boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Wendawazimu ndo wanampuuza TL ila ni miongoni mwa watu wenye ushawishi mkubwa sana TZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu ,chice variable ,safari hii mnatunanga sana ,mda mwalim ,ukifika mda wenu tusipangiane spana za kutumia , ila binfsi nimependa ichi , hakuna sababu ya kutekana, au Uwawa kisa mtu flani yupo na msimamo wake binafsi ni ushamba , chadema inaenda vuka salama tu , zam yenu inakuja , niwapongezeni kwa kutuwashia moto kipindi ichi ubaya ubwela ,tutaelewana ,mapema mda nitachagua kambi yangu japo mie sio ccm na wala siwezi kuwa chahwa wa ccm, twende kaziYani vyama vyote hivi bado tunahitaji vyama vipya vingine vya siasa? hakuna chama ambacho utakuta mvutano wa hapa pale ni mambo ya kawaida kwenye chama, so kuanzisha chama ni mawazo mfu ,