Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Unapofanyia wanadamu uharifu utegemee mawili - Wakuvumilie au wapambane nawe kwa kuvunja haki zao, ukiona watu wamepambana nawe usianze tafuta au kumpa lawama aliyewashitua na kuwapa mbinu ya kukuchabanga, unatakiwa kutofanya uharifu utochabangwa, usitegemee kuvumiliwa tuMungu yupi wakumbariki?aliyliyeMpinga mtu aliyemtanguliza MUNGU kpnd cha COVID19. Me nasema MUNGU Msamehe Huyu LISU maana hajui alitendalo, umekwakoa na Risasi sta bado hakupi wee nafasi nafsinimwake. Mwenyez mrehemu MTU huyu
Utaambiwa wewe mganga wa kienyeji maana upinzani wanajitoa akili, hadi hawawezi kutambua kuwa mwenzao kachoka.Kwa wanaoendelea kufuatilia mikutano ya CHADEMA watakuwa wameliona hili. Lissu sasa amechoka. Sauti inaelekea kukauka. Akiendelea mfululizo hivi atapoteza sauti. Mwenyekiti ingia uwanjani ili Lissu apate muda wa kuhutubia na muda wa kutulia kulinda sauti na mwili.
Nawasilisha
Wewe ndio unatambua kachoka?Utaambiwa wewe mganga wa kienyeji maana upinzani wanajitoa akili, hadi hawawezi kutambua kuwa mwenzao kachoka.
Mpigie simu umuulize Kama huna namba yake njoo pm.Wewe ndio unatambua kachoka?
Mpigie simu umuulize Kama huna namba yake njoo pm.Wewe ndio unatambua kachoka?
Nani alimtanguliza Mungu? Ile ni PR stunt tu ila trust me kati ya watu waliozindikwa na Nguvu za giza nchini ni huyo Mzee wenu. Ko mnaposema mcha Mungu huwa sielewi mna standard zipi?Mungu yupi wakumbariki?aliyliyeMpinga mtu aliyemtanguliza MUNGU kpnd cha COVID19. Me nasema MUNGU Msamehe Huyu LISU maana hajui alitendalo, umekwakoa na Risasi sta bado hakupi wee nafasi nafsinimwake. Mwenyez mrehemu MTU huyu
MkuuJapo anaonyesha kuchoka Ila ndio anazidi kumwaga madini, Mungu azidi kumbariki.
Tundu Lissu alipigwa risasi miguuni tu, yuko fit!! Siyo kama wa kwenu anayepumua kwa kusaidiwa na kiberiti (paxemaker), huyo ndiye anahitaji mapumzikoKwa wanaoendelea kufuatilia mikutano ya CHADEMA watakuwa wameliona hili. Lissu sasa amechoka. Sauti inaelekea kukauka. Akiendelea mfululizo hivi atapoteza sauti. Mwenyekiti ingia uwanjani ili Lissu apate muda wa kuhutubia na muda wa kutulia kulinda sauti na mwili.
Nawasilisha
Kwa wanaoendelea kufuatilia mikutano ya CHADEMA watakuwa wameliona hili. Lissu sasa amechoka. Sauti inaelekea kukauka. Akiendelea mfululizo hivi atapoteza sauti. Mwenyekiti ingia uwanjani ili Lissu apate muda wa kuhutubia na muda wa kutulia kulinda sauti na mwili.
Nawasilisha
Kwanini asingeenda mpaka chini akafikia kichwa arudishwe tena ubelgiji akapasuliwe oparesheni kubwa!!![emoji2960]View attachment 1576544
Kwa wanaoendelea kufuatilia mikutano ya CHADEMA watakuwa wameliona hili. Lissu sasa amechoka. Sauti inaelekea kukauka. Akiendelea mfululizo hivi atapoteza sauti. Mwenyekiti ingia uwanjani ili Lissu apate muda wa kuhutubia na muda wa kutulia kulinda sauti na mwili.
Nawasilisha
[B[Ameacha kufoka?Sikujua kama Yohana anaweza kuwa na sauti ya unyenyekevu kama ile aliyoionyesha Tabora leo.
Kwa wanaoendelea kufuatilia mikutano ya CHADEMA watakuwa wameliona hili. Lissu sasa amechoka. Sauti inaelekea kukauka. Akiendelea mfululizo hivi atapoteza sauti. Mwenyekiti ingia uwanjani ili Lissu apate muda wa kuhutubia na muda wa kutulia kulinda sauti na mwili.
Nawasilisha