha halisi na mahitaji halisi ya Watanzania, tafuta idadi kubwa zaidi ya uungwaji mkono kwenye rika zote.

Chagua kwa usahihi safi safu itakayoweza kuelewa vizuri falsa yako Ili iwe rahisi kwenye uhamasishaji. Tengeneza ushawishi pia kwa wasomi ambao hata kama hawabeba bendera ya chama waziwazi, wabebe moyoni huku ukipambana kuhakikisha unakuwa na vijana walimu, madaktari, engeneers, pilot, polisi, wanajeshi, wakurugenzi na hata makatibu tawala, hili litakuwa jeshi lako ndani ya mfumo hivyo utaweza ku influence maamuzi mwisho wa siku unaweza hata kama si wewe basi mwakilishi wa chama chako kugombea nafasi ya urais miaka ya mbeleni na kushinda.

Siasa za Tanzania zinahitaji akili kubwa ukizingatia chama kama CCM kimejenga mizizi hadi ngazi ya shina kitu kinachohitaji pia muda na strategy kuking'oa kuanzia kwenye mizizi. Kwa kusema hayo, naomba chukua muda wako kutafakari hayo huenda ukakupa mwanga kufikiria zaidi kama uliwai kufikiria jambo hili.

Ndani ya Chadema huwezi ku thrive kwakua Kuna mgongano mkubwa wa maslahi ukizingatia Mbowe anafanya kazi na system, wewe una fight against the system.

Jenga chama cha kisasa kinacho address mahitaji halisi ya wakati na utapata watu wengi sana watakaosimama na wewe. 2015 uliona watanzania walivyosimama na CHADEMA, Ilo linawezekana na kwako pia hasa kwa chama chako kipya, not necessarily you.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1872967863650435096?t=YGlWVUw7GT6dAg8-KRy0yA&s=19
 
Hayo unasema hayana ukweli, sanga si mwanzilishi wa chadema kwa maana ya kufanya chama kikasajiliwa kwa mara ya kwanza, pili kuwa na kadi hakukufanyi zuzu usiyeweza kuelezea hisia zako na kuamua vile unataka, mtu anaweza kuwa na kadi hata za vyama vyote..TLP, CHAUMA, CCM, CUF, CHADEMA nk na bado akabaki na will ya kuamua anavyotaka yeye..mfano pamoja na kuwa mwanachama wa ccm bado anaweza kuanzisha chama chake..! Lisu ana wafuasi wengi wanaomsapoti ni afya kwake kuanzisha chama chake awe mwenyekiti kuliko kugombania nafasi sehemu ambayo kuna wasiomtaka..hakuna binadamu anapenda migogoro!
Tuntemeke Sanga alimiliki 25% ya Hisa za Chadema kampuni halafu Kitwange, Ngaiza, Mtei, Bob makani na Ndesa walimiliki 15%@

Ndio unaona hata sasa Sugu Moto Chini ndiye anamwamlisha Mbowe Kwa kila hatua Kwa sababu Kwenye Chadema kampuni Sugu anamiliki Hisa za mjomba wake Tuntemeke Sanga 😄

Ahsante sana
 
Tuntemeke Sanga alimiliki 25% ya Hisa za Chadema kampuni halafu Kitwange, Ngaiza, Mtei, Bob makani na Ndesa walimiliki 15%@

Ndio unaona hata sasa Sugu Moto Chini ndiye anamwamlisha Mbowe Kwa kila hatua Kwa sababu Kwenye Chadema kampuni Sugu anamiliki Hisa za mjomba wake Tuntemeke Sanga 😄

Ahsante sana
..chadema kampuni kwa usajili upi, brela? au wapi.. nje ya usajili km chama cha siasa.
 
Back
Top Bottom