Uchaguzi 2020 Tundu Lissu apumzike kampeni kidogo, anaonekana kuchoka

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu apumzike kampeni kidogo, anaonekana kuchoka

Kwa wanaoendelea kufuatilia mikutano ya CHADEMA watakuwa wameliona hili. Lissu sasa amechoka. Sauti inaelekea kukauka. Akiendelea mfululizo hivi atapoteza sauti. Mwenyekiti ingia uwanjani ili Lissu apate muda wa kuhutubia na muda wa kutulia kulinda sauti na mwili.

Nawasilisha
Aliyechoka zaidi ni yule anayejibu hoja zake...inaitwa fighting back
 
Mungu yupi wakumbariki?aliyliyeMpinga mtu aliyemtanguliza MUNGU kpnd cha COVID19. Me nasema MUNGU Msamehe Huyu LISU maana hajui alitendalo, umekwakoa na Risasi sta bado hakupi wee nafasi nafsinimwake. Mwenyez mrehemu MTU huyu
Marehemu maa yako
 
Ndugu wanachi vitambulisho sio lazima, ushauri kama anavyotumia fedha nyingi kwa wasanii basi kila mikutano yake watu waliolazimishwa kukata hivyo vitambulisho wavirudishe wapewe hela zao, zitasaidia kununua ndala na yebo za watoto.
 
Unapofanyia wanadamu uharifu utegemee mawili - Wakuvumilie au wapambane nawe kwa kuvunja haki zao, ukiona watu wamepambana nawe usianze tafuta au kumpa lawama aliyewashitua na kuwapa mbinu ya kukuchabanga, unatakiwa kutofanya uharifu utochabangwa, usitegemee kuvumiliwa tu
Wanaongozwa Wana akili kuliko wanaotawala
 
Back
Top Bottom