Tundu Lissu Apongeza Tume Mpya ya Haki Jinai'

Tundu Lissu Apongeza Tume Mpya ya Haki Jinai'

Status
Not open for further replies.

msuyaeric

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
842
Reaction score
1,197
Leo Katika Mahojiano ya Tundu Lissu na mwandishi wa Jambo Tv kiukweli nimefurahishwa Sana na majibu Tundu Lissu hii ni ishara Kabisa Tume ya Maliziano ya Kisiasa imefanya kazi yake.

"IGP na Mapolisi wetu ni wazoefu katika Kuchambua na kupata taarifa hivyo kuundwa kwa Tume hiyo naamini tutapata matumaini mapya, hakuna nchi isiyokosa matatizo hapa duniani ndo maana tume zipo kwa ajili ya kutatua hayo matatizo, nampongeza Mhe. Rais kwa jambo hilo." Tundu Lissu

img-20230201-wa0153-jpg.2502477


=====
UPDATES: 02 Feb 2023
=====

Moderator: Taarifa ya Lissu kusifia Kuundwa kwa tume ya Haki Jinai ni uzushi.

Tundu Lissu amekosoa mfumo wa Haki Jinai kwa kueleza kuundwa kwa tume hiyo hakuna maajabu kwa kuwa kuna matatizo ambayo yameshakuwa makubwa kiasi kwamba kuyaundia tume ni kupoteza muda na Fedha za umma.

Pia soma: Tundu Lissu Apongeza Tume Mpya ya Haki Jinai

 
Leo Katika Mahojiano ya Tundu Lissu na mwandishi wa Jambo Tv kiukweli nimefurahishwa Sana na majibu Tundu Lissu hii ni ishara Kabisa Tume ya Maliziano ya Kisiasa imefanya kazi yake.

"IGP na Mapolisi wetu ni wazoefu katika Kuchambua na kupata taarifa hivyo kuundwa kwa Tume hiyo naamini tutapata matumaini mapya, hakuna nchi isiyokosa matatizo hapa duniani ndo maana tume zipo kwa ajili ya kutatua hayo matatizo, nampongeza Mhe. Rais kwa jambo hilo." Tundu Lissu

View attachment 2502477
clip please
 
Leo Katika Mahojiano ya Tundu Lissu na mwandishi wa Jambo Tv kiukweli nimefurahishwa Sana na majibu Tundu Lissu hii ni ishara Kabisa Tume ya Maliziano ya Kisiasa imefanya kazi yake.

"IGP na Mapolisi wetu ni wazoefu katika Kuchambua na kupata taarifa hivyo kuundwa kwa Tume hiyo naamini tutapata matumaini mapya, hakuna nchi isiyokosa matatizo hapa duniani ndo maana tume zipo kwa ajili ya kutatua hayo matatizo, nampongeza Mhe. Rais kwa jambo hilo." Tundu Lissu

View attachment 2502477
Ukweli wewe ni kilaza babu kubwa! Unapata faida gani kumsingizia!

Kwa taarifa ambao hamjamsikia ni kuwa ameiponda tume na hao ma- IGP waliolea udhalimu ndani ya jeshi la polisi na kupoteza mwelekeo kama walinda haki!
 
Asipotezee!

Amekuta upepo wa siasa za nchi hii,sio kama alivyotarajia!

Sasa awe mpole tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom